Rais Kenyatta apitisha Muswada wa Sheria ya Uhalifu wa Mtandaoni; faini hadi Kshs. milioni 5 kwa habari ya uongo

Rais Kenyatta apitisha Muswada wa Sheria ya Uhalifu wa Mtandaoni; faini hadi Kshs. milioni 5 kwa habari ya uongo

Queen V

JF-Expert Member
Joined
Jan 19, 2012
Posts
775
Reaction score
1,332
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ameidhinisha Mswada wa Sheria za Uhalifu wa Kompyuta na Mtandaoni wa 2018 kuwa Sheria, hatua itakayotoa adhabu kali kwa watakaopatikana na makossa ya mtandaoni.

Sheria hiyo inatoa adhabu ya faini ya Sh5 milioni (dola 50,000 za Marekani) au kifungo cha miaka miwili jela, au adhabu zote mbili, kwa atakayepatikana na kosa la uenezaji wa habari za uzushi.

Mtu atakayepatikana na kosa la kueneza taarifa ambazo zinaweza kuzua taharuki au kuzua vurugu atafungwa jela zaidi ya miaka kumi.

Sheria hiyo inatarajiwa kuathiri utendakazi wa wanahabari, vyombo vya habari, watumiaji wa mitandao ya kijamii, wanablogu na watu wengine wanaotumia kompyuta na mitandao.

Wakati wa maadhimisho ya siku ya uhuru wa wanahabari mapema mwezi huu, mwenyekiti wa Chama cha Wahariri Kenya Bw Churchill Otieno alikuwa amesema sheria hiyo inaweza kutumiwa kuminya uhuru wa wanahabari.

Alieleza kuwa kifungu kinachozungumzia uenezaji wa habari za uzushi au uongo kinaweza kutumiwa vibaya na maafisa wa dola.

Kiongozi wa zamani wa Chama cha Wanasheria Kenya Apollo Mboya amenukuliwa na vyombo vya habari akisema kifungu hicho kinaweza kuwapa watawala 'uhuru' wa kukandamiza vyombo vya habari.

Shirika la kimataifa la kutetea uhuru wa wanahabari Committee to Protect Journalists (CPJ) nalo lilikuwa limemhimiza Rais Kenyatta kutoidhinisha mswada huo kuwa sheria

======== For the English Audience =======

Kenyans will have to verify kind of news distributed to avoid heavy penalties under the new Computer and Cybercrimes Bill now passed into law.

On Wednesday, Secretary, Communication and State House Spokesperson Manoah Esipisu tweeted that President Uhuru has signed into law the Computer Misuse and Cybercrimes Bill, 2018.

Under the new law, a person who intentionally publishes false, misleading or fictitious data or misinforms with intent that the data shall be considered or acted upon as authentic, with or without any financial gain, commits an offence and shall, on conviction, be liable to a fine not exceeding Sh5million or to imprisonment for a term not exceeding two years, or to both.

The new law also contains stiff penalties on child pornography, computer forgery, and espionage among others.

It states that if one unlawfully obtains data or perform a prohibited act inorder to gain access to critical data with the intention to directly or indirectly benefit a foreign state against the Republic of Kenya, commits an offence and is liable, on conviction, to imprisonment for a period not exceeding twenty years or to a fine not exceeding Sh10 million, or to both.

Those found guilty of publishing child pornography are liable on conviction to a fine not exceeding twenty million or to imprisonment for a term not exceeding twenty-five years, or to both.

t targets individual who intentionally publishes child pornography through a computer system, produces child pornography for the purpose of its publication through a computer system, or possesses child pornography in a computer system or on a computer data storage medium.

ICT Expert Godfrey Osotsi says the new law will firmly deal with cyber bullying and cybercrime incidences in the country.

“Cybercrime is real and cybercrime is big; it is estimated that annually the whole world losses about Sh60 trillion: the crime is real and the law ought to have been in place like yesterday,” he says.

He says the new law will also protect unreported cases from financial institutions who are major target of cybercrime activities. He says that for instance banks in 2017 lost a whooping Sh18 billion in a crime which has also not spared government institutions.

He noted that the new law will also deal with people spreading false information on social media platforms like facebook. “We have seen people posting on social media that one is dead yet it is not true, such people will now be dealt with by the new law,” he added.

Cases of cyber bullying have also been reported in places like parliament with members of Parliament protesting the rate at which they were being targeted by the criminals.

Two months ago the legislatures revealed how they have been conned off money and others complaining of receiving disturbing photos and messages from criminals who access their mobile phone numbers.

“These criminals have somehow found our numbers and keep sending very dangerous photographs, some of them you may not even stand watching them with naked eyes, as they show parts of human anatomy that are disturbing,” complained Minority Whip Junet Mohammed.

Murang’a Women Representative Sabina Chege triggered the revelations by MPs who disclosed how they are either conned by people who pose as needy constituents requesting financial help.

Source: Uhuru signs into law Computer and Cybercrimes Bill
 
Kenya-Cybercrime-Bill-129072014-BB.pdf

Hiyo link hapo juu itakupeleka kwenye Cyber Crime Bill iliyopitishwa na Bunge la kenya na kuwa sheria baada ya Raisi Uhuru kusign
 
Subiri kina jingalao na shoga wake DJ Sepetu waje wasifie

Imhotep siku hizi kawa kimya, sijui alirushwa 7000 au akili imemrudi
 
President Kenyatta assents to Cybercrimes bill amid protests

Assent
President Uhuru Kenyatta. President Uhuru Kenyatta has on May 16, 2018 assented to the Computer and Cybercrimes Bill, 2017. The law imposes hefty fines and long prison sentences to cyberbullies and false news dealers. PHOTO | PSCU

By JOEL MUINDE
More by this Author
IN SUMMARY
The new law imposes hefty fines and long prison terms for cyber bullies and fake news dealers.
ADVERTISEMENT

ADVERTISEMENT
President Uhuru Kenyatta has assented to the Computer and Cybercrimes Bill, 2017.

The new law imposes hefty fines and long prison terms for cyber bullies and fake news dealers.

It also targets journalists, media houses, social media users, bloggers and other internet users.

The assent comes amid calls for the president to revert the law back to Parliament to ensure its provisions are constitutional and do not violate the right to media freedom and expression.

Last week, the Committee to Protect Journalists (CPJ) urged President Kenyatta not to assent to the bill, saying it stifles press freedom.

“Kenyan legislatures have passed a wide ranging bill that will criminalise free speech with journalist and bloggers likely to be the first victims if signed into law,” said CPJ's Africa Coordinator Angela Quintal in New York.

RELATED CONTENT

OTIENO: State has to respect freedom of media
African scholars want to fight fake news
Don't sign cybercrime law, media lobby tells Uhuru
According to clause 12 of the law, publishing of a false or fictitious information will attract a Sh5 million fine or a two-year jail term.

"A person who intentionally publishes false, misleading or fictitious data or misinforms with intent that the data shall be considered or acted upon as authentic, with or without any financial gain, commits an offence and shall, on conviction, be liable to a fine not exceeding five million shillings or to imprisonment for a term not exceeding two years, or to both," reads clause 12 of the new law.

A clause introduced in the bill by the National Assembly Majority Leader Aden Duale extends the jail term to 10 years if the false information is calculated to cause panic chaos or violence.

Former Law Society of Kenya chief executive Apollo Mboya said the context of ‘false information’ will give the authorities a free opportunity to gag the media.


ADVERTISEMENT

ADVERTISEMENT

Sponsored Links You May Like
Meet Blinkist, The Reading App That All The CEOs Love
Blinkist
This Ramadan own a luxury 3-bedroom villa in an international golf community from AED 1.29 million*
DAMAC Properties
If You Have an iPhone, This Strategy Game Is Addictive
Download on the App Store | Forge of Empires App
How To Trade Online In 2018. The Simple Way
ThinkBig
The government of Canada needs more workers from all over the world!
Canadian Visa Expert
The Arab world is surprised to see this property on sale!
Elysian Group
8 Health Goals List of 2018 You Should Care About
eDoctors
13 Amazing Drone Photos [Gallery]
Far & Wide
by Taboola
NEXT IN NEWS
 
Hahaha Safi sana
nakumbuka wale Vibendeara toka Kenya kutwa ilikuwa kuicheka Tanzania
oh! Kenya Rais hawezi fanya ujinga huu
mara wakenya wanajitambua Kenya itawaka moto
Yako wapi
Milioni 5 zakenya
du!
 
Hii sheria inakwenda kupingwa mahakamani mapema asubuhi
 
Wameanza Tz, Kenya wamefata soon itakua the whole Africa but Imagine ur President's name is Uhuru and still anakunyima Uhuru its just so weird like those guyz walivote for him wakitegemea uhuru
 
Jamhuri ya Kenya imepitisha sheria kandamizi ya masuala ya mitandao. Pamoja na mambo mengine sheria hiyo itapunguza sana Uhuru wa Kujieleza na kuminya investigative journalism.
Source: BBC Swahili 16/5/2018

==========

Sheria ya uhalifu wa kimitandao Kenya: Kenyatta aidhinisha sheria inayotoa adhabu ya dola 50,000 kwa habari feki

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ameidhinisha Mswada wa Sheria za Uhalifu wa Kompyuta na Mtandaoni wa 2018 kuwa Sheria, hatua itakayotoa adhabu kali kwa watakaopatikana na makossa ya mtandaoni.

Sheria hiyo inatoa adhabu ya faini ya Sh5 milioni (dola 50,000 za Marekani) au kifungo cha miaka miwili jela, au adhabu zote mbili, kwa atakayepatikana na kosa la uenezaji wa habari za uzushi.

Mtu atakayepatikana na kosa la kueneza taarifa ambazo zinaweza kuzua taharuki au kuzua vurugu atafungwa jela zaidi ya miaka kumi.

Sheria hiyo inatarajiwa kuathiri utendakazi wa wanahabari, vyombo vya habari, watumiaji wa mitandao ya kijamii, wanablogu na watu wengine wanaotumia kompyuta na mitandao.

Lakini je ni kweli sheria hiyo mpya itakandamiza uhuru wa kujieleza?
Wakati wa maadhimisho ya siku ya uhuru wa wanahabari mapema mwezi huu, mwenyekiti wa Chama cha Wahariri Kenya Bw Churchill Otieno alikuwa amesema sheria hiyo inaweza kutumiwa kuminya uhuru wa wanahabari.

Alieleza kuwa kifungu kinachozungumzia uenezaji wa habari za uzushi au uongo kinaweza kutumiwa vibaya na maafisa wa dola.

Kiongozi wa zamani wa Chama cha Wanasheria Kenya Apollo Mboya amenukuliwa na vyombo vya habari akisema kifungu hicho kinaweza kuwapa watawala 'uhuru' wa kukandamiza vyombo vya habari.

Shirika la kimataifa la kutetea uhuru wa wanahabari Committee to Protect Journalists (CPJ) nalo lilikuwa limemhimiza Rais Kenyatta kutoidhinisha mswada huo kuwa sharia.

Makundi ya kueteta haki za binaadamu wameishutumu sheria hiyo na kuitaja kuwa ya hatari.

Shirika la Article 19 East Africa, linataja makosa kadhaa yalio mapana ambayo yana adhabu kali zinazoweza mwishowe kuzuia uhuru wa kujieleza katika mitandao Kenya.

_101591305_cb543e3c-415e-49cc-bee0-226d7b365d3e.jpg
HakiREUTERS
Makundi ya kueteta haki za binaadamu wameishutumu sheria hiyo na kuitaja kuwa ya hatari.
Sheria hiyo bado inawacha wazi masuala kadhaa, kama vile kusambazwa kwa picha za utupu kwa dhamira ya kumchafulia mtu jina, udukuzi, na utumiaji haramu wa data binafsi - licha ya kushutumiwa pakubwa shughuli za kampuni ya Cambridge Analytica katika uchaguzi mara mbili wa urais nchini.

Kampeni ya kuwasaka wanaoeneza habari za uongo Afrika mashariki
Sheria mpya Kenya ya kupambana na uhalifu katika mtandao inafuata nyingine kama hiyo katika mataifa ya Afrika Mashariki kuwaadhibu watu wanaosambaza 'habari za uongo'na kutoa adhabu kali kwa wahalifu wa mitandaoni.

Hali sio tofuati sana katika nchi jirani ya Tanzania ambapo maafisa hivi maajuzi walitangaza sheria mpya zinazowahitaji wanablogu kulipa .

Serikali inasema inataka kulilinda taifa hilo dhidi ya 'uongo' unaosambazwa katika mitandao, licha ya kwamba wakosoaji wanaiona hatua hiyo kama njia ya kukandamiza uhuru wa kujieleza.

Rais John Magufuli amesema ananuia kukabiliana na anachokitaja kuwa ni 'ugonjwa'
Hatahivyo mahakama kuu nchini ilizuia utekelezaji wa sheria hiyo mnamo Mei 5 baada ya kundi la wanaharakati na wawakilishi kutoka vyombo vya habari nchini kuzusha pingamizi.

Iwapo sheria hiyo itapita kesi iliyopo kotini, inatoa adhabu ya faini isiyo chini ya $2,000 au kifungo kisicho chini ya mwaka mmoja au yote mawili kwa wahalifu watakaopatikana na makosa.

Rais Museveni alipendekeza kuidhinisha kodi ya kutumia mitandao ya kijamii
Nchini Uganda, serikali ya rais Yoweri Museveni imezuia mipango ya kuidhinisha kodi ya kutumia mitandao ya kijamii baada ya wizara ya fedha kusema inahitaji kushauriana kuhusu vipi mpango huo wa kodi utaweza kuidhinishwa.

Museveni alipendekeza watu watozwe kodi kwa kutumia mitandao ya kijamii Facebook na WhatsApp, akisema kodi itakayokusanywa italisaidia taifa hilo kukabiliana na athari za Olugambo [uvumi]".

Wakosaji wanasema nia ya kiongozi huyo mwenye umri wa miaka 73 ni kukandamiza vyombo vya habari na wale wanaopinga mpango wake wa kuwania tena urais katika uchaguzi mkuu wa 2021.

Serikali yake ilifunga mitandao ya kijamii wakati wa uchaguzi mkuu mnamo 2016.

Chanzo: BBC Swahili
 
Cyber crime kenya ni kubwa sana, system za bank kenya zinakuwa hacked sana, so walihitaji sheria kama hiyo, tofauti na sisi
 
Ungetuwekea hicho kifungu ambacho kinakandamiza uhuru wa habari ili tufananishe na TANZANIA
Nenda kasome na kaitafute hakika utaamini kuwa tanzania sheria yetu ya mitandao ni nzuri sana na hakika wakenye wanayo kazi.....mfano kusambaza za utupu ni kifungo cha miaka 10
 
Back
Top Bottom