Rais Kenyatta apitisha Muswada wa Sheria ya Uhalifu wa Mtandaoni; faini hadi Kshs. milioni 5 kwa habari ya uongo

Rais Kenyatta apitisha Muswada wa Sheria ya Uhalifu wa Mtandaoni; faini hadi Kshs. milioni 5 kwa habari ya uongo

TUNAANIKA NA KUWEKA HADHARANI MTANDAO NA SAFU YA WAHUSIKA WA UTAPELI, UNYAG’ANYI NA UPOKONYAJI DHALIMU (VITENDO VYA UHALIFU/JINAI) WA NYUMBA YA MJANE PRUKERIA PONCIAN BALILEMWA, MALI YA MUMEWE MAREHEMU PONCIAN P. BALILEMWA KIWANJA NA. 95 KITALU G, CT. NO. 1151 KATA YA NYAMANORO JIJINI MWANZA KWA UMMA NA MBELE YA MAHAKAMA KUU YA RUFAA KAMA IFUATAVYO:-


SEHEMU YA KWANZA


1. Benki – “NATIONAL BANK OF COMMERCE LIMITED (THE DEFUNCT)

Wamegundulika kuhusika na mchezo mchafu wa utapeli wa kudai mkopo usiojulikana juu ya nyumba tajwa wakitumia mawakili wa kampuni ya IMMMA – hasa waheshimiwa mawakili Bw. Zephrine Galleba, Sadock D. Magai, Lau K. Masha na Faustine Anton Malongo – kuanzia mwaka 2000/2001 – 2003, 2003 – 2006, 2009 – hadi sasa. Katika miaka yote hii benki ya NBC LTD ilikuwa haipo (ilifanyiwa marekebisho na kuzaa NMB, NBC – 1997 LTD na CHC – Mkusanyaji madeni ya benki ya zamani ya NBC LTD), 1997.

- Wahusika wa benki ya NBC LTD waliojitokeza na kuteua kampuni ya IMMMA na kuwaidhinisha kuwa ni kabidhi/mfilisi wa kuuza nyumba isio na mkopo wowote ni :- GERALD JORDAAN (Mkurugenzi), A.M. MINJA, DEREK DE VILLIERS (Makao makuu DSM) – Manager Collections na Meneja wa Tawi la NBC LTD – MWANZA (Demand notices of 2000 & 2001).

- Kesi Na. 117/2001 MAHAKAMA YA WILAYA YA MWANZA PRUKERIA PONCIAN BALILEMWA DHIDI YA NATIONAL BANK OF COMMERCE. Mshitakiwa NBC LTD aliweka pingamizi dhidi ya kushitakiwa kwake akidai si mhusika wa mkopo daiwa wala hahusiki kukusanya madeni ya benki mfu ya NBC LTD bali mhusika ni shirika la CHC (CONSOLIDATED HOLDING CORPORATION). Uamuzi ulitolewa tarehe 14/01/2003 kwa pingamizi kukubaliwa na kuondokana na kesi dhidi yao kuwa sio wahusika. Mahakama hii ilitenda haki vyema - tunaipongeza.


2. Tarehe 13/07/2001, kupitia TANGAZO katika gazeti la NIPASHE uk. 13 KAMPUNI YA MADALALI YA COMRADE AUCTION MART & COURT BROKERS wa S.L.P 61503 DSM: 0744-262461 wakatangaza wakidai kupewa idhini na SADOCK D. MAGAI na LAU K. MASHA wa kampuni ya IMMMA (ISHENGOMA, MASHA, MUJULIZI NA MAGAI) kuuza nyumba lalamikiwa miongoni mwa nyumba zingine katika mikoa ya: MWANZA, BUKOBA, SHINYANGA, TABORA na KIGOMA.


3. Tarehe 28/11/2003 NBC LTD waliojitoa katika kesi Na. 117/2001, wakala njama na utapeli wa hali ya juu sana pasipo kufahamika wala kutoa taarifa kwa mama mjane (mdhulumiwa) Prukeria kuwa hati ya nyumba yake/ya mumewe ilifanyiwa uhawilishaji (TRANSFER) kwa na kuwa ni mali ya RIZIKI MBISE (Maarufu kama MAMBO YA CHINGA), na kwamba uhawilishaji huo umefanywa na benki mfu ya NBC LTD tarehe 28 Novemba 2003 na HATI YA UHAWILISHAJI WA KITAPELI ulifanywa na KAMPUNI YA IMMMA Plot No. 357 UNITED NATIONS ROAD, UPANGA, P.O.BOX 72484 DSM naye Bw. RIZIKI MBISE hati yake hiyo feki kuthibitishwa mbele ya Mh. MILLINGA, W.J – Wakili wa serikali P.o. Box 331 MWANZA tarehe 18 Desemba 2003 akitambulishwa na Bi. SOPHIA M’KITOSI. Hati ya TRANSFER inaonesha benki kuiuza kwa RIZIKI MBISE Tshs. 4,600,000.00 chini ya thamani ya majengo-nyumba ya mbele na nyuma yenye thamani ya zaidi ya tshs. 250,000,000.00


Tarehe 25/09/2000 mjane Prukeria P. Balilemwa baada ya kupokea Demand notices kadhaa kutoka NBC LTD ambayo alifahamu na kujua wazi kuwa haipo na kutilia mashaka taarifa zake za mkopo na dhamana ya nyumba visivyojulikana wala kufahamika aliamua kuiandikia benki ya NBC (1997) LTD – The Director Collections kutaka kujua kama wao ndio wadai/wakopeshaji watoe ushirikiano kwake kwa kumpa taarifa kamilifu na za uhakika kama kuna mkopo-daiwa kwa marehemu mumewe asioujua ambao haujui ili ashirikishe wanafamilia kutatua tatizo na adha ya kusumbuliwa-sumbuliwa na taarifa nyingi za kampuni ya IMMMA. Barua hiyo iliyonakiliwa kwa Branch Manager, Nyerere Road-Mwanza ilitumwa Posta kwa njia ya rejesta tarehe 27/09/2000. Tangia kutumwa kwa barua hiyo hadi leo haijawahi kujibiwa wala benki kujitokeza kujibu lolote licha ya jitihada nyingi za mlalamikaji-mdhulumiwa kufika mala kadhaa NBC (1997) LTD kupewa taarifa pasipo mafanikio yoyote.


4. Mamlaka za ardhi ambazo zinatuhumiwa kuhusika na mchezo huo mchafu wa hadaa, utapeli na utwaaji wa kidhalimu wa nyumba – lalamikiwa ni Ofisi/idara ya usajiri wa Hati-Mwanza Bi. Mziray kwa tarehe tofauti tofauti katika mwaka wa 2005 kwa kuhusika na usajili wa uhawilishaji umiliki (transfer) na kubadili jina la mmiliki halisi na halali kwenda kwa mmiliki wa kitapeli Bw. Riziki Mbise. Mamlaka nyingine ni HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA. Halmashauri hii ikijua wazi kuwa mmiliki wa ardhi/nyumba bishaniwa kuwa ni Poncian Petro Balilemwa kwa uchunguzi rasmi uliofanyika (official search) miaka ya 2006 na 2009 ilibainisha kuwa ni miliki ya Bw. Balilemwa. Lakini ilipofika tarehe 12/10/2009 wakatoa taalifa watendaji watatu (3) tofauti kwa tarehe hiyo hiyo na wenye majina yaliyofichika, saini zisizojulikana na vyeo (designations) visivyotambulika kuwa mmiliki ni RIZIKI KALEBI MBISE.


NB: (i) PONGEZI KWA HALMASHAURI YA MANISPAA YA ILEMELA PALIPO NYUMBA YENYE MGOGORO KWA UMAKINI NA KUMTAMBUA MMILIKI HALALI WA NYUMBA HUSIKA KUWA NI PONCIAN PETRO BALILEMWA TANGIA MWANZO 1980s – 2015/2018 NA KUWA NDIYE MWENYE JUKUMU, PIA, LA KULIPA KODI ZA ARDHI NA PANGO.

(ii) Baada ya taarifa hii tutaendelea kuwasilisha taarifa juu ya mamlaka za: WIZARA YA ARDHI NA NYUMBA, TAASISI ZA UCHUNGUZI kuhusiana na uhalifu, rushwa, usimamizi na utoaji wa haki kwa namna walivyoshiriki na kendelea kushiriki kuipotosha sheria na kuipokonya haki bila huruma, maadili na kanuni za utendaji na bila kuzingatia utawala wa sheria.


TUNA USHAHIDI WA KUTOSHA NA USIOTILIWA MASHAKA NA KAMWE HATUMWONEI MTU NA HATUTARAJII MTU KUONEWA, BALI NAOMBA MKUU WA NCHI, RAIS WETU MR. DKT JOHN POMBE JOSEPH MAGUFURI AIAGIZE MAMLAKA HUSIKA ZIWAJIBIKE KWA HAKI.



Chanzo: 1. Wanafamilia (mama mjane) 12/05/2018

2. TBC1 Habari - 11/05/2018
Mkuu hii ungeianzishia thread yake.
 
TUNAANIKA NA KUWEKA HADHARANI MTANDAO NA SAFU YA WAHUSIKA WA UTAPELI, UNYAG’ANYI NA UPOKONYAJI DHALIMU (VITENDO VYA UHALIFU/JINAI) WA NYUMBA YA MJANE PRUKERIA PONCIAN BALILEMWA, MALI YA MUMEWE MAREHEMU PONCIAN P. BALILEMWA KIWANJA NA. 95 KITALU G, CT. NO. 1151 KATA YA NYAMANORO JIJINI MWANZA KWA UMMA NA MBELE YA MAHAKAMA KUU YA RUFAA KAMA IFUATAVYO:-


SEHEMU YA KWANZA


1. Benki – “NATIONAL BANK OF COMMERCE LIMITED (THE DEFUNCT)

Wamegundulika kuhusika na mchezo mchafu wa utapeli wa kudai mkopo usiojulikana juu ya nyumba tajwa wakitumia mawakili wa kampuni ya IMMMA – hasa waheshimiwa mawakili Bw. Zephrine Galleba, Sadock D. Magai, Lau K. Masha na Faustine Anton Malongo – kuanzia mwaka 2000/2001 – 2003, 2003 – 2006, 2009 – hadi sasa. Katika miaka yote hii benki ya NBC LTD ilikuwa haipo (ilifanyiwa marekebisho na kuzaa NMB, NBC – 1997 LTD na CHC – Mkusanyaji madeni ya benki ya zamani ya NBC LTD), 1997.

- Wahusika wa benki ya NBC LTD waliojitokeza na kuteua kampuni ya IMMMA na kuwaidhinisha kuwa ni kabidhi/mfilisi wa kuuza nyumba isio na mkopo wowote ni :- GERALD JORDAAN (Mkurugenzi), A.M. MINJA, DEREK DE VILLIERS (Makao makuu DSM) – Manager Collections na Meneja wa Tawi la NBC LTD – MWANZA (Demand notices of 2000 & 2001).

- Kesi Na. 117/2001 MAHAKAMA YA WILAYA YA MWANZA PRUKERIA PONCIAN BALILEMWA DHIDI YA NATIONAL BANK OF COMMERCE. Mshitakiwa NBC LTD aliweka pingamizi dhidi ya kushitakiwa kwake akidai si mhusika wa mkopo daiwa wala hahusiki kukusanya madeni ya benki mfu ya NBC LTD bali mhusika ni shirika la CHC (CONSOLIDATED HOLDING CORPORATION). Uamuzi ulitolewa tarehe 14/01/2003 kwa pingamizi kukubaliwa na kuondokana na kesi dhidi yao kuwa sio wahusika. Mahakama hii ilitenda haki vyema - tunaipongeza.


2. Tarehe 13/07/2001, kupitia TANGAZO katika gazeti la NIPASHE uk. 13 KAMPUNI YA MADALALI YA COMRADE AUCTION MART & COURT BROKERS wa S.L.P 61503 DSM: 0744-262461 wakatangaza wakidai kupewa idhini na SADOCK D. MAGAI na LAU K. MASHA wa kampuni ya IMMMA (ISHENGOMA, MASHA, MUJULIZI NA MAGAI) kuuza nyumba lalamikiwa miongoni mwa nyumba zingine katika mikoa ya: MWANZA, BUKOBA, SHINYANGA, TABORA na KIGOMA.


3. Tarehe 28/11/2003 NBC LTD waliojitoa katika kesi Na. 117/2001, wakala njama na utapeli wa hali ya juu sana pasipo kufahamika wala kutoa taarifa kwa mama mjane (mdhulumiwa) Prukeria kuwa hati ya nyumba yake/ya mumewe ilifanyiwa uhawilishaji (TRANSFER) kwa na kuwa ni mali ya RIZIKI MBISE (Maarufu kama MAMBO YA CHINGA), na kwamba uhawilishaji huo umefanywa na benki mfu ya NBC LTD tarehe 28 Novemba 2003 na HATI YA UHAWILISHAJI WA KITAPELI ulifanywa na KAMPUNI YA IMMMA Plot No. 357 UNITED NATIONS ROAD, UPANGA, P.O.BOX 72484 DSM naye Bw. RIZIKI MBISE hati yake hiyo feki kuthibitishwa mbele ya Mh. MILLINGA, W.J – Wakili wa serikali P.o. Box 331 MWANZA tarehe 18 Desemba 2003 akitambulishwa na Bi. SOPHIA M’KITOSI. Hati ya TRANSFER inaonesha benki kuiuza kwa RIZIKI MBISE Tshs. 4,600,000.00 chini ya thamani ya majengo-nyumba ya mbele na nyuma yenye thamani ya zaidi ya tshs. 250,000,000.00


Tarehe 25/09/2000 mjane Prukeria P. Balilemwa baada ya kupokea Demand notices kadhaa kutoka NBC LTD ambayo alifahamu na kujua wazi kuwa haipo na kutilia mashaka taarifa zake za mkopo na dhamana ya nyumba visivyojulikana wala kufahamika aliamua kuiandikia benki ya NBC (1997) LTD – The Director Collections kutaka kujua kama wao ndio wadai/wakopeshaji watoe ushirikiano kwake kwa kumpa taarifa kamilifu na za uhakika kama kuna mkopo-daiwa kwa marehemu mumewe asioujua ambao haujui ili ashirikishe wanafamilia kutatua tatizo na adha ya kusumbuliwa-sumbuliwa na taarifa nyingi za kampuni ya IMMMA. Barua hiyo iliyonakiliwa kwa Branch Manager, Nyerere Road-Mwanza ilitumwa Posta kwa njia ya rejesta tarehe 27/09/2000. Tangia kutumwa kwa barua hiyo hadi leo haijawahi kujibiwa wala benki kujitokeza kujibu lolote licha ya jitihada nyingi za mlalamikaji-mdhulumiwa kufika mala kadhaa NBC (1997) LTD kupewa taarifa pasipo mafanikio yoyote.


4. Mamlaka za ardhi ambazo zinatuhumiwa kuhusika na mchezo huo mchafu wa hadaa, utapeli na utwaaji wa kidhalimu wa nyumba – lalamikiwa ni Ofisi/idara ya usajiri wa Hati-Mwanza Bi. Mziray kwa tarehe tofauti tofauti katika mwaka wa 2005 kwa kuhusika na usajili wa uhawilishaji umiliki (transfer) na kubadili jina la mmiliki halisi na halali kwenda kwa mmiliki wa kitapeli Bw. Riziki Mbise. Mamlaka nyingine ni HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA. Halmashauri hii ikijua wazi kuwa mmiliki wa ardhi/nyumba bishaniwa kuwa ni Poncian Petro Balilemwa kwa uchunguzi rasmi uliofanyika (official search) miaka ya 2006 na 2009 ilibainisha kuwa ni miliki ya Bw. Balilemwa. Lakini ilipofika tarehe 12/10/2009 wakatoa taalifa watendaji watatu (3) tofauti kwa tarehe hiyo hiyo na wenye majina yaliyofichika, saini zisizojulikana na vyeo (designations) visivyotambulika kuwa mmiliki ni RIZIKI KALEBI MBISE.


NB: (i) PONGEZI KWA HALMASHAURI YA MANISPAA YA ILEMELA PALIPO NYUMBA YENYE MGOGORO KWA UMAKINI NA KUMTAMBUA MMILIKI HALALI WA NYUMBA HUSIKA KUWA NI PONCIAN PETRO BALILEMWA TANGIA MWANZO 1980s – 2015/2018 NA KUWA NDIYE MWENYE JUKUMU, PIA, LA KULIPA KODI ZA ARDHI NA PANGO.

(ii) Baada ya taarifa hii tutaendelea kuwasilisha taarifa juu ya mamlaka za: WIZARA YA ARDHI NA NYUMBA, TAASISI ZA UCHUNGUZI kuhusiana na uhalifu, rushwa, usimamizi na utoaji wa haki kwa namna walivyoshiriki na kendelea kushiriki kuipotosha sheria na kuipokonya haki bila huruma, maadili na kanuni za utendaji na bila kuzingatia utawala wa sheria.


TUNA USHAHIDI WA KUTOSHA NA USIOTILIWA MASHAKA NA KAMWE HATUMWONEI MTU NA HATUTARAJII MTU KUONEWA, BALI NAOMBA MKUU WA NCHI, RAIS WETU MR. DKT JOHN POMBE JOSEPH MAGUFURI AIAGIZE MAMLAKA HUSIKA ZIWAJIBIKE KWA HAKI.



Chanzo: 1. Wanafamilia (mama mjane) 12/05/2018

2. TBC1 Habari - 11/05/2018
Mkulu, hii si ungeanzisha siredi mpya ukaweka haya mambo humo badala ya kuyaingiza kwenye utiaji sahihi wa kenyatta huko kenya?
 
BABA WA DEMOKRASIA WA CHADEMA hahahahahqh

sindio walikuwa wanamsifia wanasema tuige sasa mbona yake ni kali kuliko yetu kwaaa kwaaa kwaaa kwaaa kwaaaa
 
I still support this move 100%

Me too, ukijaribu ku-analyse ki-undani Social networks nyingi za waswahili/Africa zina ajenda za siri - one gets an impression kwamba ni latent opposition parties in disguise - honestly. Jaribu kitoa maoni ambayo ni tofauti na leaning zao za siri, watatafuta njia aidha ya ku-pull down maoni yako au kujaribu kukotolea vitisho!!!

Tuna contribute kwenye International networks lakini wasimamizi wanapitia maoni yako kwanza kabla ya kuyabandika, wakiona maoni yako ni a little bit controversial wana-delete comments zako na kuhakikisha jina lako linabaki lakini contents zako zinakewa bandiko la kusema maoni yako yamekuwa DELETED - anajiuliza kwa nini imefutwa unapata jibu na kujirekebisha inapo bidi au una rephrase maoni yako without offend anyone; kwa nchi zetu za Afrika mambo ni tofauti kabisa vitisho mwanzo mpaka mwisho!!
 
Mmezidi. Kina okwi boban kazi yao kushinda mitandaoni na kuzusha hili na lile kila leo. Ningekuwa mkuu wa nchi ningewachinja kabisa.

Shame...ati inaweza tumika vibaya

Je wanapotumia vibaya kuchafua watu na nchi?

Shame on you

Congratulation President Kenyatta
 
Hahaha Safi sana
nakumbuka wale Vibendeara toka Kenya kutwa ilikuwa kuicheka Tanzania
oh! Kenya Rais hawezi fanya ujinga huu
mara wakenya wanajitambua Kenya itawaka moto
Yako wapi
Milioni 5 zakenya
du!
Milioni tano sawa na mil 100 za TZ, yaani wao fine mara 20 ya TZ
Hii ndio Afrika
 
kutoka "Freedom of speech" mpaka "free-doom of speech" Yana mwisho. Wazi?
 
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ameidhinisha Mswada wa Sheria za Uhalifu wa Kompyuta na Mtandaoni wa 2018 kuwa Sheria, hatua itakayotoa adhabu kali kwa watakaopatikana na makossa ya mtandaoni.

Sheria hiyo inatoa adhabu ya faini ya Sh5 milioni (dola 50,000 za Marekani) au kifungo cha miaka miwili jela, au adhabu zote mbili, kwa atakayepatikana na kosa la uenezaji wa habari za uzushi.

Mtu atakayepatikana na kosa la kueneza taarifa ambazo zinaweza kuzua taharuki au kuzua vurugu atafungwa jela zaidi ya miaka kumi.

Sheria hiyo inatarajiwa kuathiri utendakazi wa wanahabari, vyombo vya habari, watumiaji wa mitandao ya kijamii, wanablogu na watu wengine wanaotumia kompyuta na mitandao.

Wakati wa maadhimisho ya siku ya uhuru wa wanahabari mapema mwezi huu, mwenyekiti wa Chama cha Wahariri Kenya Bw Churchill Otieno alikuwa amesema sheria hiyo inaweza kutumiwa kuminya uhuru wa wanahabari.

Alieleza kuwa kifungu kinachozungumzia uenezaji wa habari za uzushi au uongo kinaweza kutumiwa vibaya na maafisa wa dola.

Kiongozi wa zamani wa Chama cha Wanasheria Kenya Apollo Mboya amenukuliwa na vyombo vya habari akisema kifungu hicho kinaweza kuwapa watawala 'uhuru' wa kukandamiza vyombo vya habari.

Shirika la kimataifa la kutetea uhuru wa wanahabari Committee to Protect Journalists (CPJ) nalo lilikuwa limemhimiza Rais Kenyatta kutoidhinisha mswada huo kuwa sheria

======== For the English Audience =======

Kenyans will have to verify kind of news distributed to avoid heavy penalties under the new Computer and Cybercrimes Bill now passed into law.

On Wednesday, Secretary, Communication and State House Spokesperson Manoah Esipisu tweeted that President Uhuru has signed into law the Computer Misuse and Cybercrimes Bill, 2018.

Under the new law, a person who intentionally publishes false, misleading or fictitious data or misinforms with intent that the data shall be considered or acted upon as authentic, with or without any financial gain, commits an offence and shall, on conviction, be liable to a fine not exceeding Sh5million or to imprisonment for a term not exceeding two years, or to both.

The new law also contains stiff penalties on child pornography, computer forgery, and espionage among others.

It states that if one unlawfully obtains data or perform a prohibited act inorder to gain access to critical data with the intention to directly or indirectly benefit a foreign state against the Republic of Kenya, commits an offence and is liable, on conviction, to imprisonment for a period not exceeding twenty years or to a fine not exceeding Sh10 million, or to both.

Those found guilty of publishing child pornography are liable on conviction to a fine not exceeding twenty million or to imprisonment for a term not exceeding twenty-five years, or to both.

t targets individual who intentionally publishes child pornography through a computer system, produces child pornography for the purpose of its publication through a computer system, or possesses child pornography in a computer system or on a computer data storage medium.

ICT Expert Godfrey Osotsi says the new law will firmly deal with cyber bullying and cybercrime incidences in the country.

“Cybercrime is real and cybercrime is big; it is estimated that annually the whole world losses about Sh60 trillion: the crime is real and the law ought to have been in place like yesterday,” he says.

He says the new law will also protect unreported cases from financial institutions who are major target of cybercrime activities. He says that for instance banks in 2017 lost a whooping Sh18 billion in a crime which has also not spared government institutions.

He noted that the new law will also deal with people spreading false information on social media platforms like facebook. “We have seen people posting on social media that one is dead yet it is not true, such people will now be dealt with by the new law,” he added.

Cases of cyber bullying have also been reported in places like parliament with members of Parliament protesting the rate at which they were being targeted by the criminals.

Two months ago the legislatures revealed how they have been conned off money and others complaining of receiving disturbing photos and messages from criminals who access their mobile phone numbers.

“These criminals have somehow found our numbers and keep sending very dangerous photographs, some of them you may not even stand watching them with naked eyes, as they show parts of human anatomy that are disturbing,” complained Minority Whip Junet Mohammed.

Murang’a Women Representative Sabina Chege triggered the revelations by MPs who disclosed how they are either conned by people who pose as needy constituents requesting financial help.

Source: Uhuru signs into law Computer and Cybercrimes Bill
Sheria za kuwabana Watu wasiseme ukweli kuhusu Kwakosoa Viongozi wao wa Serikali wanavyo fanya makosa yao. Mheshimiwa Rais Uhuru Kenyata unawabana wana Habari wasikukosoe Serikali yako. Hiyo Sio Demokrasia ya ukweli hiyo.
 
Nenda kasome na kaitafute hakika utaamini kuwa tanzania sheria yetu ya mitandao ni nzuri sana na hakika wakenye wanayo kazi.....mfano kusambaza za utupu ni kifungo cha miaka 10
Sheria za Tanzania na Kenya sheria za mitandao karibu zinakaribiana kuwa sawa sheria za hizi nchi mbili zinawanyima Uhuru wa kusema ukweli wana habari na Wana wa Mitandao Hakuna Uhuru wa haki wa kusema ukweli katika mitandao kwa hizi nchi mbili za Afrika Mashariki.
 
Tanzania tulipopitisha Sheria yetu , hawa Wakenya walipiga kelele na kututusi sana. Leo imefika zamu yao ya kulalama na kusaga meno, sie tumeanza kufuta machozi!
 
Tanzania tulipopitisha Sheria yetu , hawa Wakenya walipiga kelele na kututusi sana. Leo imefika zamu yao ya kulalama na kusaga meno, sie tumeanza kufuta machozi!

The high court has suspended 25 sections of the law, am pretty sure they wont see the light of day. Hapo ndipo sisi na nyinyi tuna tofautiana.
 
The high court has suspended 25 sections of the law, am pretty sure they wont see the light of day. Hapo ndipo sisi na nyinyi tuna tofautiana.
True.. Ya YZ ikishapitishwa ni hivyo. Court haiezi fanya chochote
 
Ni uzuzu tu wa miafrika na ngozi zao nyeusi kama roho zao, huo uhuru unamipaka afrika tu, afrika yuna muda wa kushughulikia mambo ya kijinga tu mambo ya maana hatuyawezi.wenzetu ujinga kama huu waliasha achana nao.

Uhuru wa kuongea unazuiaje maendeleo?
Ndio unazuia maendeleo kwa sababu babako kule hana elimu. Ukimwambia Rais ana mkia kama nyumbu anakubali. Ndio kweli Waafrika ni wajinga kama wewe unayefananisha Ulaya na Africa. Unajua Ulaya wamefikia hapo baada ya kupitia machungu mangapi tena kwa miongo kadhaaa. Katika hao Waafrika wapumbavu wewe ni namba moja
 
Back
Top Bottom