Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani ilionekana watanzania wote MWEZI MCHANGA..aka MafutaKama ile ishu ya vifaranga vya kuku yaani ilituaibisha Sana
Kulipo vilivyochomwa moto na kuteketzwa heri vingerudishwa Kenya
Mama awe smartKwa hiyo Uhuru Kenyatta naye anategemea Samia Suluhu ajibu wema huo kwa kuruhusu wakenya kufanya kazi Tanzania bila vibali?
Hiyo ni akili ya wapi?
Samia ajaribu aone kitakachotokea!
Hata hivyo, hii sio mara ya kwanza Kenyatta kuyasema maneno kama hayo, siyo kwa waTanzania pekee, bali kwa watu mbalimbali, lakini matokeo yake ni tofauti na maneno.
Nadhani wakati mwingine huwa anafurahi kujisikia akisema maneno ambayo uhalisia wake ni tofauti na maneno yenyewe.
Watanzania wachache wanaharibu taswira ya nchimakav live. ndio tunavuta miguu baadae tunatafuta mtu wakumbebesha lawama. this is tz
Nikweli kabisaHuu uwoga na tumeaminishwa na wana siasa kuwaogopa wa Kenya na unyonge ndio shida kubwa, tunawaogopa nini hasa mbona tumejaza wahindi makampuni yote na kila siku wanaingia tu. Ajira ni ushindani na ufanisi ndio inabidi tujiongeze tuwe waadilifu ili sisi ndio tuwe na thamani kwao siku waombe wa Tanzania katika makampuni yao. Tabia ya kuaminishwa kuwaogopa wa Kenya hata sijui nani aliyeileta, Mimi simuogopi mkenya kwa lipi zaidi? tuache unyonge
Na tayari Tanzania imeshanasa kwenye hiyo "SNARE"😂😂😂Hiyo inaitwa "SNARE" kwa Kiingereza
Ni sahihi,tunapaswa kuwa..EAC imeanzishwa 1996 nadhani.
..miaka 25 Watz tumekuwa tunasema twende polepole.
..Tunatakiwa tubadilike kuanzia sasa.
..Tuangalie wapi tumekosea ili turekebishe.
then inaonekana sisi tumelala.. kama tunawaogopa sababu wako sharp. ina maana sisi tupo shallow
umeambiwa tumeruhusiwa kufanya biashara .kama we huez watz kibao wataenda fanya biashara huko .afu masuala ya kuajiriwa hata ukiwa hapa unaeza usipate hio ajira sembuse nchi ya watu....achen uogaWakenya wajanja, hata kama huna work permit, wala business visa, kazi hupati Kenya.. Mtanzania hawezi pewa nafasi na wakenya kufanya kazi.. Sisi tusiruhusu hilo, eti wakenya waje free huku, hilo litakuwa kosa kubwa sana kutokea
Technically Watanzania hawana vyeti vya ku-compete na Wakenya kwenye soko la ajira.Watanzania wachache wanaharibu taswira ya nchi
Watu kutwa kelele ohh kenya kuajiriwa au kufanya kazi taabu kupata visa na vibali shida haya hivyo katoa nendeni ohhh tuwe makini hapa wakenya wana lao!!!!!
Kuna watu kazi yao kubweka tu lakini hawana lolote hata uwabebe vipi
Kenyatta kamaliza katoa offer nzuri kabisa ya kuondoa visingizio
Nakubaliana na wewe 100%Wabongo ni umbea tu tunajua, wakenya ni wachapa kazi mno na wako na akili nyingi sana
usitusemee wa tz wote wengine tuko na ajira kenya kitambo tuh na watz kibao wanaajiriwa hukuHivi kenya kuna ajira gani kwa watanzania,hili chaka la working permit tusijaribu kuliingua kwenye biashara hapo sawa,kwenye ajira watuache kwanza kidogo
Hawajazani kila kampuni wewe wanajazana za kwao walizoweka mitaji yaoHamna ubaya ila wakenya wakijazana tigo, voda na airtel wakaja TPB, NMB na CRDB wadogo zenu wote watakuwa wauza kashata na kutembeza kahawa! Msije kuanza kulia lia tu wakenya wamezidi
Kwetu sisi wabongo ni kulalamika tunot that high. its just sis hatutaki ku think out of box. tunafungia fikra zetu ndani wkt wao wakiopen fikra zao
Tukilala njaa ndio tutapata akiliWakiruhusiwa wao si mtalala njaa maana watanzania biashara zetu ni za uchuuzi tu!
Jiwe kawaharibu akili zenu hakika.ni kweli mkuu..
lengo lake ni tanzania iseme the same, ili pia waje wafanye biashr upande wa pili bila permit..
na sisi tukifuata hilo, wakenya watakuwa wame win
Wanahisi maumivu baada ya matango pori waliolishwa kubumbulukaWasukuma roho zinawauma, MTEGO huo wakumnasa shangazi yako au
Wacha ushamba dogo maana huu siyo wakati wenu tena.mamako ambaye ndio dadako
Truly said my friend, Kenyans do not like each other, there is tribalism amongst them, how about poor Tanzanian can contest with Kenyan in terms of white colored jobs, business. Kenyans are also brave than Tanzanians especially in standing somewhere and expressing themselves, I Know them very well just take an example they can utilize our resources very well such thing like Tanzanite is said to be from Kenya while it's proud of Tanzania and even Kilimanjaro mountain they tend to say is located in Kenya thought it's in Tanzania, meanwhile they proclaim and use it for tourists.Mtego huo. By so saying, he envisages 'reciprocity'
In terms of capacity (qualification) watz wengi hawana uwezo wa kuexcel kwenye white-collar jobs in Kenya.
Pia, wakenya wana roho mbaya, na ni watu ambao ni very aggressive when it comes to opportunities. Mkenya hana ile sense of 'undugu & ujamaa'. So mtz ndezi ndezi hawezi survive kwenye business atmosphere ya nchini Kenya.
Labor force ya Kenya ni very skilled! Wakenya wakimwagika hapa nchini, watz tumekwisha!
Rais Samia asiingie kwenye huo mtego wa kitoto.
-Kaveli-