Rais Kenyatta aruhusu Watanzania kuanza kufanya kazi na biashara Kenya bila kuwa na Work Permit wala Business visa

Rais Kenyatta aruhusu Watanzania kuanza kufanya kazi na biashara Kenya bila kuwa na Work Permit wala Business visa

Nasoma comments za kwene huu uzi, nyie Watanzania hata mubebwe mgongoni kabisa hambebeki, mumekua mnalalamika kwa sisi Wakenya tuna makampuni 500 Tanzania, ilhali nyie mumewekeza 30 pekee hapa Kenya, sasa sijui mfanyiwe nini, haya vikwazo vyote vimeondolewa bado mnalialia......
Kwa nini vikwazo vilikuwepo in the first place?
 
Huo ni mtego, Watanzania tujihadhari kesho tutageuziwa kibao, ndio maana nchi kama Marekani, inajaribu kupunguza biashara na China ila kulinda soko la ajira na biashara kwa Wamarekani.
Fanyeni kazi wacheni ndoto za kuogopa ushindani mliojengewa vichwani mwenu na jiwe.

Hakuna maisha yasiyo na changamoto za kiushindani.
 
Nasoma comments za kwene huu uzi, nyie Watanzania hata mubebwe mgongoni kabisa hambebeki, mumekua mnalalamika kwa sisi Wakenya tuna makampuni 500 Tanzania, ilhali nyie mumewekeza 30 pekee hapa Kenya, sasa sijui mfanyiwe nini, haya vikwazo vyote vimeondolewa bado mnalialia......
Achana nao hao wengine kazi kulalamika tu

Kenya wamejivua lawama kuwa nsiseme ohh permit ngumu kupata ohh visa ngumu kupata .Haya njooni mfanye kazi au biashara zenu free bila kisingizio .

KENYATTA KAFANYA JAMBO KUBWA
 
Twafa!! Ametegeshea na mama aseme hivyo hivyo!! Twafa!!
Mazingira ya watanzania kufanya biashara na kazi Kenya si rafiki! Kwa hiyo pamkja na kuruhusiwa bado ni watanzania wachache sana watakaothubutu kwenda Kenya kufanya biashara au kufanya kazi. Lakini ukifungulia mlango huo kwa wakenya kuja Tanzania, ndani ya miezi 6 kila sehemu ya Tanzania watajaa wakenya na tutajikuta watanzania tunakuwa watumwa ndani ya nchi yetu wenyewe!! Ni kama wachaga walivyotapakaa kkla kona. Wao ni sawa maana ni watanzania. Yeye ameruhusu sisi tusiruhusu!
Wewe nani hadi ushindane na maamuzi ya rais ambayo kimsingi ni ya kimaendeleo.

Huoni kuwa ametufungulia milango ya kufanya biashara ?

Njoo hapa Arusha uangalie leo watu tunavyo furahia hiyo fursa .

Tutapeleka mahindi kenya, vitunguu, maharage, mbaazi hayo mazao kenya yana soko kubwa tu.
 
Kasema mkafanye biashara siyo kutafuta ajira.

Sisi wauza mahindi mama katufungulia milango soon na sisi tutaanza kujenga magorofa na kusomesha watoto wetu IST.

[emoji122][emoji122][emoji122][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2087][emoji2087][emoji2087][emoji2087][emoji2087][emoji2087][emoji2087][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2135][emoji2101][emoji2101][emoji2101][emoji2101][emoji2101]
Hakika mkuu hapo tuna peta kabisa maana hali ilikuwa siyo yenyewe
 
Huo ni mtego, Watanzania tujihadhari kesho tutageuziwa kibao, ndio maana nchi kama Marekani, inajaribu kupunguza biashara na China ila kulinda soko la ajira na biashara kwa Wamarekani.
Kwa kufanya hivyo Trump aliua biashara za wamarekani ku compete globally na kuharibu soko lao marekani sababu manifacturing facilities zao ziko China ndio maana walimpiga chini uraisi

China cheap manufacturing costs makampuni kibao ya kimarekani yakakimbilia kule
 
Nasoma comments za kwene huu uzi, nyie Watanzania hata mubebwe mgongoni kabisa hambebeki, mumekua mnalalamika kwa sisi Wakenya tuna makampuni 500 Tanzania, ilhali nyie mumewekeza 30 pekee hapa Kenya, sasa sijui mfanyiwe nini, haya vikwazo vyote vimeondolewa bado mnalialia......
Wanao lalamika ni wale waliozoea kudekezwa tu .
Sisi wauza mahindi na vitunguu huu ndiyo muda wetu sasa kufanya kazi na wakenya.
 
Wakenya hawafai, narudia tena Wakenya hawafai.Cheza mbali na Wakenya ni watu na nusu wale
Mtajijua sasa wakati wenzenu ndiyo kwaanza kumekucha na tunamshukuru sana mama Samia .
 
Siyo suala la unyonge! Kwao hakuna nafasi lakini anasema njoo! Ukienda hutapata nafasi ya ardhi ili ujenge kiwanda chako kwa mfano. Kwetu kuna nafasi kwa hiyo wakija wanapata nafasi.
Ni sawa na familia mbili zikubaliane kuoleana! Vijana wako wakija kuoa kwangu sitawatoza mahari! huku nikijua kabisa sina mabinti wa kuozesha maana tayari walishaolewa!
Lakini nimeona wewe bado una mabinti wengi tu hawajaolewa! Ukikubali nitakuwa nimekuingiza mkenge!
Mimi nakuelewa sasa kauli yetu kila siku tuna imba tunataka wawekezaji waje ina maana gani wakitokea watu wanataka kuwekeza tunaanza kushtuka hawa wanataka kutuibia. weka sheria za kulinda haki ya nchi, mwekezaji akija kitu kikubwa atataka ardhi ya kuwekeza na ni kazi ya serikali kuwapa ardhi. Mama kasema sisi tuna ardhi kubwa nyinyi mna mtaji tufanye biashara. Mimi sisemi kuwamilikisha ardhi ila kuwapa ardhi ya kufanya uwekezaji. USA wakati wanakuja kigamboni watu wakaanza tunauza ardhi haiwezekani hao wakaondoka kila kitu kikadoda. Hii tabia tunataka hatutaki ndio shida. Hawa Dubai hawana chochote zaidi ya kuithamisha ardhi yao na leo ni moja ya ardhi bei kubwa na uwekezaji mkubwa.
 
Kigelegele kwa Kenyatta aruhusu watanzania kuanzia sasa ruksa kufanya kazi na biashara Kenya bila kuwa na work permit wala Business visa.

Kasema mida hii mkutano wa wafanya biashara.

---
Tanzanian investors intending to set up businesses in Kenya will not be asked for visas or work permits, President Uhuru Kenyatta has announced.

This comes as the first step in the removal of non-tariff barriers between the two countries that were announced on Tuesday, May 4, 2021.

“Tanzanians are free to engage in business transactions without VISAs or work permits provided all laws of the land are adhered to,” said President Kenyatta.

“The East African Community has opened our borders and have unlocked opportunities for the free movement of goods, services and products. Trade within our countries has thrived but we must accept it is yet to reach the level we expect.”

President Kenyatta who spoke during a business forum attended by Kenyan and Tanzanian businessmen and women commissioned the Kenyan Ministry of Trade to ensure that all agreements signed between the two nations worked.

“The prosperity for our two countries hinges on creating a conducive business environment and growing mutually beneficial trade. Kenya and Tanzania enjoy cordial relations going back to our pre-independence days,” said Kenyatta.

President Kenyatta also ordered the release of maize held at the Tanzania border within two weeks and the harmonization of Covid-19 testing to reduce congestion.

On the other hand, visiting President of Tanzania Samia Suluhu urged Tanzanian investors to leverage on the technological advancements in Kenya.

“There is an opportunity for Tanzania to leverage on Kenya’s technology. I urge Kenyan and Tanzanian investors to establish partnerships. Real development is realised when we develop together. The private sector is key in driving economic growth,” added Suluhu.

“Tanzania is highly committed to seeing a vibrant private sector capable of facing the challenges of the global economy through our industrialization drive.”

Source: Tanzanians Free To Do Business In Kenya Without Work Permits, Visas – President Uhuru Kenyatta


Hotuba yake hii hapa


Hii kwa sie watu wa zamani kidogo tunakumbuka kisa cha Ubasha cha zamani saana, jamaa aliingia town akaambiwa huku ukilemaa watu wanakupelekea moto. Akaanza kuuza embe na kumenyea watu huku mkali kama simba, sasa wakaja watu kumbahashia akahamaki na kwa bahati mbaya akajikata kidoleni sasa wajuba wakamwambia dawa ipo ila anatakiwa kuzamisha iko kidole katika tigo ya mjuba na mjuba alikubari na akaona sio kesi ili upone we weka tu.

Zikapita siku 3 -4 hivi kaja mjuba na kidole chake kimeumia kafata dawa kwa muuza embe, ebana heee .....................................japo ashakum si matusi.

Wenzetu wa Kenya hili watupe muda kidogo manake kuliwa hatutaki.
 
Wanao lalamika ni wale waliozoea kudekezwa tu .
Sisi wauza mahindi na vitunguu huu ndiyo muda wetu sasa kufanya kazi na wakenya.
kabisa unajibebea mwenyewe unaenda nayo moja kwa moja sokoni kenya bila mtu wa kati au unenda fungua kabisa godown la kuuza mazao yako kule

Wafanyabiashara wa mazao fursa hiyo
 
Omba omba kutoka 🇰🇪 Waje 🇹🇿 Wafanye nini? Na hizo pesa zenu zisizo na thamani?

Make it make sense
Thamani ya pesa au utoaji?

Maana Kenya tofauti na hapa Tanzania mtu anaweza kukuelezea shida na ukimuelewa unaweza kumpa hata elfu 5 na sio kule kila mtu ana pilika zake.

Tanzania ni nchi na wananchi wake wenye UTU na roho nzuri. Binafsi Kenya naijua sana,Wakenya ni wabinafsi, hawana UTU na wana roho mbaya sana.

Mfano Jaribu kupanga halafu useme umepata tatizo la ki fedha hauna kodi,tofauti na Tanzania unaweza kueleweka na mwenye nyumba akakupa muda.

Unafikiri mama ndio kaenda na muarobaini wa kumaliza tatizo la misuguano ya mara kwa mara Tanzania na Kenya?
 
Hii fursa Kenyata aliyotupa itakuwa haina maana kama kitengo cha kutoa passport kitakuwa kizito kuzitoa na urasimu wao wa kutaka sijui barua za mwaliko sijui nini.Watoe watu wakatafute fursa kenya
 
Mtego huo. By so saying, he envisages 'reciprocity'

In terms of capacity (qualification) watz wengi hawana uwezo wa kuexcel kwenye white-collar jobs in Kenya.

Pia, wakenya wana roho mbaya, na ni watu ambao ni very aggressive when it comes to opportunities. Mkenya hana ile sense of 'undugu & ujamaa'. So mtz ndezi ndezi hawezi survive kwenye business atmosphere ya nchini Kenya.

Labor force ya Kenya ni very skilled! Wakenya wakimwagika hapa nchini, watz tumekwisha!

Rais Samia asiingie kwenye huo mtego wa kitoto.

-Kaveli-

I have lived in Nairobi , what you are saying is very true, wakenya wako sharp sana and proficient , huyu mama kwa kweli anakoenda hapana. Huyu mama anataka kujifanya anafuraisha watu itakula kwake
 
kabisa unajibebea mwenyewe unaenda nayo moja kwa moja sokoni kenya bila mtu wa kati au unenda fungua kabisa godown la kuuza mazao yako kule

Wafanyabiashara wa mazao fursa hiyo
Shauri zenu kaeni na majungu yenu mtakuja kuletewa ridhiki zenu na jiwe
 
Hii fursa Kenyata aliyotupa itakuwa haina maana kama kitengo cha kutoa passport kitakuwa kizito kuzitoa na urasimu wao wa kutaka sijui barua za mwaliko sijui nini.Watoe watu wakatafute fursa kenya
Wacha kudanganya watu wewe.
Lini umeenda uhamiaji kutaka pasipoti ya kwenda east Afrika ukaambiwa lete barua ya mwaliko?
 
Hapa tumetupiwa ndoano, tukiingia tumenasa na mwisho wake ni mgogoro mkubwa sana...

Labor force ya Tanzania ni unskilled, Kenya wanalabor force kubwa skilled hapa tumeumia.
Makampuni mengi ya kimataifa, kienglish aka kiingereza aka kikristo ndio priority kwenye kutoa ajira, hapa wabongo tutapigwa maana wengi wasomi kiingereza cha kuunga unga...

Watz wengi hawajawahi kufika hata hapo kenya, hawajui the impact itakayotokea once wakifanya wanachotaka kufanya. Wakenya wenzetu Sijui walimpa nini Mungu , wako very sharp kichwani, wana akili za kutisha na ni quick learner , mkenya unaweza kumuweka kwenye kazi ambayo hajasomea ukamtrain within a short period of time akawa maste kuliko hat waliosomea. Huyu Mama Sijui anatupeleka wapi , tufanye tu uchaguzi kwa kqeli tunahitaji kiongozi makini sana
 
Fanyeni kazi wacheni ndoto za kuogopa ushindani mliojengewa vichwani mwenu na jiwe.

Hakuna maisha yasiyo na changamoto za kiushindani.
Hili ni somo gumu sana watanzania kuelewa. Wanajua dawa ni kujifungia tu humu na ufukara wetu
 
Back
Top Bottom