joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
- Thread starter
- #21
158, 6 deaths.Nilikuambia wewe huezi saidika.You are a lost case.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
158, 6 deaths.Nilikuambia wewe huezi saidika.You are a lost case.
#Habari:Maofisa Uhamiaji kituo cha Forodha cha mpaka mwa Kenya na Tanzania kilichopo Sirari wilaya ya Tarime mkoa wa Mara wamekamata wahamiahaji haramu 14 wanaodaiwa kuwa wa familia moja raia wa Kenya ambao wamekimbia toka nchini kwao baada ya jirani yao kufa kwa Corona. ITV on TwitterNew york unajua ni shit hole hata kushinda Tanzania. Imebeba takataka ya aina yote.
New york unajua ni shit hole hata kushinda Tanzania. Imebeba takataka ya aina yote.
Rais Kenyatta atangaza marufuku ya kuingia na kutoka katika jiji la Nairobi, Mombasa, Kilifi na Kwale ambako maambukizi ya virusi vya Corona yameripotiwa kuanzia kesho.
Kenya nijirani wetu wa karibu sana naomba serikali ya JPM kuchukua tahadhari zaidi kwasababu kinacho tokea Kenya kwa 70% kinaathiri na Tz au limetokea
Sent using Jamii Forums mobile app
hata mimi nimeliona hilo.huyu jamaa anaongoza vyema na anawapenda raia wake
haya tembea kifua mbere.Sisi huku tunachapa kazi kama kawaida na hatuwezi kuwaiga hao Wakenya..huo ndio utaratibu wetu, pigeni kazi..
Why lockdown?, but you said mass testing is enough for Kenya, isn't?, stupid people with low IQ, shall never win anything.hata mimi nimeliona hilo.
Haka kagojwa ni kadogo sana kwetuKila Taifa na taratibu zake punguza kihere here