Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
Halafu tatizo la ss wa Tz tunapenda sana kupoliticiseKila Taifa na taratibu zake punguza kihere here
Kadogo ee wait when you are locked insideHaka kagojwa ni kadogo sana kwetu
Hakuna "Lockdown" Tanzania. Au na wewe ni miongoni mwa wapingaji na wale wavivu wasiotaka kufanya kazi?Kadogo ee wait when you are locked inside
Haiwezekani ,sisi tunamjua sana Mungu ndo maana rais wetu ni kiongozi wa malaika mtarajiwa
Hapa ndio kipimo cha kupima udhahifu au uimara wa serikali zetu, wanasema shujaa hujulikana katika vita, na uongozi bora hupimwa katika kipindi cha matatizo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa ona marekani ilivyodhalilika , wale waliokua wanaona marekan ya inahadhi mpaka kuabudiwa wamebaki mdomo Kama bundi hafadhar China kaonyesha uimara hakuna wakumfikia duniani
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kweli corona imenifanya nione hizi super power ni mbwembwe nyingi na propaganda wakiwa hawana majanga imagine USA inayumba kwa kulaza na kutibu wagonjwa laki tatu tu, paka wabadilishe viwanja vya mpila kua hospitali ndo waweze, vifa tiba kama ventilators masks kutoka nje Marikini imepora meri ya vifa tiba ambae elikua ya ujerumani na spain duh eti super power labda kwenye kurusha mabomu kwenye nchi masikini ila hamna kitu Mungu ndo kila jambo. Raia wao million 10 hawakua na savings paka wapewe na serikali pesa ya chakulaKweli kabisa ona marekani ilivyodhalilika , wale waliokua wanaona marekan ya inahadhi mpaka kuabudiwa wamebaki mdomo Kama bundi hafadhar China kaonyesha uimara hakuna wakumfikia duniani
Sent using Jamii Forums mobile app
Toka atoe hiyo speech hajakanyaga kanisani! Akili za kuambiwa changanya na za kwako!Haiwezekani ,sisi tunamjua sana Mungu ndo maana rais wetu ni kiongozi wa malaika mtarajiwa
Toka atoe hiyo speech hajakanyaga kanisani! Akili za kuambiwa changanya na za kwako!Haiwezekani ,sisi tunamjua sana Mungu ndo maana rais wetu ni kiongozi wa malaika mtarajiwa
Kwhyo nchi za africa tumeshawapiga bao wwnzetu wa europe na amerikaHapa ndio kipimo cha kupima udhahifu au uimara wa serikali zetu, wanasema shujaa hujulikana katika vita, na uongozi bora hupimwa katika kipindi cha matatizo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo ni wa kumpuuza tuKwhyo nchi za africa tumeshawapiga bao wwnzetu wa europe na amerika
Hahaa!!we endelea kuongea vitu hta bila ya kufikiria tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nimekuambia mara nyingi kuwa mimi si hohe hahe kama wewe. Ninaishi maisha isiyo na bugdha.#Habari:Maofisa Uhamiaji kituo cha Forodha cha mpaka mwa Kenya na Tanzania kilichopo Sirari wilaya ya Tarime mkoa wa Mara wamekamata wahamiahaji haramu 14 wanaodaiwa kuwa wa familia moja raia wa Kenya ambao wamekimbia toka nchini kwao baada ya jirani yao kufa kwa Corona. ITV on Twitter
Wewe sio miongoni mwa hawa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu dawa za magojwa ya binadamu haziwi developed over night na hii ni pandemic, ni ugonjwa mpya,kuwa giant haina maana kwamba you have solutions of everything in handKweli kabisa ona marekani ilivyodhalilika , wale waliokua wanaona marekan ya inahadhi mpaka kuabudiwa wamebaki mdomo Kama bundi hafadhar China kaonyesha uimara hakuna wakumfikia duniani
Sent using Jamii Forums mobile app
Nani kasema, subiri baada ya miezi miwili kama chanjo haijapatikana ndio unaweza kusema hivyo.Kwhyo nchi za africa tumeshawapiga bao wwnzetu wa europe na amerika
Hahaa!!we endelea kuongea vitu hta bila ya kufikiria tu
Sent using Jamii Forums mobile app
March 30, 2020
Fake? Govt. dismisses letter on preparations for possible 21-day lockdown
The Ministry of Interior on its part has dismissed this document as fake, and urged Kenyans to disregard it. Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
Source: NTV Kenya
[emoji23][emoji23][emoji205][emoji205][emoji205]Mimi nimekuambia mara nyingi kuwa mimi si hohe hahe kama wewe. Ninaishi maisha isiyo na bugdha.