Rais Kenyatta atoa onyo kwa Somalia, ataka nchi hiyo kuacha kuichokoza Kenya

Rais Kenyatta atoa onyo kwa Somalia, ataka nchi hiyo kuacha kuichokoza Kenya

Aache unafiki kuingilia mumbo ya ndani ya nchi ya Somalia ndo kunasababisha haya kuanzia ku-support Jubaland na pia kuiba Territory ya Somalia Indian Ocean. Mkianza vita na Somalia ndo mwisho wenu maana Wabunge wote wa North eastern wanaiunga mkono Somalia including Duale! Don't be surprised the whole Arab world throw a support behind Somalia! Uliza kilichoitokea Ethiopia walipokuwa wakipigana na Eritrea!

CC: Zigi Rizla Kafrican Depay Teargass Tony254 pingli-nywee komora096
Somaliland, Puntland na autonomous states zote za Somalia zimekataa kumpokea Rais Farmajo wanasema hawataki afike kwao.. Huu ni wakati wa kampeni za kura ya Rais , Baada ya farmajo kukataliwa kwa hayo maeneo ya Somalia ndo sasa anatafuta uchokozi na Kenya.. Lengo lake lilikua anatarajia Kenya ikasirike na ijipige kifua na kuonyesha Somali ubabe.. Hii ingepelekea wasomali waguswe pabaya na kuwa na hisia kali didhi ya Kenya.... Farmajo angetumia hio chuki ya kuunganisha wasomali akijionyesha kwamba ni yeye pekee ndo akipigiwa kura tena anaweza kuwalinda wasomali kutoka kwa Kenya.....

300px-Somalia_map_states_regions_districts.png




Nchi ambazo ni autocratic hua lazima Rais ujionyeshe yeye ni strong man ambaye hatishwi na nchi yeyote, Hii strategy tumeiona kwa Ethiopia na pia kwa Uganda.... Ikifika wakati wa kampeni za urais hua tunawaona wanaanza kuchokoza Kenya ili kuonyesha wananchi wao kwamba wao ni wababe na Kenya haiwawezi.
Sasa farmajo amekula huu, hakupata lolote kutoka Kenya ,hata wasomali wenzake wamemuona kwamba amefanya move ya kijinga.... ikabidi aombe msamaha na kujifanya yeye ni mpenda amani...




------
Somaliland has rejected a planned joint visit by Somali president Mohamed Abdulahi Farmaajo and Ethiopian Prime Minister Abiy Ahmed.
A high-ranking official in Somaliland had confirmed a proposed visit to Hargeisa by Abiy and Farmaajo on the initiative of the PM. Hargeisa is capital of Somaliland, an autonomous region of Somalia.
Somaliland rejects plans by Farmajo to visit the breakaway republic
 
Somaliland, Puntland na autonomous states zote za Somalia zimekataa kumpokea Rais Farmajo wanasema hawataki afike kwao.. Huu ni wakati wa kampeni za kura ya Rais , Baada ya farmajo kukataliwa kwa hayo maeneo ya Somalia ndo sasa anatafuta uchokozi na Kenya.. Lengo lake lilikua anatarajia Kenya ikasirike na ijipige kifua na kuonyesha Somali ubabe.. Hii ingepelekea wasomali waguswe pabaya na kuwa na hisia kali didhi ya Kenya.... Farmajo angetumia hio chuki ya kuunganisha wasomali akijionyesha kwamba ni yeye pekee ndo akipigiwa kura tena anaweza kuwalinda wasomali kutoka kwa Kenya.....

300px-Somalia_map_states_regions_districts.png




Nchi ambazo ni autocratic hua lazima Rais ujionyeshe yeye ni strong man ambaye hatishwi na nchi yeyote, Hii strategy tumeiona kwa Ethiopia na pia kwa Uganda.... Ikifika wakati wa kampeni za urais hua tunawaona wanaanza kuchokoza Kenya ili kuonyesha wananchi wao kwamba wao ni wababe na Kenya haiwawezi.
Sasa farmajo amekula huu, hakupata lolote kutoka Kenya ,hata wasomali wenzake wamemuona kwamba amefanya move ya kijinga.... ikabidi aombe msamaha na kujifanya yeye ni mpenda amani...




------
Somaliland has rejected a planned joint visit by Somali president Mohamed Abdulahi Farmaajo and Ethiopian Prime Minister Abiy Ahmed.
A high-ranking official in Somaliland had confirmed a proposed visit to Hargeisa by Abiy and Farmaajo on the initiative of the PM. Hargeisa is capital of Somaliland, an autonomous region of Somalia.
Somaliland rejects plans by Farmajo to visit the breakaway republic
Huyu rais wa Ethiopia ashugulikie amani katika nchi yake kwanza kabla ya kupeleka kiherehere Somaliland. Somaliland is an independent country na haitaki mambo ya Somalia. Ethiopia yenyewe ina mambo mengi ya insecurity na rebellion na bado anarukaruka kwa sababu ako na Nobel peace prize. Asipochunga Ethiopia italipuka akiwa anazurura kwa neighbours.
 
Huyu rais wa Ethiopia ashugulikie amani katika nchi yake kwanza kabla ya kupeleka kiherehere Somaliland. Somaliland is an independent country na haitaki mambo ya Somalia. Ethiopia yenyewe ina mambo mengi ya insecurity na rebellion na bado anarukaruka kwa sababu ako na Nobel peace prize. Asipochunga Ethiopia italipuka akiwa anazurura kwa neighbours.
Security analysts duniani ambao wanafwatilia horn of Africa , karibia wote wanajiuliza huyo Rais wa Ethiopia anatumia advisers gani manake hichi kiherehere kinaharibu regional harmony... Alichofanya kati ya Ethiopia na Eritrea ni vizuri, lakini anayofanya huko Somalia kila mtu anashangaa whats there end game
 
ahaaa,mtu keshaingia mpaka kwenye ardhi yako tena unataka diplomasia ya nini tena,?,somalia hawaelewagi hizo mambo za diplomasia ni kuchapa tu kama kweli kenya inajiweza.
Ulizia kule UG kilitokea nn baada ya amin kuvamia ardhi ya tz,,?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom