Kenya 2022 Rais Kenyatta: Kila Mgombea ajiandae kupokea matokeo ya aina yoyote

Kenya 2022 Rais Kenyatta: Kila Mgombea ajiandae kupokea matokeo ya aina yoyote

Kenya 2022 General Election

BigTall

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2022
Posts
525
Reaction score
1,257
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta amewataka wanasiasa ambao wanagombea nafasi ya Urais katika uchaguzi wa Agosti 2022 kuwa tayari kupokea matokeo ya aina yoyote hata kama ni kushindwa.

Kenyatta ambaye anamuunga mkono mgombea wa Azimio La Umoja, amesema hawatakiwi kuhawamisha wapiga kura wao kufanya fujo kama ikitokea wakapoteza.

“Tunajua kuwa presha ya wagombea wetu zinapanda kila siku, kazi ya kutengeneza taifa ni ya kupokezana kizazi, nawatakiwa wote kila la kheri, tuwe na umoja huu hata baada ya uchaguzi,” - Kenyatta.

Source: Citizen Digital
 
Hahahahaha system ya Kenya nimeipenda!!!Kunamtu hataamini kitakachotokea licha yakuzungwa kuungwa mkono na Rais...Rutto na Uhuru wanacheza mchezo mzuri
 
Back
Top Bottom