Rais Kikwete akifungua Hoteli Mpya ya Kitalii ya Bilila Lodge Kempinski


Kama unawafahamu wamiliki wa kempisky hao ndo wenye bilila ambao pia kwa sasa wanataka kujenga tena 77 hoteel.
 
Kama unawafahamu wamiliki wa kempisky hao ndo wenye bilila ambao pia kwa sasa wanataka kujenga tena 77 hoteel.
Yote 9 lakini kwanini Balali (marehemu Gavana wa Benki Kuu ) huwa anakuja kupumzika Kempisky?
fuatilieni hata thread zipo humuhumu kuwa alifikia Kilimanjaro Hotel baadaye akaenda kwa Tudor Bilionea wa USA huko Mugumu?
Hiyo km yupo na Mkuu sijui ila malori yote kayauza ....huko mbele tena naogopa maana naona mizimu


 
Balali yupo mkuu anavuta vumbi la tanzania au Oxygen ya Obama. Akifa kweli ndo mtaambiwa alikua anaishi wapi.
 
Aliyekuwa anamiliki Kilimanjaro nasikia ndie mmliki wa bilila
 

Mkuu huhurumii kucha na meno ama wewe umri umekwenda?
 
Aliyekuwa anamiliki Kilimanjaro nasikia ndie mmliki wa bilila

Ni kweli kuna mwarabu wa dubai ambaye ndiye owner wa zamani kempinsk ya zanzibari,bilila na hiyo ya dar..alikosana na kempinski juu ya mkataba ndio maana akaamua kuvunja mkataba na kempinski ktk hizo hoteli zote tatu..
 
tatizo hatunaga hisa wala madaraka ya uendeshaji hata kodi hatuwezi chukua zaidi ya PAYE na SDLmm,, Corporate tax relief ya uwekezaji.
 
sOMETIME INATAKIWA LUWA PRESIDENTKUWA LOW PROFILE KWA EVENT ZINAZOHUSU POTENTIAL TAX PAYERS. WASHAURI WA RAISI ANGALIENI HILI. AKILETA MWEKEZAJI AKIINGIA KINGI NI KODI KWENDA MBELE NDIO TUTAISHI. TUKIWA NA URAFIKI TUTAVUNA MABUA. LEVEL FIELD PLAYGROUNG MI KESHO NAFUNGUA ICE CREAM KIOSKI.
 
Mzee wa kutembea na mikasi ya uzinduzi...yan unasafiri toka magogoni hadi Bilila kufungua hotel ya vyumba 80?? hakuna priorities bongo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…