Rais JMK amemteua Spika Mstaafu Mh. Pius Msekwa kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi. Msekwa mwenye umri wa unaokadiriwa 80+ atashikilia cheo hicho kwa miaka 5 kuanzia 2nd, May 2015.
===============
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Ndugu Pius Msekwa kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi.
Rais pia amemteua ndugu Daudi Rukiko Mayeji kuwa Mkurugenzi wa Jiji la Tanga. Kabla ya uteuzi huu, ndugu Mayeji alikuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilindi , Mkoani Tanga.
Uteuzi wa Ndugu Msekwa na wa Ndugu Mayeji umeanza tarehe 2 Mei, 2015
Imetolewa na;
Premi Kibanga,
Mwandishi wa habari wa Rais Msaidizi,
Ikulu, Dar es Salaam.
4 Mei, 2015
===============
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Ndugu Pius Msekwa kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi.
Rais pia amemteua ndugu Daudi Rukiko Mayeji kuwa Mkurugenzi wa Jiji la Tanga. Kabla ya uteuzi huu, ndugu Mayeji alikuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilindi , Mkoani Tanga.
Uteuzi wa Ndugu Msekwa na wa Ndugu Mayeji umeanza tarehe 2 Mei, 2015
Imetolewa na;
Premi Kibanga,
Mwandishi wa habari wa Rais Msaidizi,
Ikulu, Dar es Salaam.
4 Mei, 2015