Rais Kikwete amemteua Pius Msekwa kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi

Rais Kikwete amemteua Pius Msekwa kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi

Angemteua wema sepetu afadhali! Ila lazima kabla shemeji hajastaafu lazima spea-tu= sepenga ale udc
 
Akaleee wajukuu sasa ........akina Nkurunzinza wapo wa aina nyingi sana
 
Bado hajachoka kuteua? Shemeji kaondoka na lichama lake hilo. Asante kwa mtaji ulotupa

Uteuzi wa hawa Marais wa Tanzania hunishangaza sana, hivi hakuna watu wengine wenye kuweza kuteuliwa kushika nyadhifa hizo? Utasikia uteuzi wa Wenyeviti wa bodi za Makampuni ni hao hao, mabalozi nchi za nje wanateuana wenyewe, makamishna wa tume mbalimbali ni wenyewe. Hivi hawa wazee madaraka hayawachoshi wakawachia na wengine waitumikie nchi hii! Nini hasa maana ya kutangaza kustaafu?
 
Tukiwaambia mnaua Elimu yetu kwa nepotism na unafiki mnadai tunatukana. Pius ameshachoka mnadhani ataleta innovation gani katika hicho chuo kwa umri huo?
 
Rais JMK amemteua Spika Mstaafu Mh. Pius Msekwa kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi. Msekwa mwenye umri wa unaokadiriwa 80+ atashikilia cheo hicho kwa miaka 5 kuanzia 2nd, May 2015.

======================

Malipo kwa Msekwa naona yameanza baada ya kumsadia ndani ya CC na NEC
 
Rais JMK amemteua Spika Mstaafu Mh. Pius Msekwa kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi. Msekwa mwenye umri wa unaokadiriwa 80+ atashikilia cheo hicho kwa miaka 5 kuanzia 2nd, May 2015.

======================

Umri wa kisheria wa kuhudumu kama mkurugenzi ni miaka 21 mpaka miaka 70; sasa huyo wa miaka 80 effectiveness yake ikoje?
 
Umri wa kisheria wa kuhudumu kama mkurugenzi ni miaka 21 mpaka miaka 70; sasa huyo wa miaka 80 effectiveness yake ikoje?

Yaani unataka kusema ni uvunjifu wa kanuni au taratibu za ajira.Mkuu wa Chuo mimi nadhani hata ukiwa over 80yrs haina neno...mkwani kazi yake ni kuwavika kofia wahitimu
 
Yaani unataka kusema ni uvunjifu wa kanuni au taratibu za ajira.Mkuu wa Chuo mimi nadhani hata ukiwa over 80yrs haina neno...mkwani kazi yake ni kuwavika kofia wahitimu

Hana ushiriki wowote kwenye vikao vya baraza la chuo?
 
baada ya kuponda kuondoka kwa lowasa kapewa shavu

hiii nchi jaman...mponde mtukane alie tofauti na mkuu wa kaya...shavu utapata jamani cc Makonda.....malecela aliekomaa na lowassa ..ane kilango waziri..... ana abdalah mke wa msekwa mkuu wa bodi ya wadhamini ccm....kaz kwel kweli
 
Back
Top Bottom