Rais Kikwete ateua mabalozi wapya. Marmo, Batilda na wengine ndani!

Huyu ndo mnasema ana PHD FEKI?






JK akiwa na familia ya Dkt. Deodorus B. KAMALA ambaye ameteuliwa kuwa Balozi nchini BELGIUM. Kabla ya hapo Mhe. Kamala alikuwa Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki.
 

JK na familia ya Bibi Shamim NYANDUGA ambaye ameteuliwa kuwa Balozi nchini MSUMBIJI. Kabla ya hapo Bibi Nyanduga alikuwa Naibu Mkuu wa Itifaki, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.
 

Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano Wizatra ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bw. Assah Mwambene, akipata kumbukumbu kwa iPad 2 yake
 
Hata kama hatutajari sana elimu ya wateuliwa lakini kwa ukaribu tuliona sasa wa kibiashara na china tulipashwa tuwe na balazo kijana pia mwenye elimu ya kibiashara ingeritusaidia sana.
 
Huo ni ujinga wa baadhi ya waliomo humu. Nadhani hawa walikuwa wanapitwa na wasichana darasani ndiyo maana wana chuki namna hii.

MALE CHAUVINIST P*GS
Na huu ndio ujinga wa wanawake kama wewe ambaye kuambiwa ukweli unadhani ni kudhalilishwa. Mie nazungumza mambo ninajua sio wote wanavua chupi lakini wengi mnavua.
Kwa taarifa yako mnajidhalilisha wenyewe.
Ni kweli sikuwa na shida na visichana darasani maana nilikwenda shule kusoma sio kuangalia visichana. Lakini nyie ambao mlikwenda shuleni kusoma masomo yote pamoja na sexing ndio hawa mnaopewa dezo. Sasa unalalamika nini?
 

Kumbe nimekupata kweli kweli ndiyo wewe hasaa!

Na hivyo ulivyo react unaonyesha umeathirika kijana. Endelea tu Chauvinists hawataisha katika karne hii. Mungu aliumba na kuwapa akili wote me na ke sawasawa wewe baki hapo hapo tu ukilia kwa maumivu.

Laaaa haulaaaaa!
 
Kwa hiyo ukifanya kazi na JK lazima akubebe.. %age kubwa ni ya waliokuwa Min. of Foreign Affairs.
 
Hongereni sana.

Hongera Ali Saleh kuwa balozi Oman. Tulikufahamu sana tokea ukiwa India na badae Dubai kwa kazi zako njema na kuitanga za Tz.
 
Bado naitafta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…