Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Jengo la hospitali ya Mbagala Zakhiem lilifunguliwa na Rais Kikwete Desemba 2012, leo hii jengo hilo halifai kwa matumizi kwani lina nyufa nyingi sana, kwa ujumla limechakaa kupita kiasi likiwa na umri wa miaka 10 tu!
Je, haya majengo ya Serikali hukaguliwa kila hatua ya ujenzi na mamlaka husika?
Je, haya majengo ya Serikali hukaguliwa kila hatua ya ujenzi na mamlaka husika?