Rais Kikwete ukipitsha ongezeko la posho bungeni na Mungu akutwae tu mwaka huu!!!

Rais Kikwete ukipitsha ongezeko la posho bungeni na Mungu akutwae tu mwaka huu!!!

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Pengine tumeitwa misukule na wakenya na wanyarwanda na waganda kwa kukaa kimya kuhusu malipo ya laki tatu kwa wabunge wa bunge la katiba.

Leo natangaza kama mtumishi wa MUNGU Kama mpakwa mafuta nasema kama tulivyoomba wiki moja mnajimu akatangulia mbele za haki.

Usiku huu nimemwacha mke chumbani namwomba MUNGU akupe nguvu usithubutu kuongeza hata 500 kwenyev300,000 ya posho za wabunge na kama itatokea na MUNGU asikuache mwaka huu.

Siombi kwa ubaya naomba kwa machozi nikiwalilia walimu wanaolipwa laki tatu kwa mwezi na mpaka leo awajapata mishahara yao leo anapewa mtu mmoja laki tatu.

Kama waungana nami sema na iwe hivyo.

Amen.
 
Atapitisha,ili Lao litimie la serikali mbili,na Kama haitapitishwa zitapitishwa chini ya meza serikali hii ni mafia
 
Nlitaka kuunga mkono hoja, tatizo ni MUNGU anae mzungumzia, ni mungu yupi?
Je ni wa hivi "MUNGU" au hivi? "mungu".

Ila kwa mujibu wa maneno yako huyo unaemzungumzia ni huyu "mungu", na ashindwe.
 
Mambi kama haya yaelekeze kwenye familia yenu iliyokosa mwelekeo kwenye mipango ya hapa duniani.
 
Watu wengine wanafaa kuchanganyika na magugu maji wala siyo kuwepo na watu make akili zao hazifanani na akili za watu.
 
Anaweza kupitisha kama rushwa kwa wajumbe ili wafuate matakwa ya CCM ya serikali 2.
 
Mungu Hatendi miujiza kwenye mambo yanayowezekana..

Ametupa Akili,Nguvu..nk

huyo Jk ni sisi tumemuweka na sisi ndiyo tunaweza kumtoa..Tunataka Mungu afanye nini kama hatutambui nafasi yetu??

Hakuna aliye juu ya sheria kwenye hii Nchi..Ila umaskini wetu wa Akili umetufanya tutawaliwe na wappumbavu kama CCM...
 
::
Ha ha ha kwa mfumo wa Taifa letu, mtaomba sana
=
 
Hata asipoipitisha, Mungu amtwae tu manake tushachoshwa!
 
ndugu! mbona umetumia maneno mazito hivyo? kweli posho inauma sana maana huo ni mshahara wa mwezi mzima wa baadhi ya wafanyakazi
 
Watu wengine wanafaa kuchanganyika na magugu maji wala siyo kuwepo na watu make akili zao hazifanani na akili za watu.
Aiseee basi wewe ndio wakuchanganya na pumba kabisa tumpe kitimoto ale.....
 
nlitaka kuunga mkono hoja, tatizo ni mungu anae mzungumzia, ni mungu yupi?
Je ni wa hivi "mungu" au hivi? "mungu".

Ila kwa mujibu wa maneno yako huyo unaemzungumzia ni huyu "mungu", na ashindwe.

mkuu kumradhi unajua tanesco yetu
tunandka gizan nashukuru kunrekebsha na mungu akubariki
 
Nlitaka kuunga mkono hoja, tatizo ni MUNGU anae mzungumzia, ni mungu yupi?
Je ni wa hivi "MUNGU" au hivi? "mungu".

Ila kwa mujibu wa maneno yako huyo unaemzungumzia ni huyu "mungu", na ashindwe.

God can't be define by only letter.
 
Back
Top Bottom