Pengne
tumeitwa misukule na wakenya na wanyarwanda na waganda kwa kukaa kimya kuhusu malipo ya laki tatu kwa wa bunge wa bunge la katibA
leo natangaza kama mtumishi wa MUNGU Kama mpakwa mafuta nasema kama tulivyoomba wiki moja mnajimu akatangulia mbele za hakI
uciku huu nimemwacha mke chumban namwomba MUNGU AKupe nguvu usithubutu kuongeza hata 500 kwenye300,000u posho za wabunge na kama itatokea na MUNGU asikuache mwaka huu mh rais
siombi kwa ubaya naomba kwa machozi nikiwalilia walimu wanaolipwa laki tatu kwa mwezi na mpaka leo awajapata mishahara yao leo anapewa mtu mmoja laki tatu kama waungana nami sema na iwe ivyO
amen
Mtumishi,
Imani bila matendo haina maana. Maombi yako yaelekeze kuwawezesha walimu kujitambua ili wapambane na mfumo unaowanyonya!
Wanyonyaji ni wachache sana na ni rahisi kuwashinda kama wanaonyonywa wanajitambua!