Rais Kikwete : wimbo wa Salome ni mzuri sana,ndiyo maana mimi ni mshabiki wa Diamond

Rais Kikwete : wimbo wa Salome ni mzuri sana,ndiyo maana mimi ni mshabiki wa Diamond

Huyu mzee wakina Mnyika walikuwa wanamwita jina gani vile
 
Rais wa nchi kumpongeza rais wa mziki si vibaya long live mondiiii
 
Nimecheka peke yangu, mwanzo nilidhan ni yule chancellor wa udsm
 
Kuna taarifa naifuatilia kuhusu Le Baharia kusaidia wahañgà wa tetemeko kulala Double Tree hotel hadi pale misaada itakapotolewa...........
Haha haah ebu ifuatilie haraka hiyo habari
 
....akiendelea kueleza RAIS HUYO amesema ndege hizo sabini, moja itakuwa reserved kwa ajili ya King of all social media all the way from downtown aliyetunikiwa le degree tatu kwa pamoja. Kuwekwa kwa ndege hiyo only for Le akili kubwaz kumezingatia uzito wa mwili na tabia yake ya kujiachia miguu huku na kule akiwa katika vitanda vya hotel ya double tree hivyo atapewa BOMBADIA ya peke yake. Mhudumu katika ñdege hiyo anatarajiwa kuwa mmarekani wa green card mwenye talaka moja na swahiba wa karibu wa Le baharia Mange Kimambi... Pia rais amefichua furaha yake juu ya kupenda mashati na pens za Le Bàharia Le Mubebez zenye uwezo wa kufunika vitz mbili.
Hatari tupu mkuu
 
Back
Top Bottom