Wa Kwilondo
JF-Expert Member
- Sep 15, 2007
- 1,081
- 313
kwa kuwa si mkiboshosidhani kama wanachama na viongozi wa chadema watamkubali! Labda aende tlp na cuf!
Wadau wa sheria naomba kujua ikiwa mwaka huu Rais JK akajiondoa CCM na kujiunga CHADEMA itakuwaje?
mbona slaa ana kadi ya ccm no problem at all
hahaha kiona mbali tena anailipia kila mwaka. chezea shilingi weye?ametegeshea siku watakapomcheweleshea mshahara atarudi kirahisi
Wadau wa sheria naomba kujua ikiwa mwaka huu Rais JK akajiondoa CCM na kujiunga CHADEMA itakuwaje?