GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kwa Zawadi ya Gari aina ya Hammer ninaloenda Kuzawadiwa Wiki ijayo Ofisi za JamiiForums au?Popoma umechanganyikiwa
Yaani Chawa Gegedu wangu au?Aiseee Mimi nitakua msaidizi wako
Chanzo: aminihivyohivyo.comChanzo basi vinginevyo ni porojo za Cheatchat!
Hongera.Genta ndio mimi
Na nasikia anatamani mno na sana Kumjua GENTAMYCINE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" ili amuulize anataka ampe Cheo gani ili amsaidie na alisaidie Taifa lake Tukuka.
Haters msichoke Kunichukia JF Okay?
I doubtDo you really expect that Blessed and Certified dame Fool to understand / understand you?
Huna Adabu kabisa Mtani wangu Wewe. Nimecheka mno Mtani. Sifi leo Wala Kesho Kudadadeki.mtani niko na wewe bega kwa bega hadi siku tunakuzika nitakuepo,
Nikipewa Cheo cha kuwa Mtunza Funguo zote za Benki Kuu na Hazina za Serikali nitamshukuru sana Rais.Ungependa upewe cheo gani??
Mama huyu hapa; Samiaagain2025
Ila mtani ninakupigia debe sio unapewa cheo (ulaji) halafu uje kunisahau!!, hapatatosha ππ
Nitakukumbuka Wewe pia au hautaki?Umekumbuka ndugu zako lakini?