Rais Magufui, nakuomba kwa heahima na taadhima siku nyingine Simba ikicheza tazama hiyo mechi ikulu


Refa jana maamuzi mengi kawabeba Yanga. Sijui alijua ni timu ya chama.
 
Refa jana maamuzi mengi kawabeba Yanga. Sijui alijua ni timu ya chama.
Tumeona zile faulo alizokua akifanyiwa Morison waamuzi walikua wanapeta, zingefanywa na mchezaji wa upande mwingine wangekua wameshalimwa kadi nyekundu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…