Rais Magufuli aamrisha wananchi kwenda kujisaidia nyumbani kwa mkurugenzi na DC Kibiti

0
 
Aliposema ndani ya siku saba choo kijengwe hujapaona?
Ndani ya miaka 5 ya uongozi wake hili halikufanyika wateuliwa wake wakiwepo wanafanya kazi zake, je atasimamia mwenyewe kazi ikamilike ndani ya wiki moja? Tatizo kubwa hapa ni yeye mwenyewe na liko nchi nzimà linatokana na uteuzi kwa kuwaangalia usoni wateule kujua ni nani, wanatoka wapi na wanamuweka mbele Mungu yupi badala ya kuangalia uwezo na uzoefu wao. Nyumba ya DC ni Ikulu ya kufikia Rais Wilaya yoyote isiyo na State Lodge rasmi. Wafanya biashara watashangaa siku moja kumkuta Rais wao mpendwa chooni wakienda kujisaidia nyumbani kwa DC. Afadhari watumie nyumba ya DED.
 
Matatizo Kama haya Ni matokeo ya wateuliwa KUWA na kiburi Cha dharau,


Huwezi kukusanya ushuru Halafu soko halina choo.

Ikiwa mwenye hoteli TU analazimishwa awe na choo sembuse soko?

Bwana au Bibi Afya sijui anakaguaga Nini kwa Wafanyabiashara akashindwa kukagua choo Cha soko?
 
Mkuu mbona unatetea viti vya ajabu? Hivi swala la kujenga choo cha uma tena kwenye mkusanyiko wa watu ni mpaka wasubiri maamuzi kutoka juu eti kisa mfumo mbovu?. Ki ukweli wateule wengi wanamungausha sana muheshimiwa mtu unakuta hawezi kabisa kuongoza lakini ndio hivyo kapata bahati ya kuteuliwa. Hivi kweli ujenzi wa choo ni wakusubiri hadi raisi aseme. Kwanza Mh. Raisi kawahurumia sana hawa walistahili adhabu nyingine maana wanacheza na maisha ya watu.
 
Afu Wajinga wanashangili utumbuaji....
 
Wewe umenena hali halisi mkuu na ubarikiwe sana. Hili hata Raisi analifahamu sana, yaani hata ushuru wa machinjio na minada yote inakusanywa kwa mashine za EFD. Kimbembe ni pale mnapozihitaji kwa shughuli mbalimbali za halmashauri kuzipata inakuwa mbinde sana. Ukiwa mkurugenzi kuhamisha fedha za fungu fulani kwenda shughuli zingine zilizoibuka ni kosa la kuweza kukufanya utumbuliwe na hili limeshawatokea bahadhi ya maDED. yaani mpaka zile mia 5 au elfu moja za ushuru wa machinjio huko vijijini na hata ushuru wa minada zinaenda hazina!!!! yaani minada na masoko mengi huko vijijini hayana vyoo na maisha yanakwenda.
 
Tuna rais mbovu na mwenye mambo yasiyofaa. Najua ccm walilazimika kumchagua mwaka 2015 kuokoa jahazi tu kutokana na wingi wa kura kutoka mikoa ya kanda ya ziwa ila hafai kabisa na akina Mwinyi na Kikwete wanafahamu na kukerwa sana na hili.
Yaani ningekuwa Kibiti leo ningekula makande ya njugu harafu kesho uharo wake angeushudia huyo DC si kwa uzembe huo.
Yanalipana posho tu kapumbavu sana
Mbona kama maamuzi ya hasira sana?Mara gari ya DED igeuzwe ambulance,huku tena watu wakajisaidie kwa DC, aisee
Magufuli hana viongozi,ajipange upya labda awapeleke crush program ya miezi mitatu mitatu ndio wapewe majukumu.
Nakiri kuwa Rais na Mwenyekiti wangu CCM Taifa Dkt. Magufuli ni Mtu wa Jazba ila tukiacha Unafiki kwa 99% anaangushwa tu na Watendaji wake.
Tatizo ni yeye,tunaenda kumpumzisha October
What kind of leadership is this? Badala ya kutatua tatizo anaongeza tatizo
Ccm aspirants always claim to build the nation but they end up building their stomachs.
 
Tatizo hataki kutengeneza mifumo na taasisi imara..

Ni aibu Rais kushughlikia vyoo vya soko.. wakati wenzie wapo duniani kupambania uchumi.
Duniani hawezi kwenda kwakuwa lugha ni tatizo [emoji3]
 
Kama nyumba ya mkurugenzi haina choo cha nje si ndio itakuwa balaa?!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…