Rais Magufuli aendelea kutoa mafunzo kwa viongozi wa Afrika

Rais Magufuli aendelea kutoa mafunzo kwa viongozi wa Afrika

Dnt compare Tanzania with Kunyaland. The only thing Kenyans are good at is slaughtering themselves bloodshed. These people are like cursed. Hawana tofauti na wale wa Rwanda na nikisema ni compare Rwanda na Kenya then Rwanda iko better, Kenya will never mda na wakati wowote pananuka na kama si wao kwa wao basi Alshabibi will be in the hause. Hawa wako kwenye kiganja cha mzungu hawana jipya kabsa. Ndo maana wanaimezea mate nchi za majirani na kung'ang'ania viziwa ila no matter how developed than Tz it might be on papers still smells blood
Kenya hata Wabunge hawawezi kuitikia ujinga wa kumpa mtu muhura wa tatu, leave alone Uhuru agreeing or refusing.
 
English correction first: it should be ''... does Tanzania have?''
At the moment Tanzania has one, but it has so many amendments and possibly could be amended. So, my point is that he has to say that the term in office duration will not change.
Why do you use "has" after Tanzania instead of "have"?.

My point is, there is no country with two working constitutions, The President always executes his/her duties under constitution he was sworn in.
 
Sasa cha ajabu hapo ni nini? Kwani rais Uhuru Kenyatta amesema mara ngapi kwamba ataondoka mwaka wa 2022? Jambo la muhimu kwa kiongozi wa kweli na anayejiamini ni kuheshimu vifungu vyote vya katiba, sio kuchagua chagua kwa kusema kwamba muhula wake ukiisha ataondoka, wakati wapinzani anawakandamiza na kuwatisha na wanahabari nao anawanyamazisha na hawapi uhuru ambao kikatiba ni haki yao. Kabla ya kuitwa kiongozi wa kuigwa Magufuli angehakikisha kwanza kwamba Tz kuna tume huru ya uchaguzi na kwamba uchaguzi ujao utakuwa wa haki.
 
Sasa cha ajabu hapo ni nini? Kwani rais Uhuru Kenyatta amesema mara ngapi kwamba ataondoka mwaka wa 2022? Jambo la muhimu kwa kiongozi wa kweli na anayejiamini ni kuheshimu vifungu vyote vya katiba, sio kuchagua chagua kwa kusema kwamba muhula wake ukiisha ataondoka, wakati wapinzani anawakandamiza na kuwatisha na wanahabari nao anawanyamazisha na hawapi uhuru ambao kikatiba ni haki yao. Kabla ya kuitwa kiongozi wa kuigwa Magufuli angehakikisha kwanza kwamba Tz kuna tume huru ya uchaguzi na kwamba uchaguzi ujao utakuwa wa haki.
Jukumu la kwanza na wajibu muhimu kabisa wa katiba ni kuthamini na kutunza maisha ya binadamu, rais yeyote ambaye hatuzi na kuheshimu uhai wa watu wake huyo hafai kuwa rais. Maelfu ya wakenya wameuliwa chini ya Uhuru Kenyatta na watangulizi wake na hakuna hatua zozote zilizochukuliwa.

Kabla hujazungumzia Uhuru wa habari au tume huru ni lazima kwanza kabisa haki ya kuishi ambayo ndio haki mama na muhimu kuliko zote lazima zizingatiwe. Watanzania waliouliwa au kupotea katika mazingira ya kisiasa ni chini ya 5% ya wakenya waliouliwa. Lazima mkubali kujifunza toka Tanzania.
 
Back
Top Bottom