johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Abubakar bin Zuberi!Sijui utaitwa msikiti wa mtakatifu nani!
Ponda yuko na Tundu Lissu!Mbona sheikh Ponda hawakumwalika au yeye sio muislam
Sio Saidi. Ni RashidHahaha yeye hana Jina la kiislamu au hajalipata?!
Mwenziye huku kawe Saidi anaswali siku hizi.
Hahaha labda mwenyekiti ataitwa Said?Sio Saidi. Ni Rashid
Mnaelekea kuehuka kutoka kupiga magoti Mpaka kuzindua misikiti Mara kumikumi .Rais Magufuli amefungua msikiti wa kisasa unaoitwa Abubakar Bin Zuber Chamwino Dodoma leo.
Hafla hiyo imehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Vyombo vya Dola akiwemo CDF Mabeyo, IGP Sirro, Mkurugenzi wa TISS, Diwani na makamanda wa JKT waliojenga msikiti huo.
Source: Channel Ten
Maendeleo hayana vyama!
Ponda yuko na Tundu Lisu!
Mabeyo ameshusha sana hadhi ya jeshiRais Magufuli amefungua msikiti wa kisasa unaoitwa Abubakar Bin Zuber Chamwino Dodoma leo.
Hafla hiyo imehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Vyombo vya Dola akiwemo CDF Mabeyo, IGP Sirro, Mkurugenzi wa TISS, Diwani na makamanda wa JKT waliojenga msikiti huo.
Source: Channel Ten
Maendeleo hayana vyama!
Huu msikiti ulistahiri upewe jina la aliyechangisha na kuwezesha kujengwa kwake.Rais Magufuli amefungua msikiti wa kisasa unaoitwa Abubakar Bin Zuber Chamwino Dodoma leo.
Innalilahi.....Rais Magufuli amefungua msikiti wa kisasa unaoitwa Abubakar Bin Zuber Chamwino Dodoma leo.
Hafla hiyo imehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Vyombo vya Dola akiwemo CDF Mabeyo, IGP Sirro, Mkurugenzi wa TISS, Diwani na makamanda wa JKT waliojenga msikiti huo.
Source: Channel Ten
Maendeleo hayana vyama!
Nimeona picha za uzinduzi. Hadi wala 'mboga' wameingia msikitini.....SubhanallahAbubakar bin Zuberi!
Wala mboga ndio nani hao!Nimeona picha za uzinduzi. Hadi wala 'mboga' wameingia msikitini.....Subhanallah