Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado tungesikia, katika sherehe hizo za ufunguzi ambazo zilitanguliwa na gwaride rasmi la majeshi ya ulinzi na usalama na kukaguliwa na Mufti mkuu wa Bakwata akisaidiwa na Rais Juma Magufuli [emoji23][emoji23][emoji23]Hahahah vyombo vya ulinzi na usalama kwenye uzinduzi wa msikiti.# Ni yeye 2020#
Huyu ni MustaphaHahaha yeye hana Jina la kiislamu au hajalipata?!
Mwenziye huku kawe Rashidi anaswali siku hizi.
Hahahaahhaahhaa.Hahaha yeye hana Jina la kiislamu au hajalipata?!
Mwenziye huku kawe Rashidi anaswali siku hizi.
Ni kosa kubwa kwa rais kufungua nyumba za ibada wakati huu wa kampeni.Rais Magufuli amefungua msikiti wa kisasa unaoitwa Abubakar Bin Zuber Chamwino Dodoma leo.
Hafla hiyo imehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Vyombo vya Dola akiwemo CDF Mabeyo, IGP Sirro, Mkurugenzi wa TISS, Diwani na makamanda wa JKT waliojenga msikiti huo.
Source: Channel Ten
Maendeleo hayana vyama!
Kosa kwa rais kufungua nyumba za ibada wakati wa kampeni? Kosa kwa mgombea au kwa rais maana kuna wakati rais anakua mgombea na kuna wakati anakua rais.Ni kosa kubwa kwa rais kufungua nyumba za ibada wakati huu wa kampeni.
Abubakar bin Zuberi!
Double standard imeshika kasi sana hapa Bongo.Kura Zimeombewa Msikitini, NEC Kimya Bila Kusema Lolote!!
Mufti mkuu wa waislamu wote Tanzania!Ndio nani huyo?
Labda kamaanisha wale Mifugo wenye pua bapa na vimikia vidogo.Wala mboga ndio nani hao!
Bora nisali Nyuma ya choo kuliko kusalia msikiti huo shime waislamu ... huo si msikiti wenye kumbukumbu nzuri kwa waislam wapenda haki katika nchi hii hasa katika utawala huu wa awamu ya 5Rais Magufuli amefungua msikiti wa kisasa unaoitwa Abubakar Bin Zuber Chamwino Dodoma leo.
Hafla hiyo imehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Vyombo vya Dola akiwemo CDF Mabeyo, IGP Sirro, Mkurugenzi wa TISS, Diwani na makamanda wa JKT waliojenga msikiti huo.
Source: Channel Ten
Maendeleo hayana vyama!
Yesu Wa Lugola!"msikiti uliojengwa kwa fedha za makafir, ukazinduliwa na makafir ili kulinda heshima za kikafir"
Yesu Wa Lugola.Mufti mkuu wa waislamu wote Tanzania!
Nilimsikia Yesu Wa LugolaBora nisali Nyuma ya choo kuliko kusalia msikiti huo shime waislamu ... huo si msikiti wenye kumbukumbu nzuri kwa waislam wapenda haki katika nchi hii hasa katika utawala huu wa awamu ya 5
Msikiti huo ni zawadi ya kinafiki uliotolewa ili kuficha udhalimu wa sikali ya Magufuli kupitia kIchaka cha BAKWATA na genge lao la kina Zuberi na Al-Hadi adhabu ya allah unawsubiri in shaa allah
Mabeyo ameshusha sana hadhi ya jeshi
Anaitwa J4Hahaha yeye hana Jina la kiislamu au hajalipata?!
Mwenziye huku kawe Rashidi anaswali siku hizi.
Una maanisha huyu hapa?Labda kamaanisha wale Mifugo wenye pua bapa na vimikia vidogo.
Code za mujini hizo kaa pembeni usubiri posho yakoWala mboga ndio nani hao!