johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wakizungumzia deni la taifa la nchi yao ambalo limekua mara dufu baada ya ujenzi wa miundombinu ikiwemo reli ya kiwango cha SGR wakenya wameitaka serikali yao iache kukopa na badala yake itumie fedha zake. Mkopo wa ujenzi wa reli hiyo umetolewa na China.
Chanzo: BBC Dira ya Dunia
My take; Rais Magufuli anatoa uongozi wa mfano barani Afrika!
Chanzo: BBC Dira ya Dunia
My take; Rais Magufuli anatoa uongozi wa mfano barani Afrika!