johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wanaongea wasilolijua kama wewe unavyoshabikia usiyoyajua! Wameambiwa huku fedha za ndani wakajua Kweli? Na Hilo skyrocketed Deni la taifa anakopa mjomba wetu? Za kuambiwa changanya na za kwako sio kupokea kama kinda la Ndege utakuja kulishwa misumariWakizungumzia deni la taifa la nchi yao ambalo limekua mara dufu baada ya ujenzi wa miundombinu ikiwemo reli ya kiwango cha SGR wakenya wameitaka serikali yao iache kukopa na badala yake itumie fedha zake. Mkopo wa ujenzi wa reli hiyo umetolewa na China.
Source BBC Dira ya Dunia
My take; Rais Magufuli anatoa uongozi wa mfano barani Afrika!
Wewe unakula misumari?!Wanaongea wasilolijua kama wewe unavyoshabikia usiyoyajua! Wameambiwa huku fedha za ndani wakajua Kweli? Na Hilo skyrocketed Deni la taifa anakopa mjomba wetu? Za kuambiwa changanya na za kwako sio kupokea kama kinda la Ndege utakuja kulishwa misumari
Wewe macho yako yanaona Ubelgiji tu........siyo kosa lako!Hakuna mahali ambapo nimeona Wakenya wameguswa na jpm kwenye content ya habari yako kama ulivyoeleza kwenye title.
Wewe unamjua?!Nawapa pole sana maana hawamjui!
Hakika mkuu!Nilishasema mara nyingi humu huu mziki wa JPM sio wa subwoofers za kichina.
Duh! Kweli kabisa?Wamchukue tu kama wanamtaka
Hakuna aliyekataa ila ujue Deni la Kenya limefikia sehemu mbaya kiasi wamefikiwa kugongewa kengere za hatari na Word Bank na IMF, Sasa wanaminywa sana kwenye kodi na wanatumia nusu ya pato lao kwa mwezi kulipa madeni sasa kama wananchi wamelalamika kuwa hiki sicho kama Tanzania imeweza kujenga Reli ya SGR toka Dar - Dodoma KM 725 Kwa pesa za ndani ambazo ni sawa na USD $ kama 3.14 Billion = Tsh 7.06 Trilion Kwanini Kenya wamekopa USD $ 3.6 toka China kujenga Reli KM 485...!Kenya nchi nyingine uwezi kuilinganisha tanzania.Bajeti ya nchi hiyo ni sawa na Bajeti ya Tanzania +Rwanda.Kenya inatakiwa kuingizwa ktk nchi zenye viwanda vya kati/uchumi wa kati.
Well said!Hakuna aliyekataa ila ujue Deni la Kenya limefikia sehemu mbaya kiasi wamefikiwa kugongewa kengere za hatari na Word Bank na IMF, Sasa wanaminywa sana kwenye kodi na wanatumia nusu ya pato lao kwa mwezi kulipa madeni sasa kama wananchi wamelalamika kuwa hiki sicho kama Tanzania imeweza kujenga Reli ya SGR toka Dar - Dodoma KM 725 Kwa pesa za ndani ambazo ni sawa na USD $ kama 3.14 Billion = Tsh 7.06 Trilion Kwanini Kenya wamekopa USD $ 3.6 toka China kujenga Reli KM 485...!
Ukikopa unauhakika wa kukamilisha mradi. Ni zaidi ya mwaka sasa SGR yao Mombasa -Nairobi imekamilika na wanakaribia Busia mpakani na Uganda. Waganda nao wanakaribia Kampala toka Busia!Wakizungumzia deni la taifa la nchi yao ambalo limekua mara dufu baada ya ujenzi wa miundombinu ikiwemo reli ya kiwango cha SGR wakenya wameitaka serikali yao iache kukopa na badala yake itumie fedha zake. Mkopo wa ujenzi wa reli hiyo umetolewa na China.
Source BBC Dira ya Dunia
My take; Rais Magufuli anatoa uongozi wa mfano barani Afrika!