Rais Magufuli aiagiza Wizara ya Nishati kumrejesha kazini mara moja aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa TPDC, Dkt. James Mataragio

NI BUSAWE SIO MAJIMOTO
 
Hoja yako naiunga mkono. Ni vizuri raisi akaipitia orodha yote ya wakuu wa mashirika waliotimuliwa ama kusmamishwa kazi kwa mzuka kunako 2015/2016. Wengi walionewa sana!
 
The dude was based in TX not OK
 
Ok,anarejea nan alibariki kuondolewa kwake,mpaka miaka yote hiyo wataalamu wengi waliondolewa kipindi kile kwa mizuka bila fuata weledi.
 
for the first time ktk awamu hii Magufuli amenifurahisha sana, hakuna kitu kiliniuma kama Mataragio kuondolewa TPDC, najiuliza tuu yule mzee wa fitna anayekaimu ile nafasi atakuaje huko aliko? KARIBU NYUMBANI JAMES, HAKIKA SASA KUTANOGA.
Sasa amekufurahisha nini wakati ni mwenyewe ndie alimtoa Mataragiro?! June 2016 JPM anamteua Sufiani Hemed Bukurura kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi, TPDC!

August 2016, yaani miezi miwili baadae bodi ile ile inayoongozwa na yule yule aliteuliwa na JPM miezi miwili iliyopita, inamsimamisha kazi James Mataragio kwa madai ya kutoa haki ya utafutaji mafuta kwa kampuni aliyokuwa anaifanyia kazi hapo kabla! Kusimamishwa kazi huko kunafuatia kufikishwa mahakamani!

Na tangia hapo, JPM hajaacha kutangaza hadharani kwamba gas YOOOOOOOOTE tumeibiwa!!!

Yaani hadi hapo bado unashindwa kuunganisha dots, au unajifanyisha tu!!!

Bila kumung'unya maneno, JPM aliitumia tu hiyo bodi kumuondoa Mataragio, kama ambavyo hivi majuzi alivyomtumia DPP kuwaachi askari polisi ambao JPM kwa kinywa chake alitangaza hadharani kwamba ana ushahidi mkubwa unaoonesha hao polisi ni wala rushwa na walikuwa wanasindikiza dhahabu ya wizi yenye thamani ya mabilioni ya shilingi!!!

Huyo James unayemkaribisha nyumbani labda awe STUPID ndo ataendelea kubaki! So long as ameshakuwa cleared, it's a matter of time kabla hajamwaga manyanga na kusepa zake wanakoheshimu mchango wa mtu!
 
Kamongo katika ujuha wake. Kama huna la maana la kuandika kaa kimya badala ya kuonyesha upumbavu wako hadharani.

Nanyie

nunueniii kama wananunulika
 
politics za makazini mwetu haziruhusu Professionalism I feel sorry for the DR.kwa kilichomkuta
 
Kiufupi pssf,nssf,nhc,tba etc wapewe mabosi wenye mind set za biashara na wenye exposure hao watoto wa wakulima sijui wanyonge wafanye kazi zisizo na impacts ya kuathiri uchumi
Usipozalisha matajiri maskini watapunguaje?
Ndo Maana US kuwa na pesa ni moja ya vigezo vya kuukwa urais,hapa tunajinadi kuwa Rais wa wanyonge/masikini-Shame on us
 
Hivi wale jamaa wengine waliotajwa pamoja na Dr. Mataragio kama Head wa PMU na wengine nao hatima yao ni ipi? Ina maana kesi yao mahakamani imekufa kibudu au wataendelea kushtakiwa? na je nao watarudishwa kazini?
 
Kusikia ,kuona na kuelewa ni vitu tofauti kabisa
 
Hii haina ukweli huyo unayemsema Dr Mataragio ni Mkurya Toka kanda ya ziwa Mkoa wa Mara Wilaya ya Serengeti
 

Huyu haendeshi nchi hii kwa Mazoea, mtapats taabu sana paka kumuelewa.
 
Mzee ruksa ana 93 yrs.. chochote anaongea.. hata akikutukana usimind..

Ndio hivyo tena kaongea chochote ambacho mabedui wasio itakia nchi hii mema hawapendi kukisikia. Chagua barabara tikueenzi kwa jihudi zaaako. Kwa sauti ya Makamba sr.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…