Sasa amekufurahisha nini wakati ni mwenyewe ndie alimtoa Mataragiro?! June 2016 JPM anamteua Sufiani Hemed Bukurura kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi, TPDC!
August 2016, yaani miezi miwili baadae bodi ile ile inayoongozwa na yule yule aliteuliwa na JPM miezi miwili iliyopita, inamsimamisha kazi James Mataragio kwa madai ya kutoa haki ya utafutaji mafuta kwa kampuni aliyokuwa anaifanyia kazi hapo kabla! Kusimamishwa kazi huko kunafuatia kufikishwa mahakamani!
Na tangia hapo, JPM hajaacha kutangaza hadharani kwamba gas YOOOOOOOOTE tumeibiwa!!!
Yaani hadi hapo bado unashindwa kuunganisha dots, au unajifanyisha tu!!!
Bila kumung'unya maneno, JPM aliitumia tu hiyo bodi kumuondoa Mataragio, kama ambavyo hivi majuzi alivyomtumia DPP kuwaachi askari polisi ambao JPM kwa kinywa chake alitangaza hadharani kwamba ana ushahidi mkubwa unaoonesha hao polisi ni wala rushwa na walikuwa wanasindikiza dhahabu ya wizi yenye thamani ya mabilioni ya shilingi!!!
Huyo James unayemkaribisha nyumbani labda awe STUPID ndo ataendelea kubaki! So long as ameshakuwa cleared, it's a matter of time kabla hajamwaga manyanga na kusepa zake wanakoheshimu mchango wa mtu!