EINSTEIN112 JF-Expert Member Joined Oct 26, 2018 Posts 21,711 Reaction score 35,644 May 16, 2021 #261 Kadosh said: Habari wadau , naona mji wa kibaha umeingiliwa na dar , watu wengi wanafanya kazi dar , wanaishi kibaha na miwili moja , kwanini isirudishwe dar es salaam , halafu chalinze iwe makao makuu ya nkoa wa Pwani Click to expand... Wazo zuri saana ndio maana mkoa wa pwani haukui kwakuwa unamezwa na Dar
Kadosh said: Habari wadau , naona mji wa kibaha umeingiliwa na dar , watu wengi wanafanya kazi dar , wanaishi kibaha na miwili moja , kwanini isirudishwe dar es salaam , halafu chalinze iwe makao makuu ya nkoa wa Pwani Click to expand... Wazo zuri saana ndio maana mkoa wa pwani haukui kwakuwa unamezwa na Dar