Rais Magufuli aivunja Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam na kuipandisha hadhi Halmashauri ya Manispaa ya Ilala

Habari wadau , naona mji wa kibaha umeingiliwa na dar , watu wengi wanafanya kazi dar , wanaishi kibaha na miwili moja , kwanini isirudishwe dar es salaam , halafu chalinze iwe makao makuu ya nkoa wa Pwani
Wazo zuri saana ndio maana mkoa wa pwani haukui kwakuwa unamezwa na Dar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…