Chanika hadi leo ukiwa na 1.5mill unapata kiwanjaYaani Mkazi wa Osterbay, Masaki, Mikocheni na Mbezi Beach wanaishi Manispaa wakati wakazi wa Ulongoni, Gongolamboto, Buguruni kwa Mnyamani, Chanika wako Jiji la Dar😃😃 Tutaelewana tu hata kama itachukua muda ila mwishoni tutaelewana.
Mikumi Sasa siyo Mitano tena.
Upuuzi huu. watoto wa kiume hawawi wambea hivi. Tuna mashaka na wewee.Hizi sarakasi ngoja tuone mwisho wake, Chanika ni Jiji, Mwenge, mikocheni, Masaki, Oysterbay ni Manispaa!
Hii move ina malengo fulani ya hovyo sana lakini mahesabu yake wameyakosea mno!
Itakuwa chuki zake tuMoshi kamwe haiwezi kua jiji hata kama ina vigezo...Jiwe hawezi kubali hilo....labda akutoka madarakani
Naona umeanza kazi ya kuwaelimisha Bavicha!Hapana.manispaa zingine zinabaki kama zilivyo ila ilala ndio itakua jiji sasa.
Ahsante DODOKI ......Pumba
Inawezekana wewe ndiye mpumb*vu sijapata kuona. Badala ya kuchangia mada unatukana.Watu wanaochangia hapa ni wapumbavu sijapata kuona
Asa atafanyaje kwa mfano[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
huna hojaUpuuzi huu. watoto wa kiume hawawi wambea hivi. Tuna mashaka na wewee.
Machadema ni kupinga kila kitu. Nyumbu pingapinga Fc hovyo kabisa.Hizi sarakasi ngoja tuone mwisho wake, Chanika ni Jiji, Mwenge, mikocheni, Masaki, Oysterbay ni Manispaa!
Hii move ina malengo fulani ya hovyo sana lakini mahesabu yake wameyakosea mno!
iko nje ya jiji la DSM , maana iko TemekeMwembeyanga ipo Dsm?
Jiji la Dsm? Mkoa wa Dsm? Kwa mpalange unafika?iko nje ya jiji la DSM , maana iko Temeke
kuna mpango wa kuihamishia Temeke mkoa wa PwaniJiji la Dsm? Mkoa wa Dsm? Kwa mpalange unafika?
Kwa nini?kuna mpango wa kuihamishia Temeke mkoa wa Pwani
Sababu za mtu mmoja kuivunja Halmashauri ya jiji unazijua ? basi ndio hizohizo tuKwa nini?
Kwani dhambi?Chanika hadi leo ukiwa na 1.5mill unapata kiwanja