chuwaalbert
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 3,598
- 2,118
kama alisemwa ni mzigo na hayo mapopoma mawili ujue sio mzigo huyo.
Hatimaye Kaskazini imetoa Mawaziri Wawili
1. Mhe. Jumanne Maghembe
2. Mhe. Angela Kairuki
Hongera Mhe. Rais Dr. JPM kwa KUJALI maeneo yote.
Queen Esther
Kuna mwandishi mmoja alisema kuchagua mtu kutoka sehemu fulani ya nchi isiwe ishu katika utendaji kazi. Ila najiuliza kitu kimoja: Dkt. ndalichako anaelekea wizara ya Elimu ambako Kamishna wake ni Prof. Bhalalusesa. Hawa siyo tu nu marafiki waloshibana bali watoka kumoja (Kigoma), Je WATAWAJIBISHANA endapo utatokea utendaji kazi mbovu?
Naelewa kuwa Prof. Mpango atoka kigoma pia. huyu ni Gwiji katika uchumi.....
Yule mama aliyekuwa anatufelisha pale necta kapewa wizara.
Ndaluchako mdini na hawapendi waislam.
Ndaluchako mdini na hawapendi waislam.
vijana walikua wamefaulu,yeye akaja na matokeo ya kwake,liliposanuka akarudisha matokeo halisi na ikabidi aachie ngazi,
Nadhani maneno maneno ya humu kuhusu kuwaacha watu wa kaskazini ndo yamepelekea Maghembe kuteuliwa, tatizo huyu Prof simuelewagi kabisa utendaji wake. Sidhani kama atamudu hiyo wizara
Na mimi nina wasiwasi na Maghembe