Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Kuna mtu alianzishaga uzi humu ndani kama wk mbili zilozopita akiomba Dr Ndaluchako ateuliwe kuwa Wazir wa elimu nahisi dua yake imekubaliwa, humu ndani kuna watu wanaona mbali sana.... Long Live JF!