Rais Magufuli akutana na Viongozi wa vyama vya Siasa nchini, Maalim Seif(ACT-Wazalendo), Prof. Lipumba (CUF) na James Mbatia (NCCR-Mageuzi)

hiviii.. huyu MEKO si ndie alimsema SHEN kwa kitendo cha MAALIM kutompa mkono wa SALAM akasema angekuwa yeye angefuta huduma zote kwa MAALIM!

leo sasa badala ya kuacha kutoa mkono MAALIM kaamua kutoa MGUU kama salam na MEKO bila hiyana kapokea 🀣 βœŒπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™„
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]umenikumbusha mbali.huyu bwana Meko anaugua kichaa tumsamehe tu
 
Unawezaje kujihadhari na Corana hivi wakati huo ugonjwa bado aujafika nchini?
Kama umefika basi tujurishane
 
USA hawajawahi kushindwa jambo, toka vita hadi kukaa meza moja kati ya Raila na Kenyatta..nikasema kweli US si wa mchezo.

Wacha tuone...dakika bado zipo...!!
 
Hizi tunaita PR stunts!
Yaani kama kuna ishu mbaya inayohusu serikali,wataalamu wa mahusiano ya jamii,hutengeneza kitu ili kupoteza lengo,sasa hv watu watakuwa wanajadili Maghu na Maalim badala ya kujadili mauaji ya manyoni,Kufukuzwa Membe,Mbowe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa Maalim sina wasiwasi... hata Mwalimu alimjua fika si mtu wa kushinda chama A, kula chama B na kulala chama C hapana.

Wapo wataalam wa fani hii.
Siasa hubadilika, kama ambavyo umri humbadilika mtu na kuwa na msimamo tofauti na ya umri flani.

Maalimu Seif si tofauti na wengine. Atabadilika tu. Nani aliamini ataikacha CUF?

Leo anajiaandaa kurudi CCM na kupewa stahili zake zote alipaswa kupewa akiwa kiongozi SMZ ili kuua nguvu za Zitto na upinzani kwa ujumla.
 
Zitto karibu huku ushuhudie wanasiasa nguli wanaojua siasa. Wenzako matatizo ya nchi wanakaa chini na kuzungumza, wewe unaenda ugenini kuzungumza halafu unajiona mwamba wa siasa. Rudi darasani ukajifunze uzalendo.
HADAA ZA UCHAGUZI MIAKA YOTE HAKUONA UMUHIMU WA MAALIM ILA 2020? HATUDANGANYIKI
 
Hiyo ni kati ya kutekeleza maagizo ya mabeberu kabla ya kutoa chao
In God we Trust
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…