Siyo kwa kujipendekeza hukoView attachment 1375403
Kwa kweli leo umependeza saana. Umependeza kweli kweli mheshimiwa. Mungu akubariki sana.
Unauliza majibu. Tumehamia Dodoma usichoelewa nini?. Ukizidi kuuliza utakuwa unaongoza genge la wahalifu. unataka kujua shughuli zinafanyika wapi ili ufanyeje?Kuuliza si ujinga. Hivi serikali pamoja na mkuu wa nchi wapo Dodoma au Dar es Salaam? Mbona kama shughuli zote za ofisi ya rais huratibiwa Dar es Salaam?
Naona Mbowe yuko Ikulu ndogo na Ole sabaya!
Kweli kabisa,siasa za kunyanganyana fito ili khali wote mnajenga nyumba moja zimepitwa na wakati
Sent using Jamii Forums mobile app
Zitto atabaki kuwa jembe daima na daima, hakuna lolote baya alilofanya kuujuisha Jamii ya kimataifa uozo wa serikali ya Meko bin JiweZitto karibu huku ushuhudie wanasiasa nguli wanaojua siasa. Wenzako matatizo ya nchi wanakaa chini na kuzungumza, wewe unaenda ugenini kuzungumza halafu unajiona mwamba wa siasa. Rudi darasani ukajifunze uzalendo.
huyo jamaa inaonekana alikataliwa na mwanaume wa chadema
Yaan we jamaa umekaa kishari Shari tuu ,Ni hivi tunataka tume huru ya uchaguzi, hayo mazungumzo yalenge hapo tu na sio kinyume chake.
Yaan we jamaa umekaa kishari Shari tuu ,
Zitto karibu huku ushuhudie wanasiasa nguli wanaojua siasa. Wenzako matatizo ya nchi wanakaa chini na kuzungumza, wewe unaenda ugenini kuzungumza halafu unajiona mwamba wa siasa. Rudi darasani ukajifunze uzalendo.
Ok.. Kwa hiyo Maalim atakuwa rais wa Zanzibar?hujui kitu
View attachment 1375397
Tangu nikufahamu leo ndio umeuliza swali la maana !