MANILABHONA
JF-Expert Member
- Apr 1, 2015
- 462
- 350
Ni swala la sekunde kadhaa, mtu kuunga mkono juhudi.
[/Yaweza tokea haya
Kuuliza si ujinga. Hivi serikali pamoja na mkuu wa nchi wapo Dodoma au Dar es Salaam? Mbona kama shughuli zote za ofisi ya rais huratibiwa Dar es Salaam?
Kutaka tume huru ya uchaguzi ndio kukaa kishari shari? Ni hivi, bila tume huru ya uchaguzi hatuko tayari kushiriki huo uhuni.
Na hatma ya Membe na CHADEMA IKOJE?Au Membe ndio mgombea mpya wa CHADEMA?Tangu nikufahamu leo ndio umeuliza swali la maana !
Haa😁😂😀😄😅Kuuliza si ujinga. Hivi serikali pamoja na mkuu wa nchi wapo Dodoma au Dar es Salaam? Mbona kama shughuli zote za ofisi ya rais huratibiwa Dar es Salaam?
Mungu wabariki Wazungu
Tume huru ya nini wakati tuko huru, leo wenyeviti wa vyama makini wamekutana ikulu kupanga mikakati ya uchaguzi huru na wa haki tayari wameelewana wewe subiri mrejesho kutoka kwa mwenyekiti wakoNi hivi tunataka tume huru ya uchaguzi, hayo mazungumzo yalenge hapo tu na sio kinyume chake.
Kudanganya mataifa wafadhili aka mabeberu kuwa kuna cordial relationship na wapinzani? I dont trust this fake processes.
[emoji3][emoji3]Imebidi nicheke tu!Kutaka tume huru ya uchaguzi ndio kukaa kishari shari? Ni hivi, bila tume huru ya uchaguzi hatuko tayari kushiriki huo uhuni.
Time huru ipi wakati tuna yo kwa mujibu wa katiba ya.nchi yetu?,au tume ya mabeberu?,
Ni hivi tunataka tume huru ya uchaguzi, hayo mazungumzo yalenge hapo tu na sio kinyume chake.
Mbona hakumuita Mbowe...!?Hongera sana Kwa Rais wetu mpendwa JPM Kwa kuonyesha Upendo Na umoja Kwa viongozi wa vyama vingine, hiyo ndio siasa safi tunayo itaka siasa sio uadui, sisi wananchi tunahitaji kuona siasa ya maendeleo sio matusi au ugonvi.
Viongozi wengine wa kisiasa waige mfano huu wa Maalim Seifu na hata Mbatia. Tanzania ni nchi yetu sote tuijenge Kwa pamoja bila kubomoa.
Mungu Ibariki Nchi yetu Tanzania
Tunajaribu Kuimpress Mabeberu Ili Tupate Pesa Ya Uchaguzi.
Ila Watu Weusi Hatuna Akili Kabisa, Yaani Suala Ambalo Ni Kwa Faida Yetu Wenyewe Na Watoto Wetu, Kulifanya Mpaka TULAZIMISHWE NA WAZUNGU !!!
Kudanganya mataifa wafadhili aka mabeberu kuwa kuna cordial relationship na wapinzani? I dont trust this fake processes.
Kahamia Dodoma au hajahamia, siyo muhimu sana. Jambo la muhimu kuliko yote amekutana na viongozi wa upinzani. Amekutana na watanzania wenzake, siyo maadui bali ni Watanzania.Hv huyu bwana mkubwa alitangaza KUHAMIA ikulu ya Dodoma kutoka Dar es salaam AU ikulu ya Dar es salaam kutoka Dodoma..?
Maana me sielewielewi guys.