thetallest
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 8,271
- 9,113
Mambo ya kususia uchaguzi hayo. Wanataka CHADEMA isusie peke yake. Wengine wamezwe na CCM kuhalalisha ushindi wa asilimia 90.
Namshangaa sana huyo jamaa eti bila tume huru hawako tayari kushiriki uchqguzi. Sijui hawako tayari yeye na nani sasaTume huru ya nini wakati tuko huru, leo wenyeviti wa vyama makini wamekutana ikulu kupanga mikakati ya uchaguzi huru na wa haki tayari wameelewana wewe subiri mrejesho kutoka kwa mwenyekiti wako
Yaani ni Mbowe tu ndio kagoma.
Kumbe Maalim Seif ni Mwenyekiti Taifa wa chama cha ACT?Tume huru ya nini wakati tuko huru, leo wenyeviti wa vyama makini wamekutana ikulu kupanga mikakati ya uchaguzi huru na wa haki tayari wameelewana wewe subiri mrejesho kutoka kwa mwenyekiti wako
Ungefunga bakuli lako kuliko kulifungua na kuthibitisha upumbavu wako.Safi sana kumbe alikutana Na viongozi wa vyama vya siasa karibu vyote isipokuwa chama kimoja ambacho inaonekana si CHA kisiasa,
Safi sana viongozi wazalendo wenye kuipenda nchi kwanza vyama badae
Walioenda wameitwa au wamefanya appointment kwa kufuata taratibu zao?. Bora iwe jibu ni(a).Mbona hakumuita Mbowe...!?
Ninyi donor country ndio muingie msituni kuwawinda mabeberu kwanza. Kila kukicha mnabanwa makende kubadilisha masheria yenu kwa hati za dharura.Si uingie msituni kama una jeuri, umejificha tu nyuma ya keyboard, bora hata wenzako wameongea uso kwa uso.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi hao alioonana ni vyama vya upinzani Tanzania eenh? Ni kipi kati yao ni chama kikuu cha upinzani?
Me sielewagi pale wanapilokutana na vibaraka wao huku wakitaka kuuaminisha uma kuwa wamekutana na upinzani, huu uhuni. Akutane na chama kikuu cha upinzani tuone
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanapoteza muda tu. Huyo haamini katika siasa za upinzani.
Kwani tatizo lako nini?Kuuliza si ujinga. Hivi serikali pamoja na mkuu wa nchi wapo Dodoma au Dar es Salaam? Mbona kama shughuli zote za ofisi ya rais huratibiwa Dar es Salaam?
Mkuu Digba, naunga mkono hoja,My take,hizi ndo siasa safi.
es Salaam.
Hao maPHD mnaowaokota majalalani . Ondoa upuuzi wako hapa. Huyo haamini katika siasa za vyama vingi. Hizo sinema awawekee huko Lumumba muangalie wajinga nyie.Kwahiyo ushauri wako ni upi? Kwa hiyo wewe ni muona mbali sana kuliko hapo maprofesa na PhD holders walioamua kuonana na raia? Bure kabisa wewe
Sent using Jamii Forums mobile app