Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anamuonea wivu! Alidhani Dk Malecela angemnyenyekea na kusuburi kuteuliwa tena kama wanavyofanya wanasiasa.Kwanini awe na kinyongo kiasi hicho wangapi kawatimua kwa makosa ya ajabu ajabu why awe Malecela always ??
Wasije wakamfanyia kitu kibaya tu
Huo sio usemakweli. Hiyo ni tabia ya wanaosisimka kwa raha, wakiisha kufanyia ukatili, na wanaotaka waogopwe. Ni aibu kuona tendo kama hili eti ni mafanikio.Rais Magufuli ni msema kweli daima!
Kwakweli ninajivunia Dr Mwele, na sisi tunawatambia Wakenya na Wanigeria kuwa Kuna Mtanzania pale mmoja wa Madirector.Apande tu huko watanzania hatumhitaji magonjwa ya mlipuko waziri wa afya ndie mwenye dhamana yet akajiibukia tu na Zika yake hewa .Kuwa mtaalamu sio kuwa mwongo
Aende kuwaongopea wazungu
Kilichomumiza Magufuli ni huyo mama kupewa kazi WHO.
Alitaka akimfukuza ateseke
Amuonee wivu Nani muongo huyo WHO imejaza waongo ndio maana hata marekani imejitoa WHO Baada ya kugundua kuwa Ni taasisi iliyojaa waongo Kama huyo MweleAnamuonea wivu! Alidhani Dk Malecela angemnyenyekea na kusuburi kuteuliwa tena kama wanavyofanya wanasiasa.
Alisahau kwamba taaluma ya Dk Mwele inakubalika kote duniani so hana haja kunyenyekea wanasiasa uchwara ili mkono uende kinywani
Wivu tu ujue. Tena wivu mkubwa. Wanaume huwa kawaida hatuwi na migubu kiasi hicho. Yaani kumsema tu bila aibu.Huo sio usemakweli. Hiyo ni tabia ya wanaosisimka kwa raha, wakiisha kufanyia ukatili, na wanaotaka waogopwe. Ni aibu kuona tendo kama hili eti ni mafanikio.
Sure. But Dr Mwele is a woman with brain. Tena brain kubwa.Ahaaaa ahaaaa, alitaka akimfuza kazi akamuombe msamaha kama kina Nape, Kinana nk.
Mkuu baba yuko sahihi kutaja kabila yake.Afu nilicho shangaa kwa mkuu kumtaja mtu kwa Kabila lake eti ‘Mgogo’ yaani namna ya kuwasilisha ya mzee baba kuna muda inakuwa kama ina tweza utu wa mtu, bora angesema hata cheo cha mtu alietolewa ktk hiyo nafasi, kama hataki kutaja jina la mtu husika
Ndio watanzania tulivyo roho mbaya, pia kuna wengine nao wana chuki na huyo Magufuli hutamani apatwe na baya lolote.Kilichomumiza Magufuli ni huyo mama kupewa kazi WHO.
Alitaka akimfukuza ateseke
Naona hoja zimekukaukia.Wivu tu ujue. Tena wivu mkubwa. Wanaume huwa kawaida hatuwi na migubu kiasi hicho. Yaani kumsema tu bila aibu.
Kwani ZIKA kweli ilikuwepo? Au alipotika ikapotea au walipomtoa wakaidhibiti kimya kimya?Ndio MUNGU hakumuacha.
Akapewa cheo cha Director general of the national institute for medical research.
Till now and then hakuna mwenye concrete evidence kuwa alikuwa anatumika.
Alitolewa tu ili mtu fulani afaidike kisiasa.
Kabisa, hicho ndicho kilichomuuma.Kilichomumiza Magufuli ni huyo mama kupewa kazi WHO.
Alitaka akimfukuza ateseke
Mbona mnaweweseka?! PHD ya Dk Mwele sio Sawa na ile ya kukariri thesis ya maganda ya korosho.Amuonee wivu Nani muongo huyo WHO imejaza waongo ndio maana hata marekani imejitoa WHO Baada ya kugundua kuwa Ni taasisi iliyojaa waongo Kama huyo Mwele
Walikuwapo huko UN akina tibaijuka lakini bado walikuja kula vijicenti vya mboga.Hii ilikuwa kama kumpiga chura teke ukizani umemuumiza makalio yake kumbe umemuongezea spidi ya kufika aendako.
Nadhan mshahara anaopata WHO kwa sasa ni mkubwa sana kuliko tule tusenti twa masimango from URT.
Kila anayekuwa kinyume na matakwa ya rais anatumika na mabeberu this is not right at all.Kabisa, hicho ndicho kilichomuuma.
Haya maneno ya kutumika na mabeberu yameshazoeleka hayo, hakuna jipya hapo.