kt the irreplaceable
JF-Expert Member
- Oct 12, 2017
- 2,375
- 4,893
Kama alionewa ina maana alisema ukweli, sawali ni nani aliugua zika? Kuna mtu alikufa kwa zika??Walimfukuza yule mama kwa kumuonea tu na Mungu amemlipa zaidi.
Moyo wa rais wetu umejaa chuki na visasi visivyo na maana.
Sawa basi...si alishamfukuza kazi...akaendelea na maisha yake ya nini anarudia rudia kwani kazi kaanza kumfukuza huyo?Mr. President kasema kweli. In reality hakuwa na mamlaka ya kutangaza ugonjwa husika [emoji17]
Zika unaijuaa unaisikia mkuu!!Serikali kupitia NIMR ilifanya utafiti kuchunguza wakina mama waliozaa watoto wenye shida ya vichwa kuwa vidogo ikiwa kama walipata Zika wakati wakiwa wajawazito. Na matokeo yakaonyesha ni kweli wengi wao walipata Zika.
Sasa utafiti ulisema hivyo, ikiwa hatuamini hayo matokeo ya utafiti tulipaswa kufanya utafiti mwingine na uje na matokeo tofauti, na sio kumsimanga aliyetangaza matokeo ya utafiti.
Rais Magufuli ni kiongozi wa mfano hakuna wa kumbabaisha!Rais Magufuli amenukuliwa akisema haya..
Wakati tunaingia madarakani tuliambiwa Tanzania kuna ugonjwa wa Zika, aliyetangaza na aliyetumiwa kutangaza nikamfukuza kazi (bahati mbaya ni Mgogo); Baada ya kumfukuza yule Mgogo aliyesema Tanzania kuna Zika na waliomtuma wakamteua kuwa Mkurugenzi, mpaka leo miaka karibu mitano hapajawahi kuwa na kesi hata moja ya Zika hapa Tanzania.
Baada ya uzushi wa Zika kupita na kumfukuza kazi aliyesema kuna ugonjwa huo, tukakaa baadaye tukaambiwa kuna Ebola, walijua wakisema tuna Ebola Watalii hawatokuja, tukasema sisi hatuna Ebola wala Mjukuu au hawara yake Ebola, hatujaona Ebola wala nani amekufa kwa Ebola hapa Tanzania.
Pia soma
1. Rais atengua uteuzi wa Mkurugenzi NIMR Dkt. Mwele Malecela
2. Dkt. Mwele Malecela aula Umoja wa Mataifa. Kuongoza vituo vya magonjwa Afrika
Nadhani post #96 amefafanua vizuri sanaKama alionewa ina maana alisema ukweli, sawali ni nani aliugua zika? Kuna mtu alikufa kwa zika??
Si ndio hiyo ishara ya Mabeberu kutumia wajinga, wapenda Rushwa, wenye Nia ya kuuza nchi, baada ya kushindwa jaribio lao na Dau la pesa Kwa huyo mjinga wakaona ni Bora wamwajiri Wao?Sawa basi...si alishamfukuza kazi...akaendelea na maisha yake ya nini anarudia rudia kwani kazi kaanza kumfukuza huyo?
Katika nchi ambayo rais anapinga upimaji na kufanya njama za kuondoa imani katika upimaji wa Covid-19, kwa njia zilizokosa weledi na utaalamuKama alionewa ina maana alisema ukweli, sawali ni nani aliugua zika? Kuna mtu alikufa kwa zika??
Kama haipo na ilikuwapo hapo vipi?Zika ipo?
Zika siijui bali naisikia tu.Zika unaijuaa unaisikia mkuu!!
Taasisi ilifanya utafiti nchi nzima wakaona kuna viashiria vya uwepo wa ugonjwa huo.Kama alionewa ina maana alisema ukweli, sawali ni nani aliugua zika? Kuna mtu alikufa kwa zika??
Mnachezewa akili kisiasa tu.Tuliumizwa sana tu, mwana maapinduzi asiyejali makunyanzi amesema no haibiwi mtu.
Umeambiwa na mkuu Maxence Melo kuwa kuandika kwa herufi kubwa ni kupiga kelele,sasa wewe waendelea tu,una matatizo!?WEWE JIULIZE MTU ANAYETANGAZA KUWA UGONJWA HATARI UMEINGIA NCHINI WAKATI NI UONGO ALIKUWA NA NIA GANI. CHA AJABU HUYO MTU NI MSOMI NA ANAJUA FIKA KUWA HANA MAMLAKA YA KUTANGAZA UWEPO WA HUO UGONJWA HATA KAMA INGEKUWA KWELI. KAMA SIO KUTUMIKA ALIKUWA NA LENGO GANI. HUYO WA MAABARA ILITANGAZWA KASIMAMISHWA KAZI KWA KUKOSA UMAKINI KATIKA UTENDAJI WAKE, WALA HAKUFUKUZWA
Nchi nyingine zina ina fahari kuwa na wananchi wao ambao wana fanya jazi za kimataifa. Rais wetu badala ya juona ni sifa yeye kila siku ni kulaumu vitu ambavyo hana uhakika navyo. Mimi binafsi najisikia fahari Dada huyu jufanya kazi WHO ni fahari kwa Tanzania na tuna takiwa kumfurahia ana peperusha bendera ya Tanzania. Tuache kashfa zisizo na tijaRais wangu Magufuli nakukubali sana hasa ' Kiutendaji ' na ' Kiuthubutu ' pia lakini una tatizo la kupenda ' Kuropoka ' hovyo jitahidi mno ubadilike.
Nailed it!!!Hiki ndicho ninachokijua.Hakutangaza outbreak bali scientific findingsNitakupa majibu sahihi hapa hapa.
Dr.Mwele Malecela alitangaza nini?
Dr. Mwele Malecela alitangaza matokeo ya utafiti uliofanywa na wataalamu kadhaa wa afya kutoka hospitali kadhaa hapa Tanzania wakishirikiana na NIMR. Dr.Mwele hakutangaza mlipuko wa homa Zika hapa Tanzania bali alitangaza matokeo ya awali ya utafiti wa kisayansi, uliofanyika kwa miaka isiyopungua mitatu. Utafiti ule haukufanywa na Dr. Mwele Malecela, bali yeye kama mkurugenzi mkuu wa NIMR aliongea na waandishi wa habari kutangaza matokeo yale kwa sababu ya uzito na umuhimu wa utafiti ule. (Kifupi sana, wakurugenzi wa taasisi za kitafiti duniani hufanya vile ili kuongeza thamani ya taasisi wanazoziongoza kwa kutumia tafiti maana watu wengi watahamasika kuusoma huo utafiti au kuutumia kama rejea katika kazi zao za kitafiti, kitaaluma na kikazi). Yote kwa yote, utafiti ule tayari ulikuwa umechapishwa kidunia (Published) hivyo hata Mwele Malecela asingetangaza bado dunia ingejua. Pia tusisahau, hatua zote za wizara zilifuatwa kabla ya kufanyika utafiti ule, wizara ikatenga pesa za kufanya ule utafiti, na uongozi nzima wa wizara ilikuwa bega kwa bega na NIMR mpaka matokeo ya utafiti yalipotangazwa kwa umma.
Utafiti ulihusu nini?
Utafiti ulichunguza wakina mama waliojifungua watoto wenye vichwa vidogo ikiwa kama walikuwa wamepata maambukizi ya Zika kabla ya kujifungua watoto. Na sampuli za damu zilizopimwa zilileta matokeo yalionyesha idadi kubwa miongoni mwa hao wakina mama ni kweli walikuwa na maambukizi ya Zika.
Nini lilikuwa kosa la Dr. Mwele Malecela?
Hakuna kosa lolote kisheria, kisayansi au kitafiti ambalo alilifanya Dr.Mwele Melecela. Kosa pekee alilolifanya lilikuwa katika mlengo wa kisiasa. Yaani Rais hakupendezwa na kutangazwa hadharani matokeo ya utafiti ule hivyo Dr.Mwele Malecella akaadhibiwa kisiasa kwa kufukuzwa kazi. Kitu pekee ambacho Rais hakijui (hataki kukikubali?) ni kuwa, Utafiti ni mali ya jamii na sio mali ya mtu, hivyo kufanya utafiti wowote na kuficha matokeo au kuchakachua matokeo ni kosa kubwa kisayansi au kitafiti.
Kwa kumalizia tu ni kuwa tunapaswa kufahamu kuwa Utafiti hupingwa kwa utafiti, Dr.Mwele aliongea kwa kutumia utafiti na wanaotaka kumpinga waje na utafiti, tuache tafiti zipingane zenyewe.
Umesoma uzi na kuuelewa bibie!? Kwa nini mnapenda kukurupuka?Kila ujinga wa mtu katika Taifa hili lazima lipate washabiki, Ni kweli ilitangazwa kuna ugonjwa wa Zika, je ni kweli ulikuwepo??
Alikuwa Director General wa NIMR.Kwani ZIKA kweli ilikuwepo? Au alipotika ikapotea au walipomtoa wakaidhibiti kimya kimya?
Hapa kuna kama kaukweli fulani. But why roho imuume maana alimfukuza mwenyewe tena kwa maneno kibao.Kabisa, hicho ndicho kilichomuuma.
Haya maneno ya kutumika na mabeberu yameshazoeleka hayo, hakuna jipya hapo.
Ndio maana nikasema hakuna mwenye concrete evidece. Kuwa ilikuwepo au lah. Kusema aliondoka nayo wkt huna uhakika nayo ni wrong.Ni sawa ila na Zika aliondoka nayo Mwele.
Unafahamu mikataba ya kimataifa tuliyotia sahihi wenyewe kama nchi inasemaje kuhusu haya mambo?Mr. President kasema kweli. In reality hakuwa na mamlaka ya kutangaza ugonjwa husika 😔