Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Kama angekuwa mwongo mwongo na msanii.. hiyo nafasi hata wazungu wangemtupa.Apande tu huko watanzania hatumhitaji magonjwa ya mlipuko waziri wa afya ndie mwenye dhamana yeye akajiibukia tu na Zika yake hewa .Kuwa mtaalamu sio kuwa mwongo
Aende kuwaongopea wazungu
Masikini mna taabu sana.
Je huo ushahid kuwa anatumika uliwahi patikana?OF COURSE KAMA MTU ANAWEZA KUTUMIKA ATANGAZIE ULIMWENGU KUWA TANZANIA KUNA EPIDEMIC WAKATI HATA YEYE MWENYEWE HAAMINI UWEPO WAKE LAZIMA IMUUME BINADAMU YEYOTE MTU KAMA HUYO AKIENDELEA KUAMINIWA NA YEYOTE POPOTE KWA SABABU HATUJUI HUKO MBELENI ATAFANYA NINI KWA FAIDA YA WATAKAOTAKA KUMTUMIA KWA MASLAHI YAO
Sawa kabisa hakuwa na hayo mamlaka, si alishachukua hatua ya kumtumbua? Nini kinachomuuma sasa? Kwa vile alipata kazi?Mr. President kasema kweli. In reality hakuwa na mamlaka ya kutangaza ugonjwa husika [emoji17]
Amen to that brother. And he knows itSure. But Dr Mwele is a woman with brain. Tena brain kubwa.
Sasa na yeye lazima amtaje mtu,utafikiria alikuwa mke mwenzio zamani nilijua wanawake wana shida kumbe siku hizi wanawake wanaafadhali aisee karibu tutaiongiza dunia kama tutaendelea kuzaa wavulana na sio wanaume.Acha uzwazwa,Rais alikuwa yupo kwenye muktadha wa kuelezea magonjwa ya mlipuko sasa hapo lazima aanze kwa kujenga hoja kuanzia kwenye ugonjwa wa zika.
Usimfananishe dr.mwele na vitu vya ajab ajab kabisa.Walikuwapo huko UN akina tibaijuka lakini bado walikuja kula vijicenti vya mboga.
Chezea pesa wewe, huko aliko makato ya kodi si mchezo.
Hizi habari ni siasa tu.Sawa basi...si alishamfukuza kazi...akaendelea na maisha yake ya nini anarudia rudia kwani kazi kaanza kumfukuza huyo?
Usimfananishe dr.mwele na vitu vya ajab ajab kabisa.
Mwele is not politician.. however tibaijuka was
For the record mwele ana bosi wake. Na pia is not if kwamba anafanya kazi mwenyewe. Kuna team kubwa inayofanya kazi.Kazi imemshinda Kama director was magonjwa ya kuambukiza . Corona imemkuta akiwa mkurugenzi kashindwa ku I handle vizuri . Marekani imejitoa ikiisema WHO kushindwa kutoa taarifa mapema za Corona. yeye Kama mkurugenzi alitakiwa atoe taarifa mapema hakutanya hivyo matokeo marekani imejitoa kwa uzembe wa huyo mkurugenzi Mwele wa magonjwa ya kuambukiza na marekani imefuta mchango wake wa dola milioni 400 kwa WHO kutokana na uzembe wa Mwele
Kwa hiyo kama taxes ni kubwa ndio hawalipwi au?WHO nini bna emu mtafuteni Tibaijuka na Rose mingiro ndo watawambia Hizi communities zilivo, taxes ni kubwa sana huko
Una evidence kuhusu allegation zako? Kama unazo ziweke hapa. Else ni story za kusadikikaSi ndio hiyo ishara ya Mabeberu kutumia wajinga, wapenda Rushwa, wenye Nia ya kuuza nchi, baada ya kushindwa jaribio lao na Dau la pesa Kwa huyo mjinga wakaona ni Bora wamwajiri Wao?
Nchi hii haina amani kilaza wewe kuna uwoga...watu wanavunja katiba kila siku nchi ya wajanja unapinduliwaNa kuna mwingine anatumiwa na Mabeberu yupo ulaya kutaka kuharibu amani ya Nchi yetu
Mwele na tibaijuka ni field tofauti. Mmoja ni scientist mwingine economics.Kwani yeye ana nini zaidi ya tibaijuka, ukiwa na fani kisha ukaitumia vibaya haina maana hiyo elimu yako.
Kwenye janga la corona tu kuhusu vipimo alikurupuka bila kutumia akiri,Mwele na tibaijuka ni field tofauti. Mmoja ni scientist mwingine economics.
Unasema elimu yake imetumika vibaya? Once again. Mna ushahidi? Kama mnao muuweke hapa.
Na kwanini msimfungulie kesi ya uhujumu uchumi kabisa?
Kwann mnamuacha anatoka nchini hiv hiv?
Kwa akiri ya kawaida nani anaweza kuripoti?Ni sawa ila na Zika aliondoka nayo Mwele.
Kinasaidia kusimamia ukweli.Ukweli utatuweka huru.Mwenye kutenda haki ni mkweli,hajinyenyekezi kwa mtawala!Cheo chake kinatusaidia nini sisi Watanzania !
Alimuonea kivipi? Tuthibitishie ukweli wa taarifa yake kuhusu ugonjwa wa zika.Walimfukuza yule mama kwa kumuonea tu na Mungu amemlipa zaidi.
Moyo wa rais wetu umejaa chuki na visasi visivyo na maana.