bulicheka 4
JF-Expert Member
- Mar 22, 2020
- 915
- 1,019
Hakuna anayempa upinzani hata kidogo ,Sisi tumekariri hivyo na tunarudi nyuma kwa sababu hiyo.Hivi viwanda tulivyokuwa navyo vimefilisiwa na wenye upinzani na sisitena vingine vinaongonzwa na makada wattiifu wa wazalendo wa CCM .Mimi huwa anawaambia watoto wangu mkiona mtu kila alishindwa kufanyiwa anamsingizia mtu au kitu ujue hawezi anatafuta visingizio.Shida ni kwamba hamjui nguvu ya upinzani anayokutana nayo Rais Magufuli kwenye vita ya kiuchumi,ushangai hadi leo ulaya nzima huko hadi mashuleni wanaambiwa mlima kilimanjaro upo kenya.sasa wewe nadhani kwa upeo wako mdogo hili jambo unalichukulia kawaida tu.
Refer to ndugai. Lakin si dr.ntuli.. she is advanced breed among wagogo. That why kapata hiyo nafasim.otherwise angeolewa awe mama wa nyumbani tu.Safi sana Magufuli kumbe na wewe unajua kuwa Wagogo are the least intelligence creature on earth. Safi sana Mh. Rais kwa hotuba murua za kuunganisha taifa
Ilimuuma yule mama kupanda juu zaidi. Alitegemes ata struggle aje amuombe msamaha. Sasa the odds are against him.. ameanza kutoa povu.Imagine ladies, boyfriend kakuacha, anajitapa kwa wenzakwe kakufumania ame ku-dampu"
Unajua kakusingizia ila hujitetei, instead you move on!
Baada ya miaka mitatu , Mwanaume huyo bado tu anazungumzia hiyo stori ya kuachwa kwa watu wale wale alio-wahadithia ; Wewe upo na mwenza mwengine umetulia unakula mema ya nchi, "Shida ya Jamaa ni nini?
Wote waliosoma syllabus za zamani walifundishwa kulaumu chanzo cha tatizo na sio ufumbuzi wa tatizo.Wote hao ni waathirka wa elimu ya ujamaa walifundishwa kuwalaumu weupe juu ya kushindwa kwao kuwaletea wananchi maendeleo.Hakuna anayempa upinzani hata kidogo ,Sisi tumekariri hivyo na tunarudi nyuma kwa sababu hiyo.Hivi viwanda tulivyokuwa navyo vimefilisiwa na wenye upinzani na sisitena vingine vinaongonzwa na makada wattiifu wa wazalendo wa CCM .Mimi huwa anawaambia watoto wangu mkiona mtu kila alishindwa kufanyiwa anamsingizia mtu au kitu ujue hawezi anatafuta visingizio.Tuanze tu na maisha yetu ya kawaida.Hapa kijiweni kwangu unakuta vijana kutwa wamekaa chini ya mti kutwa na nguvu zao wanalalamikia wapinzani wa uchumi unamwuliza wewe kutwa umefanya nini kusaidia uchumi wako tu wewe mwenyewe.Msitukaushe uzazi ,nikionaga mianaume inashidwa kufanya kazi au kufanyiwa wameanza kusingizia watu ujue ni wavulana bado.
Wenye PhD za roho mbaya wanaumia Sana mama kuwa juu.Mifumo ya ujamaa utakiwi kuwa maarufu kuzidi anayekutawalaWalipo mtimua kibarua walidhani ataenda kuomba suluhu kama kina Nape lkn mama wa watu akapata shavu la nguvu na sasa anakula kuku bila wasi wasi
Vita ya uchumi na nchi gani labda ambayo tunaweza jilinganisha kiuchumi?Shida ni kwamba hamjui nguvu ya upinzani anayokutana nayo Rais Magufuli kwenye vita ya kiuchumi,ushangai hadi leo ulaya nzima huko hadi mashuleni wanaambiwa mlima kilimanjaro upo kenya.sasa wewe nadhani kwa upeo wako mdogo hili jambo unalichukulia kawaida tu.
Paragraph yako ya mwisho umeandika rubbish bro. Nimeshafanya kazi ubalozi na sehem zingine. Let me tell you this wazungu kwenye kuajiriwa hawana undugu. hawana cha urafiki.hawana kujuana. only qualification zako, na jinsi utavyokiwa smart kwenye interview. Hiyo nafasi aliyopata huyo mama hajapewa kama zawadi. Her qualification zimembeba.Yapo mambo unayoweza kuficha lakini sio ugonjwa, Zika ilikua inasambazwa sana na mbu, ikumbukwe ugonjwa unaoitesa nchi yetu miaka nenda rudi ni malaria kutokana na hali ya hewa na kimazingira inyasapoti mbu wengi kuzaliana. Ikiwa mbu ndo inasambaza zika unadhani rais angeficha idadi kubwa ya wagonjwa wa zika? Huku mtaani Buguruni tungeona wagonjwa wengi wasio wa kawaida...
Mfumo wa ujamaa utakiwi kuwa maarufu kuzidi anayekutawala.Walitegemea kumuona kapigika kachakaa choka mbaya. Mungu ndie mtoa riziki na sio kiumbe kilichozaliwa na mwanamke.Kuna kitu zaidi ya hiyo Zika na jinsi maneno yanavyoendelea kutoka watu wazima tushapata majibu wacha tupotezee mbona waliofukuzwa kazi ni wengi anaendelea kutajwa huyo tuu...
Kuna probability alisikitika. Haswa kama alisingiziwa.Unadhani huyo mdada an amani moyoni kufukuzwa na kuambiwa na mkuu wa nchi kuwa she was a mole
Nchi ya Marekani inatoa update kila siku na wagonjwa na wanaokufa ni maelfu. Je, raia wa marekani wamepata hofu gani?Yapo mambo unayoweza kuficha lakini sio ugonjwa, Zika ilikua inasambazwa sana na mbu, ikumbukwe ugonjwa unaoitesa nchi yetu miaka nenda rudi ni malaria kutokana na hali ya hewa na kimazingira inyasapoti mbu wengi kuzaliana. Ikiwa mbu ndo inasambaza zika unadhani rais angeficha idadi kubwa ya wagonjwa wa zika? Huku mtaani Buguruni tungeona wagonjwa wengi wasio wa kawaida...
Unshahid mnao kuwa alitumiwa au mna accuse tu for nothing.?Uzalendo ni kitu cha msingi Sana, ni wazi kabisa Dr Mwele alitumiwa na wasioitakia mema nchi yetu kuichafua.Utaichafuaje nchi ya Baba na Mama yako kisa umepewa pesa au umeahidiwa cheo mahali? Nani aliwahi kumuona mgonjwa wa zika? Alichokifanya Dr Mwele ni usaliti kwa nchi yake/yetu ambao ulilenga kuitia doa nchi ili kuharibu uchumi wake ili tuendelee kuwa tegemezi kwa wazungu na kukubali masharti ya kishetani kama ushoga. Dr Mwele anapaswa atubu kwa Mwenyezi Mungu na atuombe radhi Watanzania kwa kitendo alichokifanya.Tanzania itajengwa na Watanzania wenyewe,maslahi ya nchi kwanza.
Anaamani na furaha tele. Yani ufukuzwe kazi kesho yake uteuliwe kwenye kazi nyingine, mshahara ni mara mbili ya uliokuwa ukipata. Then baada ya hapo unapewa na cheo. Mshahara mara 4 ya kazi ukiyotumbuluwa, kwanini usiwe na amani?Unadhani huyo mdada an amani moyoni kufukuzwa na kuambiwa na mkuu wa nchi kuwa she was a mole
Halafu wanawatumia watu Kama Kina Walter Rodney eti how Europe underdeveloped Africa.Sasa Kama wataalamu awathaminiwi wanawapa maslai kibaba Hali wabunge wanaoenda sinzia bungeni for 5 yrs wanavuna mamilioni, kwann hao wataalamu wasiangalie green pasture,niache mshahara wa milioni 50 kwa mwezi?.Mnachezewa akili kisiasa tu.
Magufuki anajua mara zote njia rahisi kabisa ya kuungwa mkono na watu wengi masikini waliojaa ujinga ni kuwatengenezea figisu za uongonakweli za "us against them"...
Ni kawaida ya mwanamke akimpiga chini mpenzi wake utamani kumuona akiwa masikini forever ili ajihisi alifanya maamuzi sahihiHapa kuna kama kaukweli fulani. But why roho imuume maana alimfukuza mwenyewe tena kwa maneno kibao.
Kwetu sisi naona hali ndiyo inazidi hata kuna Max na LeninWenye PhD za roho mbaya wanaumia Sana mama kuwa juu.Mifumo ya ujamaa utakiwi kuwa maarufu kuzidi anayekutawala