Fahami Matsawili
Senior Member
- Mar 8, 2018
- 172
- 153
Rais wetu John pombe Magufuli ameamua Nchi iende Mbele... hii ndio kusema Chagua Magufuli Kazi iendelee
1. Ujenzi wa barabara Nchi Nzima kwa gharama Sh. Trilioni 5.3 ili kurahisisha usafiri wa watu na mizigo ya biashara kutoka sehemu moja kwenda nyingine.....
2. Ununuzi Ndege Mpya Sh. Trillioni 1.3 ili kuchochea sekta ya Utalii na Biashara ya ndani ya nchi yetu....
3.Ujenzi wa Hospital za wilaya 67 Wakati tangu tupate Uhuru hadi Leo tulikuwa na hospital 77 za wilaya, vituo vya Afya Sh.Bilioni 321
4.Kufufua Mradi wa kuzalisha Umeme MTO Rufiji Sh.Trilioni 6.5 utakaozalisha MW 2100 Wakati tangu tupate Uhuru hadi Leo hii tunazalisha MW 1500 za Umeme tu......
5. Ujenzi wa reli ya kisasa (Standard Gauge) Sh. Trillioni 7 baada ya kukaa na reli ya mkoloni tuliyorithi zaidi ya miaka 200 iliyopita.....
6. Mikopo kwa Wanafunzi wa Elimu ya juu 2015-2019 Sh. Trilioni 1.6
7. Elimu Msingi bila malipo (Elimu Bure) kwa Shule za Msingi hadi kidato cha nne sh. Bilioni 945.9
8.Ukarabati Shule kongwe 62, Ujenzi wa Maabara, nyumba za Walimu kwa Sh. Bilioni 308
9.Ukarabati Viwanja vya Ndege Nchi Nzima Sh. Trilioni 1.8
10. Ujenzi wa meli Mpya na ukarabati za Mv Victoria na Mv Butiama katika Ziwa Victoria Sh. Bilioni 152,
Ujenzi wa meli Mbili Ziwa Tanganyika meli ya mizigo na Abiria MV Liemba, Ujenzi wa meli Mbili za Abiria na Mizigo Ziwa Nyasa MV Ruvuma na MV Njombe Umekamilika.....
11. Miradi ya Usambazaji Umeme vijijini kupitia Rea Umeme unaendelea kuchomoza vijijini....
12. Upanuzi wa Bandari ya Mtwara kwa kiwango kikubwa, Bandari ya Tanga, Bandari ya Dar es salaam
13 Ununuzi wa vivuko vya Majini maeneo mbalimbali ili kurahisisha usafiri wa watu na mizigo ya biashara......
14. Ujenzi wa madaraja mfano Mfugale, Ubungo interchange, Surrender bridge n.k
15. Miradi ya Maji inayoendelea Kujengwa Maeneo Mbalimbali ya Nchi yetu ni mapinduzi kwenye sekta ya Maji......
N.K N.K N.K
We are proud of you, our president Honorable John Pombe Magufuli.....
Naungana na Mwenyekiti wangu wa Vijana Taifa Comrade kheri James kuwa yoyote anaempinga Rais wetu kwa haya anayofanya kwa Mustakbari wa Taifa letu kuna mambo mawili kwa mtu huyu either ni Chizi au Mkimbizi nchini kwetu........
Fahami Matsawili
Mjumbe wa baraza kuu Uvccm Taifa..
1. Ujenzi wa barabara Nchi Nzima kwa gharama Sh. Trilioni 5.3 ili kurahisisha usafiri wa watu na mizigo ya biashara kutoka sehemu moja kwenda nyingine.....
2. Ununuzi Ndege Mpya Sh. Trillioni 1.3 ili kuchochea sekta ya Utalii na Biashara ya ndani ya nchi yetu....
3.Ujenzi wa Hospital za wilaya 67 Wakati tangu tupate Uhuru hadi Leo tulikuwa na hospital 77 za wilaya, vituo vya Afya Sh.Bilioni 321
4.Kufufua Mradi wa kuzalisha Umeme MTO Rufiji Sh.Trilioni 6.5 utakaozalisha MW 2100 Wakati tangu tupate Uhuru hadi Leo hii tunazalisha MW 1500 za Umeme tu......
5. Ujenzi wa reli ya kisasa (Standard Gauge) Sh. Trillioni 7 baada ya kukaa na reli ya mkoloni tuliyorithi zaidi ya miaka 200 iliyopita.....
6. Mikopo kwa Wanafunzi wa Elimu ya juu 2015-2019 Sh. Trilioni 1.6
7. Elimu Msingi bila malipo (Elimu Bure) kwa Shule za Msingi hadi kidato cha nne sh. Bilioni 945.9
8.Ukarabati Shule kongwe 62, Ujenzi wa Maabara, nyumba za Walimu kwa Sh. Bilioni 308
9.Ukarabati Viwanja vya Ndege Nchi Nzima Sh. Trilioni 1.8
10. Ujenzi wa meli Mpya na ukarabati za Mv Victoria na Mv Butiama katika Ziwa Victoria Sh. Bilioni 152,
Ujenzi wa meli Mbili Ziwa Tanganyika meli ya mizigo na Abiria MV Liemba, Ujenzi wa meli Mbili za Abiria na Mizigo Ziwa Nyasa MV Ruvuma na MV Njombe Umekamilika.....
11. Miradi ya Usambazaji Umeme vijijini kupitia Rea Umeme unaendelea kuchomoza vijijini....
12. Upanuzi wa Bandari ya Mtwara kwa kiwango kikubwa, Bandari ya Tanga, Bandari ya Dar es salaam
13 Ununuzi wa vivuko vya Majini maeneo mbalimbali ili kurahisisha usafiri wa watu na mizigo ya biashara......
14. Ujenzi wa madaraja mfano Mfugale, Ubungo interchange, Surrender bridge n.k
15. Miradi ya Maji inayoendelea Kujengwa Maeneo Mbalimbali ya Nchi yetu ni mapinduzi kwenye sekta ya Maji......
N.K N.K N.K
We are proud of you, our president Honorable John Pombe Magufuli.....
Naungana na Mwenyekiti wangu wa Vijana Taifa Comrade kheri James kuwa yoyote anaempinga Rais wetu kwa haya anayofanya kwa Mustakbari wa Taifa letu kuna mambo mawili kwa mtu huyu either ni Chizi au Mkimbizi nchini kwetu........
Fahami Matsawili
Mjumbe wa baraza kuu Uvccm Taifa..