Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Magufuli Ushindi ni Kwa 90%
Ndio alivyoagiza tume ya uchaguzi imtangaze?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magufuli Ushindi ni Kwa 90%
Hilo tatizo la uchumi linaonekana wakati wa uchaguzi? 'some of us can not be brainwashed in that way'Siasa inaonyesha Rais Magufuli, ameanza kuibali siasa, na ameanza kuwa very tolerant na yuko focused kwenya mahitaji ya kudumu ya Wananchi.
POLICAL MATURITY: Rais amezidi kuiva kisiasa, tumeona akiwa hana ushawishi katika Uchaguzi wa Ugombea Ubunge wa wale waliokuwa wakisemekana kuwa ni watu wake wa karibu...
Tangu lini nyumbu akaelewa? anaona kiongozi anavuka mto anadakwa na mamba, bado na mfuasi naye anapita hapo hapo anadakwa pia. Sasa kinachofuata wote mtakwisha pasipo kujielewa. Wajuzi wa mambo huwa wanaunganisha nukta, wanapata majibu. Tafakari chukua hatua.Hujaeleweka
Bado hujaelewekaTangu lini nyumbu akaelewa? anaona kiongozi anavuka mto anadakwa na mamba, bado na mfuasi naye anapita hapo hapo anadakwa pia. Sasa kinachofuata wote mtakwisha pasipo kujielewa. Wajuzi wa mambo huwa wanaunganisha nukta, wanapata majibu. Tafakari chukua hatua.
Too late to catch the bus....alinifunifundisha Marehem MamaSiasa inaonyesha Rais Magufuli, ameanza kuibali siasa, na ameanza kuwa very tolerant na yuko focused kwenya mahitaji ya kudumu ya Wananchi.
POLICAL MATURITY: Rais amezidi kuiva kisiasa, tumeona akiwa hana ushawishi katika Uchaguzi wa Ugombea Ubunge wa wale waliokuwa wakisemekana kuwa ni watu wake wa karibu...
Loosing au losing?
Jaribuni muoneThubutuuuu