mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Na ww nenda dodomaSerikali yote tukiongozwa na Waziri mkuu tumeshahamia!
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ww nenda dodomaSerikali yote tukiongozwa na Waziri mkuu tumeshahamia!
Fanya kazi acha kulalamika lini maisha yalikuwa rahisi wakati Watanzania miaka yote tunalia na ugumu wa maisha.Bado maisha bora kwa waTz, hali ni mbaya huku mtaani
Kwani RAIS ni nani mkuu...Sisi tunazungumzia taasisi wewe unamzungumzia mtu!
KMwalimu Nyerere kama kiongozi alikuwa na ndoto zake na miongoni mwa ndoto hizo ni pamoja na Kuhamishia makao makuu ya serikali Dodoma, pili kumiliki njia kuu za uchumi na tatu kuwa na bwawa kubwa la kuzalisha umeme Stieglers Gorge.
Katika uongozi wake kama Rais, Dr Magufuli ameweza kuhamishia makao makuu ya serikali kwenda Dodoma.
Pili amefanikisha ujenzi wa bwawa la Stieglers Gorge ambapo mkandarasi ameshapatikana na mkataba umesainiwa.
Tatu, Rais Magufuli ameshaanza kuhakikisha serikali inakuwa na umiliki katika njia kuu za uchumi, amefufua ATCL, TRC inaimarishwa na taasisi nyingine za miundombinu zinaimarishwa na hii ndio ndoto ambayo Nyerere aliifanikisha lakini mabeberu wakaitibua kwa kugawana mashirika yetu karibia yote. Nina imani Rais Magufuli ataikamilisha ndoto hii ya mwalimu Nyerere.
Naomba niishie hapo!
Lini kahamia inawezekana mimi niko nyuma ya wakati.
Hiyo iliyobaki ilikuwa nzuri kwa wakati ule, kwa sasa mifumo ya kiuchumi duniani inakataa
Umevaa miwani ya mbao?SGR,ununuzi wa ndege,upanuzi wa bandari na airports karibu kila makao makuu ya mkoa,flyovers tazara na ubungo ambapo mradi unaendelea nakadhalika.Yaani kipi cha kumsifia?? Yaani Mwl. Nyerere aote alafu Magufuli aje kufanyia kazi ndoto za mtu..! Moja ni kuonesha yeye hakuwahi kuwa na ndoto wala maono..!
Kinacho chekesha mpaka sasa hajawahi kutuambia anataka kuifanyia nini Tanzania. Kila akiamua anajipya bora angekuwa na jambo moja la kuifanyia nchi aliloona litaa na kudumu milele, kupambana na kila kona kuna atashutuka muda umeisha na hakuna alichofanya.
Kama JPM hajafanikiwa kwenye ndoto za Mwalimu ni Rais yupi aliyefanikiwa?mwalimu ajawahi kuwa na ndoto izo
ndoto zake zilikuwa kumaliza ujinga, maradhi na umaskini na jpm hajafanikiwa hata robo juu ya hayo.
iyo kuhamia dodoma, kuwa na umeme yalikuwa mawazo yake ila si ndoto
Utajulia wapi hali unakula Kwa shemejiFanya kazi acha kulalamika lini maisha yalikuwa rahisi wakati Watanzania miaka yote tunalia na ugumu wa maisha.
Kwa sasa wanapandisha bei ya umeme kila kukicha ili wapate pesa za kukenga bwawa jipya karibu na jiji kubwa kama DSM then watakuja baadae kutuambia wanapunguza bei kumbe waliongeza bei kwa makusudi wakati wameachana na umeme rahisi wa Upepo na makaa ya mawe.Nimeona mradi wa Stiglers trilioni 6 kudadadeki. Halafu mradi unaisha na hakuna matokeo! Yan nahisi akaunti za watu benki itabidi zitaifishwe safari hii.
Ndo shida ya wengi kila jambo kuhusisha na Siasa,kwataarifa yako nipo hukohuko ulipo na ni jambo ambalo halihitaji utafiti,na kama ww ni bongo lala unatakiwa usiwe ndiyo mzee tumia akili yako originalWewe uko mtaa gani?......... Ufipa st?
haya mambo ya kama yanatoka wapi jpm hajafanikiwa na hata (hawezi ) fanikiwaKama JPM hajafanikiwa kwenye ndoto za Mwalimu ni Rais yupi aliyefanikiwa?
Mwalimu Nyerere kama kiongozi alikuwa na ndoto zake na miongoni mwa ndoto hizo ni pamoja na Kuhamishia makao makuu ya serikali Dodoma, pili kumiliki njia kuu za uchumi na tatu kuwa na bwawa kubwa la kuzalisha umeme Stieglers Gorge.
Katika uongozi wake kama Rais, Dr Magufuli ameweza kuhamishia makao makuu ya serikali kwenda Dodoma.
Pili amefanikisha ujenzi wa bwawa la Stieglers Gorge ambapo mkandarasi ameshapatikana na mkataba umesainiwa.
Tatu, Rais Magufuli ameshaanza kuhakikisha serikali inakuwa na umiliki katika njia kuu za uchumi, amefufua ATCL, TRC inaimarishwa na taasisi nyingine za miundombinu zinaimarishwa na hii ndio ndoto ambayo Nyerere aliifanikisha lakini mabeberu wakaitibua kwa kugawana mashirika yetu karibia yote. Nina imani Rais Magufuli ataikamilisha ndoto hii ya mwalimu Nyerere.
Naomba niishie hapo!
Sidhani kama inakataa....We need to refine it to meet the modern challenges.Hiyo iliyobaki ilikuwa nzuri kwa wakati ule, kwa sasa mifumo ya kiuchumi duniani inakataa
Ipo kubwa sana. Dar is congested and was overburdened by accumulating almost everything hereUjinga,maradhi na umaskini ongeza na rushwa. Kuhamia Dodoma hakuna faida kwa Watanzania.