Yes, unadhani zilitoka rohoni? (kama kweli alitoa pole maana inawezekana kuficha aibu maam Suluhu akaona ajisemee). Utume???????? watu halafu utoe pole?Baada ya shambulio, rais Magufuli alitoa pole kwa Lissu.
P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes, unadhani zilitoka rohoni? (kama kweli alitoa pole maana inawezekana kuficha aibu maam Suluhu akaona ajisemee). Utume???????? watu halafu utoe pole?Baada ya shambulio, rais Magufuli alitoa pole kwa Lissu.
P
Sijui kama kapiga simu lakini huo ndiyo utaratibu mzuri.Nakupongeza Dkt. Lazarus Chakwera kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Malawi. Kwa niaba ya Serikali na Watanzania wote naahidi kuendeleza uhusiano wetu wa kidugu, kirafiki na ujirani mwema hususani katika masuala ya uchumi na ustawi wa jamii. Hongera sana Mhe. Rais.