Rais Magufuli ampongeza Dkt. Lazarus Chakwera kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Malawi

Sijui kama kapiga simu lakini huo ndiyo utaratibu mzuri.
 
Nimeangalia mwanzo mwisho,ila Rais wetu anapata shida sana kutenganisha mambo ya kiserikali na chama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…