Ibambasi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2007
- 9,296
- 4,697
Wewe umechanganyikiwa.Huko hatujaona mabegi ya kura feki wala mawakala wa upinzani wakitolewa nje.
Pia, huyo sio raisi mteule kwa kura feki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe umechanganyikiwa.Huko hatujaona mabegi ya kura feki wala mawakala wa upinzani wakitolewa nje.
Pia, huyo sio raisi mteule kwa kura feki.
Tume huru kama mwamba anajiamini aweke tume huru.Unajifanya unamchukia jpm ila hukosi kupost mambo yake .vilaza mnatabu sana hapa duniani
Kushindwa si kitu kizuri!Unafiki mkubwa! Unafurahia ushindi wa mwenzako kutokana na uchaguzi uliofanyika, kwako hutaki kufanya uchaguzi, unafanya maigizo kuhalalisha udikteta.
Kushinda kwenye uchaguzi kuna raha yake maana unakuwa na uhakika kuwa wananchi wengi wanapenda uwe kiongozi wao.
Hata akijipendekeza, kibano cha wizi wa kura na ukiukaji wa haki za raia, kipo pale pale.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huko hatujaona mabegi ya kura feki wala mawakala wa upinzani wakitolewa nje.
Pia, huyo sio raisi mteule kwa kura feki.
Kwanini wao hawakumpogenza?Huko hatujaona mabegi ya kura feki wala mawakala wa upinzani wakitolewa nje.
Pia, huyo sio raisi mteule kwa kura feki.
Eti on behalf, mimi simoUnafiki mkubwa! Unafurahia ushindi wa mwenzako kutokana na uchaguzi uliofanyika, kwako hutaki kufanya uchaguzi, unafanya maigizo kuhalalisha udikteta.
Kushinda kwenye uchaguzi kuna raha yake maana unakuwa na uhakika kuwa wananchi wengi wanapenda uwe kiongozi wao.
Hata akijipendekeza, kibano cha wizi wa kura na ukiukaji wa haki za raia, kipo pale pale.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa jamaa wa Ufipa walishaghilimisha bongo zao kitambo; wanajua Mzungu ndiye perfect super-human. PoleeeMAREKANI WANA JAMBO LAO! JOE BIDDEN IS THE 46th PRESIDENT OF UNITED STATES OF AMERICA.
Trump apinga 👇
In Pennsylvania our observers were not permitted to watch the vote counting-Donald Trump.(Pennsylvania mawakala wetu wa Republican walizuiliwa kuingia kuhesabu kura😀)
Illegal ballots are the one that has chosen Joe Bidden-Donald Trump(Kura haramu ndizo zilizomchagua Joe Bidden😀)
On Monday we will pursue our case in court to ensure the rightful winner is seated,(Jumatatu nitaenda Mahakamani😀)
#ItIsReallyDemocracy😀.
Angalau ka English kamenyooka leoView attachment 1623842
Namnukuu
On behalf of the Government and the people of Tanzania, I congratulate President-elect
@JoeBiden
and Vice President-elect
@KamalaHarris
on your victory in the US General Election. Be assured that Tanzania will continue to cherish the relationship that exist between our countries...
Afadhali Rais JPM anajua vyema Kiingereza fasaha; vipi wewe usiyejua hata maneno sahihi & matumizi ya herufi kubwa na ndogo, "hio," "sio," "kabudi," "kiingereza." Pia, hujui wapi pa kuweka nukta. Nakushauri kuna chekechekea huku tunaanzisha, wahi usajili mapema kabla hujachelewa; bado nafasi mbili "two!"Magufuli ametumia nguvu nyingi kuandika kiingereza [emoji23][emoji23][emoji23]
Hio tweet sio yake, itakuwa kabudi kamuandikia
Fuatilia Twita ya JB ndipo uzungumze!Mbona wewe hawajakupongeza ila wewe unajipendekeza kuwapongeza?
"Pogenza" ndiyo kitu zip???Kwanini wao hawakumpogenza?
Yeye wamempongeza ?!. Je huko wanatumia askari kupora wapinzani wao ?!. Huko wanawawekea mizengwe wapinzani wao wakati wa campaign na uchaguzi ?!. Maswali ni mengiKamanda safi sana umeanza kupevuka