Vikundi vya JKT vya kwaya havijatunga nyimbo za kusifu! Chunguza utalijua hilo. Na ni kosa kubwa sana, muulize Nape
Vikundi vya JKT vya kwaya havijatunga nyimbo za kusifu! Chunguza utalijua hilo. Na ni kosa kubwa sana, muulize Nape
Afande Mbughe ni mtu wa hamasa, anapenda sana vikundi vya muziki na kazi. Hajakaa sana Kibattle. Wale waliopita kwenye mikono yake enzi za Ruvu jkt watakuwa wanalijua hilo. Kipaumbele chake yeye ni kazi tuu hata kama mazoezi mpo shallow. Nilikuwa napenda tabia yake ya Kupenda kuja kucheza Disco la jeshi na Makuruta. Anafaa sana, Mungu azidi kumuinua.