Hao wanafanta kazi za kawaida
Huyu anakwenda kuwa Chief wa TISS
Kazi za huyu ni tofauti na hao sijui madereva tax
Acha kuchanganya majukumu
Msalika alistahili apewe nafasi hii
Lkn Rais katiba inamruhusu ateue yyt yule ktk nafasi hii,naheshimu katiba
...Na yakatibuliwa na Dakitari...Huko NIDA si ndo kulikuwa na mauza uza ya national ID au??!!
Unamuuliza maswali ambayo hawezi kukujibuUna uhakika kua huyu hakua mfanyakazi wa TISS? unaijua organogram ya TISS? unawajua wafanyakazi wote wa TISS na vyeo vyao?
.....Ndiyo! Zinaendelea. hadi nafasi ZOTE zijazwe na madakitari....Teua teua zinaendelea kumbe
Kabla hajateuliwa alikuwa NIDA!Una uhakika kua huyu hakua mfanyakazi wa TISS? unaijua organogram ya TISS? unawajua wafanyakazi wote wa TISS na vyeo vyao?
Kwani walisaidia nini kwe hayo mashirika wakati ndiyo yanayoongoza kwa wizi na ufujaji wa mali za umma na mengi yanaendelea kufa? Hujamsikia Mafuru juzi anasema mpaka yanapanga foleni kwenda kuomba mishahara ya wafanyakazi??Mmmh haya mashirika nyeti ya umma yana watu wa tiss wengi, kumbe huyu mzee alikuwa tiss, wapiga dili wamekwisha
Duh wabongo noma,hivi haya yote yanapatikana wapi,ndio maana mkwere alisema watu wana viwanda vya uzushi!Hao wanafanta kazi za kawaida
Huyu anakwenda kuwa Chief wa TISS
Kazi za huyu ni tofauti na hao sijui madereva tax
Acha kuchanganya majukumu
Msalika alistahili apewe nafasi hii
Lkn Rais katiba inamruhusu ateue yyt yule ktk nafasi hii,naheshimu katiba
Fafanua plsDuh wabongo noma,hivi haya yote yanapatikana wapi,ndio maana mkwere alisema watu wana viwanda vya uzushi!
Jambo usilolijua usiliseme, ukilisema utaonekana ni namna gani hujui usemalo.Hamna kitu hapo...muda utaongea ya NIDA yalimshinda
Kama wapo kwe mashirika tena kila kona mbona mashirika hayo yanazidi kufaa??? Hao TISS wamesaidia nini??Kitu ambacho baadhi yetu tunapaswa kukifahamu ni kwamba nyuma kabisa mashirika na taasisi za umma zilianza kutumia rasilimali vibaya - sasa kitambo kidogo ili kubaini nani wanatapanya resources zetu vibaya ndiyo tiss walipelekwa kule kwanza kusimamia, kudhibiti na kuratibu mambo.
Kwa maneno machache, ni kuwa hawa TISS wako kila kona na kila taasisi na mashirika.
Ndugu Kilaza, jambo usilolijua kaa nalo usiliseme, ukilisema unadhihirisha n kwa namna gani hujui.Pigania haki yako kwani huna sifa? kwa sasa mpaka uchan=guliwe lazima uwe unatokea parokia fulani
Tumia akili yako kufikiri binafsi. Miaka hamsini tuko palepale!? Miaka hamsini nyuma ulikuwa na uwezo hata wa kuyasema hayo maneno yako?! Be respectfut in your country, labda kama ww sio mtanzania.Hivi hzo kazi maalumu zimekua na manufaa gani kwa taifa miaka hamsini tuko pale pale. Sifa nyingine za kijinga tu.
Elewa kazi yao na utafahamu mengi zaidi.Kama wapo kwe mashirika tena kila kona mbona mashirika hayo yanazidi kufaa??? Hao TISS wamesaidia nini??
Wewe ulitaka nani ateuliwe?Kwa nn kawaruka wakurugenzi kibao wa TISS na kuja kumteua mtu ambaye wala hana uzoefu wowote kuongoza idara nyeti kama hii?Wakurugenzi bwerere TISS wote hawana sifa?
Rais wetu anawavunja sana moyo watumishi waaminifu ktk kila idara hapa Tanzania!Alianza na ma DED na RAS kuwateua wana siasa wkt watumishi kibao utumishi na uadlifu wao hawakupewa nafasi
Hii si nzuri kwa ustawi wa nchi yetu
Na huu ndio ukweli hasa ambao kina lizabon pamoja na kujifanya watu wa system hawaujui kabisa huu!Tujikumbushe tu kwamba upande fulani walishawahi mlalamikia. Angalia article hii ya mwaka jana wakati wa vuguvugu la kura.
MKAKATI WA KUIBA KURA WANASWA
* NEC YAHUSIHSHWA. MSIMAMIZI MKUU NI DR. MODESTUS KIPILIMBA
* ALIKUWA MTUMISHI WA BOT, AKADAGANYA KACHUKUA LIKIZO KUMBE KAENDA NEC KWA KAZI MAALUM.
Niliposikia Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) wamekubali matokeo kubandikwa ukutani kwenye vituo husika, niliwaza sana ni jinsi gani CCM inanusurika. Kwa bahati nzuri imegundulikwa kwamba mchezo wote utafanyika kwenye mfumo wa ujumlishaji wa matokeo "Tallying System".
Msimamizi mkuu wa hili zoezi ni Dr. Modestus Kipilimba ambaye katoka BOT (Bank of Tanzania) na kupelekwa ofisi za NEC kwa kile kinachoitwa kazi maalum....
* Dr. Modestus Kipilimba ni nani?..... (Tuanzie hapo)...
Dr. Kipilimba alikuwa mtumishi wa BOT Miaka kadhaa iliyopita. Baada ya kuhusishwa na wizi wa mabilioni ya fedha katika taasisi hiyo alifukuzwa kazi kwa barua namba MFP/BOT/PF/24/03. Baada ya kufukuzwa kazi alikimbilia nje ya nchi (Uingereza) ambapo alienda kusoma zaidi.
Baada ya Prof. Ndulu kuwa gavana wa Bank, Ndugu Kapalimba haijulikani jinsi alivyorudi kazini. Ila ni wazi alipitia mlango wa nyuma, baada ya uongozi wa juu wa banki hiyo kupewa agizo la Dr. Kapalimba kurudishwa kazini. Dr. Kapalimba akaajiriwa tena kwa mara ya pili na kupewa cheo cha "Bank Advisor". Kwa muda mfupi akapandishwa cheo na kuwa mkurugenzi wa idara ya Risk Mgt.
Mwezi uliopita Dr. Kapalimba kwa taarifa zilizopo BOT zinaonyesha Kapalimba kachukua likizo. Ila cha kushangaza huyo bwana yupo anafanya kazi NEC na kapewa idara nyeti ndani ya kurugenzi ya IT. Na pia ni yeye aliyepewa jukumu la kupokea na kusambaza makaratasi ya kupigia kura.
Dr. Kapalimba ni mtaalamu wa IT, aliyepeta elimu hiyo nje ya nchi na ni moja wa watu wanaosifika kwa utaalam huo. Idara nyingi za serikali imekuwa ikimtumia kwa operation mbalimbali...
NB:.. Baada la hili kujulikana sasa tunaomba tume ya uchaguzi ikubali ombi la kaimu katibu mkuu wa CHADEMA, John Mnyika. La kutaka mfumo wa kujumuisha idadi za kura ukaguliwe mara moja na vyama vyoto wakiwemo CCM...
Kukagua mfumo husika ndio suluhu kwa sasa. Ila bila NEC kuruhusu hilo, bao la mkono litakuwa hapo....
Manufaa ya kuwalinda wateuzi!Hivi hzo kazi maalumu zimekua na manufaa gani kwa taifa miaka hamsini tuko pale pale. Sifa nyingine za kijinga tu.
Waliopo kwrnye mstariWewe ulitaka nani ateuliwe?