Rais Magufuli amteua Jaji Sivangilwa Mwangesi kuwa Kamshina wa Maadili

Rais Magufuli amteua Jaji Sivangilwa Mwangesi kuwa Kamshina wa Maadili

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Sivangilwa Sikalalilwa Mwangesi ambaye ni Jaji wa Mahakama ya Rufani ameteuliwa na Rais Magufuli kuwa Kamishna wa Maadili.

Mwangesi anakuwa kamishna baada ya aliyekuwa Kamishna wa Maadili, Harold Nsekela kufariki dunia.

Uteuzi huu unaanza leo, Desemba 23 na Rais atamuapisha kesho Desemba 24 saa nne asubuhi Ikulu Chamwino.


1608715795186.png
 
Sivangilwa Sikalalilwa Mwangesi ambaye ni "Jaji Mkuu wa Mahakama ya Rufani" ameteuliwa.

Mkuu, hiyo sijaielewa una maana gani.

VV
 
Hii nafasi ilimfaa sana marehemu Harold Nsekela kwani uadilifu wake ulikuwa sio wa kutilia shaka; hopefully huyu nae amepimwa na kuonekana kuwa anaweza kuvivaa viatu vya Marehemu, kwani kama mjuavyo uadilifu wa majaji wetu wengi ni wakutilia shaka kutokana na jinsi Jiwe anavyowateua!!!
 
Kamishina wa maadili!!?? Hizi nafasi zingine zinatajwa tu kisiasa lakini sijaona kama zina impact yoyote ya kushughulikia na kuwawajibisha wanaokiuka maadili, zaidi ya kupeana ulaji tu na kuongeza matumizi ya serilkali.

Ingekuwa hiyo ofisi ina meno hawa wakurugenzi, wakuu wa wilaya na mikoa wanaoongoza kukiuka maadili wangesha kuwa na nidhamu.

For me this tittle is absurdity
 
Kamishina wa maadili!!?? Hizi nafasi zingine zinatajwa tu kisiasa lakini sijaona kama zina impact yoyote ya kushughulikia na kuwawajibisha wanaokiuka maadili, zaidi ya kupeana ulaji tu na kuongeza matumizi ya serilkali.

Ingekuwa hiyo ofisi ina meno hawa wakurugenzi, wakuu wa wilaya na mikoa wanaoongoza kukiuka maadili wangesha kuwa na nidhamu.

For me this tittle is absurdity
Wanatushughulikia sisi dagaa,hao wakuu wa mikoa, Wilaya,Yule mgogo wa mjengoni,na wengine Ni mapapa ktk bahari ya Bongo hivyo hawaguswi.
 
Alikosekana kabisa msukuma?

Haaa haaaa aaaaaaah....huyo ni mtu wake special wa kumpelekea ka kongoro ka mlinzi wa nyumbani, anyway kwa Mwangesi leo ndipo nimeamini kuwa jamaa huwaga hana upendeleo wala ukabila kivile mnasemaga,

Ukitaka kumjua vizuri Mwangesi pitia kesi zake utaona kuwa jamaa huwaga ni straight hajui kupindisha pindisha
 
Acha kukwepa hoja.."Tunataka Katiba Mpya"!

Toa justifications kwanini tusiwe na katiba mpya yenye kupunguza huu upumbavu wote?

Hiyo ndio hoja na sio "hamia Kenya"
Leta hoja hapa wewe mtaka katiba mpya...

kwanini katiba mpya sasa?

Upi ni upumbavu na upi si upumbavu kwako?

kuna jambo linafanyika na serikali hii ukakubaliana nalo bila kupinga?

Punguza mahaba Bwashee
 
Back
Top Bottom