Rais Magufuli amtuma RC wa Mbeya kusitisha uvunjaji wa Hotel Desderia inayomilikiwa na Joseph Mbilinyi (Sugu) kwa kisingizio cha mazingira

Rais Magufuli amtuma RC wa Mbeya kusitisha uvunjaji wa Hotel Desderia inayomilikiwa na Joseph Mbilinyi (Sugu) kwa kisingizio cha mazingira

Umeongea ukweli mtupu........

Yaani hii nchi kwa hivi sasa inaishi kwa hisani ya JPM!

Chukulia mfano halisi wa tukio hilo, mkuu wa Mkoa, anaongea bila aibu kuwa amepata ujumbe kutoka kwa Mheshimiwa Rais kuwa amepiga "Stop" kuwa hiyo hoteli isivunjwe!

Hivi watendaji watakuwa wanafanya kazi kwa maagizo ya Rais na wala si kwa kufuata sheria za nchi?
Tatizo kila mtu anawaza kumfurahisha jiwe na siyo kufanya kazi kwa kufuata sheria na taratibu za nchi. Mambo ni hovyo kabisa
 
Agenda ya kisiasa ndio ilijaa hapa kwani ndizo njia wanazotumia kuwakomoa wapinzani.
Kumbekeni biashara za Mbowe na mashamba aliyokuwa nayo miaka yote zilivyohujumia.
 
Ni kweli kuna muda mwingine unaweza kuwa unafanya mambo ambayo hata mwenyewe nafsi inakusuta.
Mwisho unavaa uhusika ingekuwa mimi ndo navunjiwa hiyo hoteli hasara ya mamilioni nimewekeza. Unaamua bora kuacha tu isibomolewe, vinginevyo hayo machozi hayawezi kwenda bure.

Ni mpaka uwe na utu.Utu means Pumzi ya Mungu ndani ya moyo wa binadamu.Kama shetani ndie aliyeweka pumzi ndani ya ni ngumu Sana kuwa na utu.Tunawatambua kwa matendo yao ni wale wote furaha yao ni kuona machozi ya wengine demonic spirit.
Mtu yeyeto aliyeelimika katu hawezi umiza wengine kupata furaha.
 
Ni mpaka uwe na utu.Utu means Pumzi ya Mungu ndani ya moyo wa binadamu.Kama shetani ndie aliyeweka pumzi ndani ya ni ngumu Sana kuwa na utu.Tunawatambua kwa matendo yao ni wale wote furaha yao ni kuona machozi ya wengine demonic spirit.
Mtu yeyeto aliyeelimika katu hawezi umiza wengine kupata furaha.
Hakika mkuu kuna mambo yanafanyika na walioshika dola mpaka unasema. Hivi huyu kiongozi ana roho ya utu kweli. Maana kuna matukio mengine yanafanyika,yamefanyika ila unakuta kiongozi anatoa tu majibu mepesi kwa kwa jambo ambalo linahitaji ufafanuzi wa kina.
 
Nmeamin hakika mtu akizeeka pia akili huzeeka
Acha kujitoa akili hapo pana huruma gani? Huyu bwana alikuwa na vibali vyote vya serikali vilivyomruhusu kujenga hotel; hawa NEMC wanatakiwa awachukulie hatua kwa kukiuka taratibu za serikali kwa kumuonea na kumsumbua muwekezaji!!

Angekuwa amekiuka sheria na Jiwe akajitokeza na kumtetea hapo ndio mgekuwa na hoja ya kusema ni mtu wa huruma!!!
 
Tatizo watu wivu wanashanga huyu mhuni kawezzaje kajenga mradi kama huo na utatoa ajira, atalipa kodi etc

Wakati kuna watu wako na walikuwa kwenye uongozi wao wana mijihela kibao wanakula wao na watoto zao pesa zingine wanazificha nje ya nchi

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Wanaweza wasimbomolee lakini wakambana kwenye kodi hata kumbambikia,ccm ni zimwi.
 
Just being curious:
1. Ile ya Mbowe bado ipo?
2. Lissu alishawekeza cho chote nchini hapa?

Sugu karibu ccm Mwekezaji Sugu, tuijenge nchi yetu. Maendeleo hayana chama.
Wewe ni kama nyonya damu,unataka Lisu awekeze halafu akibomolewa amani ya kishetani itawale,ccm ni chaka la maovu
 
Yaani ...tulichomfanyia Mbowe iwe mwisho jamani.Tusiwafanyie wengine...Mbowe ni mtulivu ila sijui kama Sugu ni mtulivu
 
T


Rais Mzalendo na anayejali wawekezaji leo kupitia Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Albert Chalamila ametoa tamko au salamu kuwa SUGU au Mbunge mstaafu wa Mbeya Joseph Mbilinyi ni muwekezaji hivyo atalindwa na hotel yake haitabomolewa na mtu yeyote.

Kulikuwa na uzushi mitandaoni kuwa hotel imejengwa kwenye uoto wa asili yaani pembezoni mwa mto hivyo kulikuwa na mpango wa kuibomoa.

Kwa ufupi Rais amesisitiza hilo eneo limepimwa na linafahamika,Watu wa mazingira yaani NEMC wanalifahamu vizuri.

Mkuu wa mkoa ameonyesha jinsi Sugu anavyolinda mazingira ya mto huo huku maji yakitiririka na kumiminika.

Aidha Bwana SUGU amemshukuru Rais Magufuli kwa kumuhakikishia hilo na kujenga imani kwa wawekezaji wengine.

Maendeleo hayana chama

View attachment 1659613

Tengeneza tatizo kisha litatue
 
Akizungumza hotelini hapo Mkuu huyo wa Mkoa wa Mbeya amedai kwamba amepata maelekezo kutoka kwa Rais wa Tanzania kwamba Hoteli hiyo isivunjwe kwa vile inavyo vibali vyote vilivyotakiwa kabla ya ujenzi wake na kwamba vyanzo vya maji vilivyopo karibu na hoteli hiyo havijaathirika , hivyo hakuna sababu yoyote ya kuhujumu hoteli hiyo .

Hotel ya Kisasa ya Desderia inamilikiwa na Joseph Mbilinyi aliyekuwa Mbunge wa Mbeya Mjini

Niliwahi kuweka uzi humu kuhusu jambo hili lakini ulifutwa kibabe bila hata kuupa nafasi ya kuomba maji ya kunywa , bali nilichojifunza ni kwamba UKWELI HAUFICHIKI , leo kiko wapi ?

Hii ilikuwa sarakasi
 
Back
Top Bottom