Mw3nye giteli ni Sugu qlitekuwa mbunge wa Mbeya- ChademaMwenye hotel ni lazima ni msukuma/ mfadhili mkuu wa chama cha Jiwe!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mw3nye giteli ni Sugu qlitekuwa mbunge wa Mbeya- ChademaMwenye hotel ni lazima ni msukuma/ mfadhili mkuu wa chama cha Jiwe!
Umesoma ukaelewa mkuu?Siyo hisani kwani taratibu hazikufuatwa?hoteli ya nyota unaweza jengwa kiholela l?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Tatizo kila mtu anawaza kumfurahisha jiwe na siyo kufanya kazi kwa kufuata sheria na taratibu za nchi. Mambo ni hovyo kabisaUmeongea ukweli mtupu........
Yaani hii nchi kwa hivi sasa inaishi kwa hisani ya JPM!
Chukulia mfano halisi wa tukio hilo, mkuu wa Mkoa, anaongea bila aibu kuwa amepata ujumbe kutoka kwa Mheshimiwa Rais kuwa amepiga "Stop" kuwa hiyo hoteli isivunjwe!
Hivi watendaji watakuwa wanafanya kazi kwa maagizo ya Rais na wala si kwa kufuata sheria za nchi?
Jifunze kuandika mkuu umekuwaMw3nye giteli ni Sugu qlitekuwa mbunge wa Mbeya- Chadema
Siyo kusoma tu hiyo issue naijua Sana kabla hata Rais kutoa agizo so am well informed.Umesoma ukaelewa mkuu?
Sawa mkuuSiyo kusoma tu hiyo issue naijua Sana kabla hata Rais kutoa agizo so am well informed.
Ni kweli kuna muda mwingine unaweza kuwa unafanya mambo ambayo hata mwenyewe nafsi inakusuta.
Mwisho unavaa uhusika ingekuwa mimi ndo navunjiwa hiyo hoteli hasara ya mamilioni nimewekeza. Unaamua bora kuacha tu isibomolewe, vinginevyo hayo machozi hayawezi kwenda bure.
Zaidi ya wewe nyumbu?Zwazwa wewe.
Hakika mkuu kuna mambo yanafanyika na walioshika dola mpaka unasema. Hivi huyu kiongozi ana roho ya utu kweli. Maana kuna matukio mengine yanafanyika,yamefanyika ila unakuta kiongozi anatoa tu majibu mepesi kwa kwa jambo ambalo linahitaji ufafanuzi wa kina.Ni mpaka uwe na utu.Utu means Pumzi ya Mungu ndani ya moyo wa binadamu.Kama shetani ndie aliyeweka pumzi ndani ya ni ngumu Sana kuwa na utu.Tunawatambua kwa matendo yao ni wale wote furaha yao ni kuona machozi ya wengine demonic spirit.
Mtu yeyeto aliyeelimika katu hawezi umiza wengine kupata furaha.
Apewe hongera ya nini?
Kwani ninani alimruhusu kujenga hiyo hotel?
Niliwahi kusema JPM is a very considerate person, ni Msikivu, mwenye huruma na anae jali
sana.
P
Acha kujitoa akili hapo pana huruma gani? Huyu bwana alikuwa na vibali vyote vya serikali vilivyomruhusu kujenga hotel; hawa NEMC wanatakiwa awachukulie hatua kwa kukiuka taratibu za serikali kwa kumuonea na kumsumbua muwekezaji!!
Angekuwa amekiuka sheria na Jiwe akajitokeza na kumtetea hapo ndio mgekuwa na hoja ya kusema ni mtu wa huruma!!!
Wanaweza wasimbomolee lakini wakambana kwenye kodi hata kumbambikia,ccm ni zimwi.Tatizo watu wivu wanashanga huyu mhuni kawezzaje kajenga mradi kama huo na utatoa ajira, atalipa kodi etc
Wakati kuna watu wako na walikuwa kwenye uongozi wao wana mijihela kibao wanakula wao na watoto zao pesa zingine wanazificha nje ya nchi
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Wewe ni kama nyonya damu,unataka Lisu awekeze halafu akibomolewa amani ya kishetani itawale,ccm ni chaka la maovuJust being curious:
1. Ile ya Mbowe bado ipo?
2. Lissu alishawekeza cho chote nchini hapa?
Sugu karibu ccm Mwekezaji Sugu, tuijenge nchi yetu. Maendeleo hayana chama.
Rais Mzalendo na anayejali wawekezaji leo kupitia Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Albert Chalamila ametoa tamko au salamu kuwa SUGU au Mbunge mstaafu wa Mbeya Joseph Mbilinyi ni muwekezaji hivyo atalindwa na hotel yake haitabomolewa na mtu yeyote.
Kulikuwa na uzushi mitandaoni kuwa hotel imejengwa kwenye uoto wa asili yaani pembezoni mwa mto hivyo kulikuwa na mpango wa kuibomoa.
Kwa ufupi Rais amesisitiza hilo eneo limepimwa na linafahamika,Watu wa mazingira yaani NEMC wanalifahamu vizuri.
Mkuu wa mkoa ameonyesha jinsi Sugu anavyolinda mazingira ya mto huo huku maji yakitiririka na kumiminika.
Aidha Bwana SUGU amemshukuru Rais Magufuli kwa kumuhakikishia hilo na kujenga imani kwa wawekezaji wengine.
Maendeleo hayana chama
View attachment 1659613
Hii ilikuwa sarakasiAkizungumza hotelini hapo Mkuu huyo wa Mkoa wa Mbeya amedai kwamba amepata maelekezo kutoka kwa Rais wa Tanzania kwamba Hoteli hiyo isivunjwe kwa vile inavyo vibali vyote vilivyotakiwa kabla ya ujenzi wake na kwamba vyanzo vya maji vilivyopo karibu na hoteli hiyo havijaathirika , hivyo hakuna sababu yoyote ya kuhujumu hoteli hiyo .
Hotel ya Kisasa ya Desderia inamilikiwa na Joseph Mbilinyi aliyekuwa Mbunge wa Mbeya Mjini
Niliwahi kuweka uzi humu kuhusu jambo hili lakini ulifutwa kibabe bila hata kuupa nafasi ya kuomba maji ya kunywa , bali nilichojifunza ni kwamba UKWELI HAUFICHIKI , leo kiko wapi ?