Rais Magufuli anafaa kuwa rais wa Afrika

Rais Magufuli anafaa kuwa rais wa Afrika

gwantemala

Member
Joined
Aug 9, 2016
Posts
22
Reaction score
5
Ndg:zangu wanatanzania wapenda maendeleo na wapenda Amani kwanza napenda kuchukua fursa hadhimu kwa mada hapo juu kumpongeza Mhe:Rais wa jamhuri wa Muungano wa Tanzania Dkt Jonh Joseph Pombe Magufuli kwanza kwa ushindi wa karne na Dunia nzima ilizizima vyombo vyote vya habari vya Duniani vilikuwa Tanzania!

Kwa historia ya nchi hii tangu uhuru sijawahi kuona uchaguzi wa kihistoria kama ule pengine hata Afrika nzima hakujawahi kuwepo uchaguzi wa namna ile!!

Napenda niseme yakuwa ni muda umefika Afrika kuwa na Rais moja mwenye haiba kama ya Mhe Magufuli ikiwezekana tuanze na Urais wa EAC ili Magufuli awe rais wa nchi za Afrika mashariki bila shaka atafanya vizuri na baada ya hapo kuwa Rais wa (U.S.A.S) Maana yake UNITED STATE OF AFRICA STATES
 
Subiri watetea mafisadi wa ufipa waje uone povu lao.
 
Lakini si huyu huyu Magufuli ndiye kajenga uwanja wa ndege wa kimataifa kule kijijini alikotoka, wakati huku anajinadi kuwa rais anayebana matumizi kwa kutosafiri. Watangulizi wake walijenga mabarabara kwao na mambo mengine ya msingi, yeye kapachika uwanja wa kimataifa ilhali eneo la Chato halina chochote cha kuhitaji usafiri wa kimataifa. Sasa huyo ndiye mnayemtaka awe rais wa Afrika?

Ama hamjui tunasoma pia mada zenu za siasa na tunaona jinsi mnaisoma namba kwa jinsi anavyoibuka na maamuzi ya ghafla bila kutafakari, hebu kwa mfano fuata huu uzi mliouanzisha huku How Chato will look 2025
 
Gadafi alishindwa itakia Cheif Maggu wa chato international airport
 
rais wa africa anae mjua libya walimtoa raisi wao Sadam husen wa kuweit
 
baba yako sijasikia unamwita mtukufu au mh Mungu leo hii unamuona mtu back kama Mungu wako haha

swissme
 
Ana hulka za kidikteta na hajali katiba wala sheria huku akijiona anajua kila kitu
NO
Hafai kuwa hata mwenyekiti kijiji
 
Ana hulka za kidikteta na hajali katiba wala sheria huku akijiona anajua kila kitu
NO
Hafai kuwa hata mwenyekiti kijiji
ushaambiwa demokrasia ni kujenga viwanda na kununua meli
 
Is that the president who is banning opposition rallies? Sorry, we had our fair share of dictatorship and we do nor want to go back there
 
Leo nimegundua,yaani sikujua kwanini watanzania wanaita wenzao nyumbu na wengine eti makada.Nilidhani utani tu lakini,duh!Kuna sampuli flani ya watz, nimesoma post zao kwenye nyingi tu,huwa inanishangaza kwa hulka zao na kukurupuka ovyo kuhusu yasioeleweka na yasiokuwa na msingi.Singependa watu kama hawa Kenya.Watu hatari sana hao!Watu wakuwarudisha wenzao nyuma ni sumu!Hawana ari ya mabadiliko ya kweli!Ni ajab!
 
Alianza vyema lakini anavyozidi kwenda mbele mambo yanakuwa magumu, kwani saiv chama chake pekee ndio kina ruhusa ya kufanya mikutano ya hadhara, huku vyama vingine vikizibwa midomo,
Tunakoelekea tz inakuja kuwa kama Kenya, yaani watu wake masikini huku nchi ikiwa tajiri, sijui nini mantiki yake hapo
 
Alianza vyema lakini anavyozidi kwenda mbele mambo yanakuwa magumu, kwani saiv chama chake pekee ndio kina ruhusa ya kufanya mikutano ya hadhara, huku vyama vingine vikizibwa midomo,
Tunakoelekea tz inakuja kuwa kama Kenya, yaani watu wake masikini huku nchi ikiwa tajiri, sijui nini mantiki yake hapo

Haitokuja muwe kama Kenya maana nyie maskini kwenye kila kitu, nchi maskini, raia wake maskini, elimu maskini yaani vitu vyote. Mna utajiri tu wa raslimali ambazo huwa zinaliwa na Wahindi na Wachina, sio mali zenu hizo.
 
He is good leader kwa upande wangu kwa wale wanaoelewa falsafa ya sheria( jurisprudence) hakuna maendeleo yeyote yanayokuja kwa haraka bila kubaka democracia, lazima kuwe na fascist executive administration ya 75% ili kuwe na hatua za haraka kuelekea uchumi wa kati mpaka ifikapo 2025 so mueleweni tu huyu mzee mtaona mabadiliko, ana re_call Azimio la Arusha la mwaka 1967. Na hii kuzuia maandamano in due fact ni ili watu wafanye kazi na sio kuandamana
 
Alianza vyema lakini anavyozidi kwenda mbele mambo yanakuwa magumu, kwani saiv chama chake pekee ndio kina ruhusa ya kufanya mikutano ya hadhara, huku vyama vingine vikizibwa midomo,
Tunakoelekea tz inakuja kuwa kama Kenya, yaani watu wake masikini huku nchi ikiwa tajiri, sijui nini mantiki yake hapo
Yaani watu wengine Kama wewe sio tuu Kisanga ,Bali ni wa kustaajabia pia!. katika mantiki unayoibua hapo juu , twaweza Sema pamoja na raslimali halisia ambayo TZ kama nchi iko nayo ikiwemo ardhi ya kilimo , mbuga kubwa kwa ajili ya utalii , nakadhalika. Ni wazi kuhoji ya kuwa hii ndio nchi moja wapo tajiri ila raia wake ni masikini wakutupwa.
 
He is good leader kwa upande wangu kwa wale wanaoelewa falsafa ya sheria( jurisprudence) hakuna maendeleo yeyote yanayokuja kwa haraka bila kubaka democracia, lazima kuwe na fascist executive administration ya 75% ili kuwe na hatua za haraka kuelekea uchumi wa kati mpaka ifikapo 2025 so mueleweni tu huyu mzee mtaona mabadiliko, ana re_call Azimio la Arusha la mwaka 1967. Na hii kuzuia maandamano in due fact ni ili watu wafanye kazi na sio kuandamana

Kwa mtamo wako

1. Kunaumuhim wowote kuwa na katiba?

Tafadhali mkuu...karibu
 
aisee awe rais wa africa kawakataza watu kutumia dawa za kupanga uzazi kwa kuwaambia wafyatue tu watoto kuwa atawasomesha bure primary had sekondary ssa cjui atatawala miaka mingap? imagine mtoto kazaliwa 2016 na aanze drs la kwanza akiwa na miaka 5 yaan 2021 kma atatoboa uchaguz wa mwaka 2020 bas atamuacha huyo mtoto akiwa drs la 4 " kauli ya kuambiwa changanya na yakwako"
 
Back
Top Bottom